Zaburi 68 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 68:1-35

Zaburi 68

Wimbo Wa Taifa Wa Shangwe Kwa Ushindi

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.

168:1 Za 89:10; 132:8; 12:5; 18:14; 92:9; 144:6; Hes 10:35; Isa 17:13; 21:15; 33:3Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike,

adui zake na wakimbie mbele zake.

268:2 Za 37:20; 80:16; 22:14; 9:3; Hes 10:35Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo,

vivyo hivyo uwapeperushe mbali,

kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto,

vivyo hivyo waovu na waangamie mbele za Mungu.

368:3 Za 64:10; 97:12Bali wenye haki na wafurahi,

washangilie mbele za Mungu,

wafurahi na kushangilia.

468:4 2Sam 22:50; Za 7:17; 30:4; 66:2; 68:33; 96:2; 100:4; 135:3; 83:18; Kut 6:3; 20:21; Kum 33:26Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,

mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu:

jina lake ni Bwana,

furahini mbele zake.

568:5 Za 10:14; Kut 22:22; Kum 10:18; 26:15; Yer 25:30Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,

ni Mungu katika makao yake matakatifu.

668:6 Lk 4:18; Za 146:7; 113:9; 102:20; 79:11; 25:16; Isa 58:11; 35:7; 49:10; 61:1Mungu huwaweka wapweke katika jamaa,

huwaongoza wafungwa wakiimba,

bali waasi huishi katika nchi kame.

768:7 Kut 13:21; Za 78:40; 106:14Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako,

ulipopita nyikani,

868:8 2Sam 22:8; Amu 5:4, 5; Mhu 11:3; 2Sam 21:10; Kum 33:2dunia ilitikisika,

mbingu zikanyesha mvua,

mbele za Mungu, Yule wa Sinai,

mbele za Mungu, Mungu wa Israeli.

968:9 Kum 32:2; Ay 36:28; Eze 34:26Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi

na kuiburudisha ardhi iliyokuwa imechoka.

1068:10 Kum 28:12; Za 65:9Ee Mungu, watu wako waliishi huko,

nawe kwa wingi wa utajiri wako

uliwapa maskini mahitaji yao.

1168:11 Lk 2:13Bwana alitangaza neno,

waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:

1268:12 Yos 10:16; Amu 5:30“Wafalme na majeshi walikimbia upesi,

watu waliobaki kambini waligawana nyara.

1368:13 Mwa 49:14Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini,

mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha,

manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.”

1468:14 2Sam 22:15; Amu 9:48Wakati Mwenyezi68:14 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania. alipowatawanya wafalme katika nchi,

ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni.

15Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka,

milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.

1668:16 Za 132:13, 14; 2:6; Kum 12:5Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka,

kwa nini mnakazia macho kwa wivu,

katika mlima Mungu anaochagua kutawala,

ambako Bwana mwenyewe ataishi milele?

1768:17 2Fal 2:11; Isa 66:15; Hab 3:8; Dan 7:10Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu,

na maelfu ya maelfu;

Bwana amekuja kutoka Sinai

hadi katika patakatifu pake.

1868:18 Za 47:5; 7:7; Amu 5:12; Efe 4:8; Hes 17:10Ulipopanda juu, uliteka mateka,

ukapokea vipawa kutoka kwa wanadamu,

hata kutoka kwa wale walioasi,

ili wewe, Ee Bwana Mungu, upate kuishi huko.

1968:19 Za 65:5; 81:6Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu,

ambaye siku kwa siku hutuchukulia mizigo yetu.

2068:20 1Sam 10:19; Za 56:13; Yer 45; 5; Eze 6:8Mungu wetu ni Mungu aokoaye,

Bwana Mwenyezi hutuokoa na kifo.

2168:21 Za 74:14; 110:5; Hab 3:13Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake,

vichwa vya hao waendao katika njia za dhambi.

2268:22 Ay 36:30; Mt 18:6Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani;

nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari,

2368:23 Za 58:10; 1Fal 21:19; 2Fal 9:36ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako,

huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”

2468:24 Za 63:2Ee Mungu, maandamano yako yameonekana,

maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu,

yakielekea patakatifu pake.

2568:25 1Nya 15:16; 6:31; 2Nya 5:12; Ufu 18:22; Mwa 31:27; Isa 5:12Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda,

pamoja nao wako wanawali wakipiga matari.

2668:26 Za 22:22; Ebr 2:12; Law 19:2Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa,

msifuni Bwana katika kusanyiko la Israeli.

2768:27 1Sam 9:21; Hes 34:21; Amu 5:18Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza,

wakifuatwa na kundi kubwa la watawala wa Yuda,

hatimaye watawala wa Zabuloni na Naftali.

2868:28 Kut 9:16; Za 29:11; Isa 26:12; 29:23; 45:11; 60:21; 64:8Ee Mungu, amuru uwezo wako,

Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako,

kama ulivyofanya hapo awali.

2968:29 2Nya 9:24; 32:23Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu

wafalme watakuletea zawadi.

3068:30 Isa 27:1; 34:7; 51:9; Ay 40:21; Eze 29:3; Za 22:12; 18:14; 120:7; 89:10; 140:2; Yer 50:27Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi,

kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa.

Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea.

Tawanya mataifa yapendayo vita.

