Zaburi 65
Kusifu Na Kushukuru
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.
165:1 Kum 23:21; Za 2:6; 116:18Ee Mungu, sifa zakungojea katika Sayuni;
kwako wewe nadhiri zetu zitatimizwa.
265:2 Za 86:9; Isa 66:23; Lk 11:9, 10Ewe usikiaye maombi,
kwako wewe watu wote watakuja.
365:3 Za 40:12; 79:9; Rum 3:25; Ebr 9:14Tulipokuwa tumefunikwa kabisa na dhambi,
wewe ulisamehe makosa yetu.
465:4 Hes 16:5; Za 33:12; 36:8Heri wale uliowachagua
na kuwaleta karibu ili waishi katika nyua zako!
Tunashibishwa kwa mema ya nyumba yako,
mema ya Hekalu lako takatifu.
565:5 Kum 4:34; Isa 64:3; Za 107:23; 18:46; 68:19; 85:4; 45:4; 48:10; 106:22Unatujibu kwa matendo ya kushangaza ya haki,
Ee Mungu Mwokozi wetu,
tumaini la miisho yote ya duniani
na la bahari zilizo mbali sana,
665:6 Amo 4:13; Isa 51:9; Za 18:1; 93:1uliyeumba milima kwa uwezo wako,
ukiwa umejivika nguvu,
765:7 Za 139:20; 89:9; 74:23; 2:1; 93:3, 4; 107:29; Mt 8:26; Kum 32:41; Isa 17:12-13uliyenyamazisha dhoruba za bahari,
ngurumo za mawimbi yake,
na ghasia za mataifa.
865:8 Ay 37:5; Za 100:2; 107:22; 126:2; Isa 24:16; 52:9Wale wanaoishi mbali sana
wanaogopa maajabu yako,
kule asubuhi ipambazukiapo
na kule jioni inakofifilia
umeziita nyimbo za furaha.
965:9 Za 104:14, 24; 68:9, 10; Law 26:4; Mwa 27:28; Kum 32:14Waitunza nchi na kuinyeshea,
waitajirisha kwa wingi.
Vijito vya Mungu vimejaa maji
ili kuwapa watu nafaka,
kwa maana wewe umeviamuru.
1065:10 Kum 32:2; 2Sam 1:21; Ay 36:28; Mdo 14:17Umeilowesha mifereji yake
na kusawazisha kingo zake;
umeilainisha kwa manyunyu
na kuibariki mimea yake.
1165:11 Kum 28:12; Za 104:3, 28; 147:14; Yn 10:10; Lk 6:38Umeuvika mwaka taji ya baraka,
magari yako yanafurika kwa wingi.
1265:12 Ay 28:26; Yoe 2:22; Za 98:8Mbuga za majani za jangwani umezineemesha;
vilima vimevikwa furaha.
1365:13 Za 72:16; 98:8; 144:13; Zek 8:12; Isa 55:12; 44:23; 49:13; 30:33; 14:8Penye nyanda za malisho pamejaa makundi ya wanyama,
na mabonde yamepambwa kwa mavuno;
vyote vinashangilia kwa furaha na kuimba.
65
1-2ああ、シオンに住まわれる神。
私たちは賛美を内に秘めながら、
あなたを待っています。
そして、私たちの誓いを果たします。
神は祈りに答えてくださるお方なので、
あらゆる人が願い事を携えて集まります。
3たとえ私の心が罪に占領されていようと、
あなたはすべての罪を赦してくださいます。
4聖い天幕の内庭で神とともに住むようにと
選ばれた人は、 なんと幸いなことでしょう。
そこには、すべての良いものに加えて、
大いなる喜びが待ちかまえているのです。
5神は、恐怖におののかせるような行為や、
恐ろしい力を用いて、
私たちを敵から救い出してくださいます。
神は、世界中の人々にとって、唯一の望みです。
6神は底知れない力で山々をお造りになりました。
7また、怒濤さかまく海原を静め、
世界中の騒動を鎮圧なさいます。
8地の果てに住む人々は、
神のまばゆいばかりの行いに驚き恐れます。
夜明けと日没は喜びの声を張り上げます。
9神は水をまいて、肥沃な土地に変えられます。
神の川からは水がなくなることがありません。
また神は、ご自分の民のために大地を整え、
大豊作をもたらされます。
10水路は十分な雨で潤います。
夕立が大地をやわらげ、土のかたまりをほぐして、
田畑はいっせいに芽吹くのです。
11-12こうして、大地は緑の絨毯で覆われ、
荒れ地にはみずみずしい牧草が生い茂り、
小高い山の木々は嬉々として花を咲かせます。
13牧草地には羊が群がり、
谷間には麦の穂が波打ちます。
全世界が喜びの声を張り上げて歌っています。