Zaburi 68 – NEN & NSP

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 68:1-35

Zaburi 68

Wimbo Wa Taifa Wa Shangwe Kwa Ushindi

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.

168:1 Za 89:10; 132:8; 12:5; 18:14; 92:9; 144:6; Hes 10:35; Isa 17:13; 21:15; 33:3Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike,

adui zake na wakimbie mbele zake.

268:2 Za 37:20; 80:16; 22:14; 9:3; Hes 10:35Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo,

vivyo hivyo uwapeperushe mbali,

kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto,

vivyo hivyo waovu na waangamie mbele za Mungu.

368:3 Za 64:10; 97:12Bali wenye haki na wafurahi,

washangilie mbele za Mungu,

wafurahi na kushangilia.

468:4 2Sam 22:50; Za 7:17; 30:4; 66:2; 68:33; 96:2; 100:4; 135:3; 83:18; Kut 6:3; 20:21; Kum 33:26Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,

mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu:

jina lake ni Bwana,

furahini mbele zake.

568:5 Za 10:14; Kut 22:22; Kum 10:18; 26:15; Yer 25:30Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,

ni Mungu katika makao yake matakatifu.

668:6 Lk 4:18; Za 146:7; 113:9; 102:20; 79:11; 25:16; Isa 58:11; 35:7; 49:10; 61:1Mungu huwaweka wapweke katika jamaa,

huwaongoza wafungwa wakiimba,

bali waasi huishi katika nchi kame.

768:7 Kut 13:21; Za 78:40; 106:14Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako,

ulipopita nyikani,

868:8 2Sam 22:8; Amu 5:4, 5; Mhu 11:3; 2Sam 21:10; Kum 33:2dunia ilitikisika,

mbingu zikanyesha mvua,

mbele za Mungu, Yule wa Sinai,

mbele za Mungu, Mungu wa Israeli.

968:9 Kum 32:2; Ay 36:28; Eze 34:26Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi

na kuiburudisha ardhi iliyokuwa imechoka.

1068:10 Kum 28:12; Za 65:9Ee Mungu, watu wako waliishi huko,

nawe kwa wingi wa utajiri wako

uliwapa maskini mahitaji yao.

1168:11 Lk 2:13Bwana alitangaza neno,

waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:

1268:12 Yos 10:16; Amu 5:30“Wafalme na majeshi walikimbia upesi,

watu waliobaki kambini waligawana nyara.

1368:13 Mwa 49:14Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini,

mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha,

manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.”

1468:14 2Sam 22:15; Amu 9:48Wakati Mwenyezi68:14 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania. alipowatawanya wafalme katika nchi,

ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni.

15Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka,

milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.

1668:16 Za 132:13, 14; 2:6; Kum 12:5Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka,

kwa nini mnakazia macho kwa wivu,

katika mlima Mungu anaochagua kutawala,

ambako Bwana mwenyewe ataishi milele?

1768:17 2Fal 2:11; Isa 66:15; Hab 3:8; Dan 7:10Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu,

na maelfu ya maelfu;

Bwana amekuja kutoka Sinai

hadi katika patakatifu pake.

1868:18 Za 47:5; 7:7; Amu 5:12; Efe 4:8; Hes 17:10Ulipopanda juu, uliteka mateka,

ukapokea vipawa kutoka kwa wanadamu,

hata kutoka kwa wale walioasi,

ili wewe, Ee Bwana Mungu, upate kuishi huko.

1968:19 Za 65:5; 81:6Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu,

ambaye siku kwa siku hutuchukulia mizigo yetu.

2068:20 1Sam 10:19; Za 56:13; Yer 45; 5; Eze 6:8Mungu wetu ni Mungu aokoaye,

Bwana Mwenyezi hutuokoa na kifo.

2168:21 Za 74:14; 110:5; Hab 3:13Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake,

vichwa vya hao waendao katika njia za dhambi.

2268:22 Ay 36:30; Mt 18:6Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani;

nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari,

2368:23 Za 58:10; 1Fal 21:19; 2Fal 9:36ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako,

huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”

2468:24 Za 63:2Ee Mungu, maandamano yako yameonekana,

maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu,

yakielekea patakatifu pake.

2568:25 1Nya 15:16; 6:31; 2Nya 5:12; Ufu 18:22; Mwa 31:27; Isa 5:12Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda,

pamoja nao wako wanawali wakipiga matari.

2668:26 Za 22:22; Ebr 2:12; Law 19:2Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa,

msifuni Bwana katika kusanyiko la Israeli.

2768:27 1Sam 9:21; Hes 34:21; Amu 5:18Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza,

wakifuatwa na kundi kubwa la watawala wa Yuda,

hatimaye watawala wa Zabuloni na Naftali.

2868:28 Kut 9:16; Za 29:11; Isa 26:12; 29:23; 45:11; 60:21; 64:8Ee Mungu, amuru uwezo wako,

Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako,

kama ulivyofanya hapo awali.

2968:29 2Nya 9:24; 32:23Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu

wafalme watakuletea zawadi.