3168:31 Isa 19:19; 43:3; 45:14; 11:11; 18:1; Sef 3:10Wajumbe watakuja kutoka Misri,

Kushi68:31 Kushi hapa ina maana maeneo ya Naili ya juu, yaani Ethiopia. atajisalimisha kwa Mungu.

3268:32 Za 46:6; 67:4; 7:17Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia,

mwimbieni Bwana sifa,

3368:33 Kum 33:26; Kut 9:23; Za 29:3, 4; Isa 30:30; 33:3; 66:6; 45:3mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu,

yeye angurumaye kwa sauti kuu.

3468:34 Za 68:28; 45:3Tangazeni uwezo wa Mungu,

ambaye fahari yake iko juu ya Israeli,

ambaye uwezo wake uko katika anga.

3568:35 Mwa 28:17; Isa 40:29; 41:10; 50:2; Za 66:20; 18:1; 29:11; 28:6; 2Kor 1:3; Kum 7:21Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako,

Mungu wa Israeli huwapa watu wake uwezo na nguvu.

Mungu Asifiwe!

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Salmo 68:1-35

Salmo 68

Al director musical. Salmo de David. Cántico.

1Que se levante Dios,

que sean dispersados sus enemigos,

que huyan de su presencia los que le odian.

2Que desaparezcan del todo,

como humo que se disipa con el viento;

que perezcan ante Dios los impíos,

como cera que se derrite en el fuego.

3Pero que los justos se alegren y se regocijen;

que estén felices y alegres delante de Dios.

4Cantad a Dios, cantad salmos a su nombre;

aclamad a quien cabalga por las estepas,

y regocijaos en su presencia.

¡Su nombre es el Señor!

5Padre de los huérfanos y defensor de las viudas

es Dios en su morada santa.

6Dios da un hogar a los desamparados

y libertad a los cautivos;

los rebeldes habitarán en el desierto.

7Cuando saliste, oh Dios, al frente de tu pueblo,

cuando a través de los páramos marchaste, Selah

8la tierra se estremeció,

los cielos se vaciaron,

delante de Dios, el Dios de Sinaí,

delante de Dios, el Dios de Israel.

9Tú, oh Dios, diste abundantes lluvias;

reanimaste a tu extenuada herencia.

10Tu familia se estableció en la tierra

que en tu bondad, oh Dios, preparaste para el pobre.

11El Señor ha emitido la palabra,

y millares de mensajeras la proclaman:

12«Van huyendo los reyes y sus tropas;

en las casas, las mujeres se reparten el botín:

13alas de paloma cubiertas de plata,

con plumas de oro resplandeciente.

Tú te quedaste a dormir entre los rebaños».

14Cuando el Todopoderoso puso en fuga

a los reyes de la tierra,

parecían copos de nieve

cayendo sobre la cumbre del Zalmón.

15Montañas de Basán, montañas imponentes;

montañas de Basán, montañas escarpadas:

16¿Por qué, montañas escarpadas, miráis con envidia

al monte donde a Dios le place residir,

donde el Señor habitará por siempre?

17Los carros de guerra de Dios

se cuentan por millares;

del Sinaí vino en ellos el Señor

para entrar en su santuario.

18Cuando tú, Dios y Señor,

ascendiste a las alturas,

te llevaste contigo a los cautivos;

tomaste tributo de los hombres,

aun de los rebeldes,

para establecer tu morada.

19Bendito sea el Señor, nuestro Dios y Salvador,

que día tras día sobrelleva nuestras cargas. Selah

20Nuestro Dios es un Dios que salva;

el Señor Soberano nos libra de la muerte.

21Dios aplastará la cabeza de sus enemigos,

la testa enmarañada de los que viven pecando.

22El Señor nos dice: «De Basán los haré regresar;

de las profundidades del mar los haré volver,

23para que se empapen los pies

en la sangre de sus enemigos;

para que, al lamerla, los perros

tengan también su parte».

24En el santuario pueden verse

el cortejo de mi Dios,

el cortejo de mi Dios y Rey.

25Los cantores van al frente,

seguidos de los músicos de cuerda,

entre doncellas que tocan panderetas.

26Bendecid a Dios en la gran congregación;

alabad al Señor, descendientes de Israel.

27Los guía la joven tribu de Benjamín,

seguida de los múltiples príncipes de Judá

y de los príncipes de Zabulón y Neftalí.

28Despliega tu poder, oh Dios;

haz gala, oh Dios, de tu poder,

que has manifestado en favor nuestro.

29A causa de tu templo en Jerusalén

los reyes te ofrecerán presentes.

30Reprende a esa bestia de los juncos,

a esa manada de toros bravos

entre naciones que parecen becerros.

Haz que, humillada, te lleve lingotes de plata;

dispersa a las naciones belicosas.

31Egipto enviará embajadores,

y Cus se someterá a Dios.

32Cantad a Dios, oh reinos de la tierra,

cantad salmos al Señor, Selah

33al que cabalga por los cielos,

los cielos antiguos,

al que hace oír su voz,

su voz de trueno.

34Reconoced el poder de Dios;

su majestad está sobre Israel,

su poder está en las alturas.

35En tu santuario, oh Dios, eres imponente;

¡el Dios de Israel da poder y fuerza a su pueblo!

¡Bendito sea Dios!