Zaburi 64 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 64:1-10

Zaburi 64

Kuomba Ulinzi Dhidi Ya Maadui

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

164:1 Za 142:2; 140:1Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu,

uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.

264:2 Za 56:6; 59:2; 143:9; Kut 1:10Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu,

kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.

364:3 Za 7:13; 58:7; 57:4; 55:21; Isa 49:2Wananoa ndimi zao kama panga

na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.

464:4 Za 10:8; 11:2; 55:19; Ay 9:23Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia,

humrushia ghafula bila woga.

564:5 Za 91:3; 140:5; 119:110; 141:9; Ay 22:13Kila mmoja humtia moyo mwenzake

katika mipango mibaya;

huzungumza juu ya kuficha mitego yao,

nao husema, “Ni nani ataiona?”

6Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema,

“Tumebuni mpango mkamilifu!”

Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.

7Bali Mungu atawapiga kwa mishale,

nao ghafula wataangushwa.

864:8 Mit 12:13; 18:7; 2Fal 10:21; Za 109:25; 59:12; Kum 28:37Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao

na kuwaleta kwenye maangamizi;

wote wawaonao watatikisa vichwa vyao

kwa dharau.

964:9 Za 40:3; Yer 51:10Wanadamu wote wataogopa,

watatangaza kazi za Mungu

na kutafakari yale aliyoyatenda.

1064:10 Ay 22:19Wenye haki na wafurahi katika Bwana,

na wakimbilie kwake;

wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!

Japanese Contemporary Bible

詩篇 64:1-10

64

1-2神よ、この訴えに耳を傾け、

残忍な悪者どもの企みから守ってください。

3彼らの舌は、剣のように研ぎすまされていて、

私をひどく傷つけます。

情け容赦ないことばを矢のように、

この胸に射かけてくるのです。

4彼らは待ち伏せては、

罪のない者を不意打ちにしますが、

何かを恐れるということもありません。

5彼らは互いに励まし、悪事を行うのです。

ひそかに示し合わせては罠をしかけ、

「まさか、気づかれるはずがない」と言っています。

6目を光らせて悪事を重ねる機会をねらっているのです。

いくらでも時間をかけて、際限のない悪知恵を働かせ、

策略を巡らします。

7しかし、神から不意に矢が飛んで来て、

彼らを突き刺します。

8彼らはよろめいてのけぞり、

敵対していた相手の手によって、

息の根を止められるのです。

それを見ていた人々はみな、あざ笑います。

9同時に、すべての人は恐れに取りつかれ、

神の奇跡の偉大さを口にするのです。

こうして、神は驚くべきことをなさるお方だと

思い知ります。

10正しい人は主を信頼して喜び、

賛美のことばを惜しみません。