3068:30 Isa 27:1; 34:7; 51:9; Ay 40:21; Eze 29:3; Za 22:12; 18:14; 120:7; 89:10; 140:2; Yer 50:27Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi,

kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa.

Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea.

Tawanya mataifa yapendayo vita.

3168:31 Isa 19:19; 43:3; 45:14; 11:11; 18:1; Sef 3:10Wajumbe watakuja kutoka Misri,

Kushi68:31 Kushi hapa ina maana maeneo ya Naili ya juu, yaani Ethiopia. atajisalimisha kwa Mungu.

3268:32 Za 46:6; 67:4; 7:17Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia,

mwimbieni Bwana sifa,

3368:33 Kum 33:26; Kut 9:23; Za 29:3, 4; Isa 30:30; 33:3; 66:6; 45:3mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu,

yeye angurumaye kwa sauti kuu.

3468:34 Za 68:28; 45:3Tangazeni uwezo wa Mungu,

ambaye fahari yake iko juu ya Israeli,

ambaye uwezo wake uko katika anga.

3568:35 Mwa 28:17; Isa 40:29; 41:10; 50:2; Za 66:20; 18:1; 29:11; 28:6; 2Kor 1:3; Kum 7:21Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako,

Mungu wa Israeli huwapa watu wake uwezo na nguvu.

Mungu Asifiwe!

New Serbian Translation

Псалми 68:1-35

Псалам 68

Хоровођи. Давидов. Псалам. Песма.

1Нека Бог устане,

нека се разиђу његови душмани!

Нека се разбеже пред њим они што га мрзе!

2Развеј их попут дима развејаног;

нек пропадну зликовци пред Богом

као восак истопљен у ватри.

3А праведни нека се радују,

нек пред Богом кличу,

нек ликују у весељу.

4Певајте Богу,

певајте славопој његовом имену;

уздигните оног што на облацима јаше.

Његово је име Господ,

ускликните пред њим.

5Отац сирочади и судија удовица –

то је Бог у свом светом Пребивалишту.

6Бог усамљенима даје да у кући живе,

заточене води благостању,

а бунтовници боравиће у спарушеној земљи.

7Боже, кад си ишао испред свог народа,

када си ступао пустињом, Села

8земља се тресла, небеса су пљуштала,

пред Богом, Богом синајским,

пред Богом, Богом Израиљевим.

9Боже, обиље си кише послао наследству своме;

уморно је оно било, а ти си га ојачао.

10Живаљ твој се онде настанио,

снабдеваш убогог добрима својим, Боже.

11Господ објављује,

а жена што носе вести велико је мноштво.

12Цареви и војске беже ли беже,

а лепотица куће плен раздељује.

13Ако и легнеш између торова,

ти си голубица крила обложених сребром,

и перја светлуцаво златног.

14Кад Свемоћни распрши цареве у земљи,

паде снег на Салмону.

15Гора Божија васанска је гора,

гора с врховима васанска је гора.

16Зашто завидно гледате, о, горе,

врхове горе коју Бог жели за боравиште своје;

где ће Господ зацело довека да пребива?

17Божијих је кола на хиљаде,

на многе хиљаде;

а Господ је међу њима,

на Синају, у светости.

18Ти се попе на висину,

поведе робље силно,

прими дарове од људи,

па чак и од бунтовника;

да пребиваш тамо,

Господе Боже.

19Благословен да је Господ,

што терете наше дан за даном носи,

Бог нашег спасења. Села

20Бог наш Бог је дела спасоносних,

од Господа Бога избављење је од смрти.

21Зацело ће Бог разбити главу својих противника,

и космато теме оног који живи у својим гресима.

22Господ каже: „Са Васана вратићу их,

из дубина мора вратићу их,

23па да ти нога гаца у крви

и језик твојих паса добије свој део од твојих противника.“

24Видеше поворке твоје, Боже;

поворке Бога мога, мога цара ка Светињи.

25Напред су ишли певачи, потом свирачи,

а у средини су девојке ударале даире.

26Благосиљајте у зборовима Бога Господа,

ви са врела Израиљева!

27Ено, млади Венијамин предводи их,

главари Јуде са мноштвом,

главари Завулона и главари Нефталима.

28Твој Бог снагу ти је одредио;

покажи снагу своју, Боже, што си за нас деловао.

29Због твог Дома у Јерусалиму

цареви ће ти дарове доносити.

30Запрети зверима у трсци,

крду бикова међу теладима народа;

па нек се понизе и донесу комаде сребра,

а он ће расути народе што у рату уживају.

31Доћи ће изасланици из Египта,

Куш журно пружа руке своје Богу.

32О, царства земаљска, певајте Богу;

певајте славопој Господу; Села

33ономе што јаше небом, древним небесима!

Ено, он тутњи гласом својим, гласом силним.

34Препознајте силу Божију над Израиљем,

величанство његово

и његову силу у небесима.

35Ти си страшан, Боже, у Светилишту своме;

Бог Израиљев сам даје силу и снагу народу.

Благословен да је Бог!