Zaburi 59 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 59:1-17

Zaburi 59

Kuomba Ulinzi Wa Mungu

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue.

159:1 Za 82:259:1 Za 143:9; 20:1Ee Mungu, uniokoe na adui zangu,

unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.

259:2 Za 14:4; 36:12; 53:4; 92:7; 94:16; 26:9; 139:19; Mit 29:10Uniponye na watu watendao mabaya,

uniokoe kutokana na wamwagao damu.

359:3 Za 56:6; 1Sam 26:18Tazama wanavyonivizia!

Watu wakali wananifanyia hila,

ingawa Ee Bwana, mimi sijakosea

wala kutenda dhambi.

459:4 Za 13:3; 119:3; Mt 5:11Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia.

Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!

559:5 Za 69:6; 80:4; 84:8; 44:23; 9:5; Isa 10:3; Yer 18:23; Dan 4:35Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli!

Zinduka uyaadhibu mataifa yote,

usionyeshe huruma kwa wasaliti.

659:6 Za 22:16Hurudi wakati wa jioni,

wakibweka kama mbwa,

wakiuzurura mji.

759:7 Za 55:21; 94:4; Mit 10:32; 12:23; 15:2, 28; Ay 22:13Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao,

hutema upanga kutoka midomo yao,

nao husema, “Ni nani atakayetusikia?”

859:8 Za 2:4; 37:13; Mit 1:26Lakini wewe, Bwana, uwacheke;

unayadharau mataifa hayo yote.

959:9 Za 18:1; 9:9; 18:2; 62:2; 71:3Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe,

wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,

10Mungu wangu unipendaye.

Mungu atanitangulia,

naye atanifanya niwachekelee

wale wanaonisingizia.

1159:11 Kum 4:9; 6:12; Za 3:3; 84:9; 89:10; 106:27; 144:6; Isa 33:3; Mwa 4:12, 13Lakini usiwaue, Ee Bwana, ngao yetu,

au sivyo watu wangu watasahau.

Katika uwezo wako wafanye watangetange

na uwashushe chini.

1259:12 Za 10:7; 64:8; Mit 10:14; 12:13; Isa 2:12; 5:15; Sef 3:11Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao,

kwa ajili ya maneno ya midomo yao,

waache wanaswe katika kiburi chao.

Kwa ajili ya laana na uongo wanaotamka,

1359:13 Za 83:18; 104:35wateketeze katika ghadhabu,

wateketeze hadi wasiwepo tena.

Ndipo itakapofahamika katika miisho ya dunia

kwamba Mungu anatawala juu ya Yakobo.

14Hurudi jioni,

wakibweka kama mbwa,

wakiuzurura mji.

1559:15 Ay 15:23Wanatangatanga wakitafuta chakula,

wasipotosheka hubweka kama mbwa.

1659:16 Za 5:3; 88:13; 101:1; 108:1; 1Sam 2:10; 2Sam 22:3; Kum 4:30Lakini mimi nitaziimba nguvu zako,

asubuhi nitaimba juu ya upendo wako;

kwa maana wewe ndiwe ngome yangu

na kimbilio langu wakati wa shida.

1759:17 Za 59:1Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa.

Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,

Mungu unipendaye.

Bibelen på hverdagsdansk

Salmernes Bog 59:1-18

Tilflugt hos Herren

1Til korlederen: En sang af David i anledning af, at Sauls soldater omringede hans hus for at dræbe ham.

2Min Gud, red mig fra de grusomme fjender,

beskyt mig mod dem, som vil slå mig ihjel.

3Fri mig for disse forbrydere,

red mig fra de frygtelige mordere.

4De ligger i baghold og lurer på mig,

farlige mænd venter på mig derude,

på trods af at jeg intet ondt har gjort.

5De er parat til at slå en uskyldig ihjel.

Herre, grib ind og kom mig til hjælp.

6Almægtige Herre, Israels Gud,

gå i krig mod de onde mennesker.

Spar ikke de grusomme forbrydere.

7De snuser rundt i byen om natten,

de knurrer som bidske hunde.

8Forbandelser strømmer ud af munden på dem,

de slår om sig med frygtelige trusler.

„Hvem skulle opdage os?” siger de.

9Men du ler blot ad dem, Herre,

du ser på de ugudelige med foragt.

10Herre, du giver mig styrke, og jeg stoler på dig.

Jeg kan altid søge tilflugt hos dig.

11Du elsker mig, Gud, og kommer mig til hjælp.

Du giver mig sejr over alle mine fjender.

12Slå dem ikke ihjel med det samme,

for så glemmer folk, hvad der skete.

Lad dem først vandre hjemløse rundt,

for du er den Almægtige, som beskytter os.

13De taler stolte og syndige ord.

Straf dem på grund af deres overmod,

for alle deres løgne og forbandelser.

14Udryd dem i din vrede,

gør det fuldstændigt af med dem.

Da vil alle i hele verden kunne se og forstå,

at du har magten i Israel.

15De snuser rundt i byen om natten,

de knurrer som bidske hunde.

16De går rundt og leder efter føde,

knurrer, hvis de ikke får nok.

17Men jeg vil altid lovprise din magt,

hver morgen vil jeg synge om din trofaste kærlighed.

For du er min tilflugt,

min hjælp på nødens dag.

18Du giver mig styrke, og jeg synger din pris.

Jeg søger tilflugt hos dig, min trofaste Gud.