Zaburi 57 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 57:1-11

Zaburi 57

Kuomba Msaada

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.

157:1 Isa 26:20Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie,

kwa maana nafsi yangu inakukimbilia.

Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia

mpaka maafa yapite.

257:2 Za 138:8Namlilia Mungu Aliye Juu Sana,

Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.

357:3 Za 18:9, 16; 69:14; 142:5, 7; 56:1; 25:10; 40:11; 115:1Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa,

akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali;

Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.

457:4 Za 35:17; 55:21; 64:3; Mit 30:14Niko katikati ya simba,

nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu:

watu ambao meno yao ni mikuki na mishale,

ambao ndimi zao ni panga kali.

557:5 Za 108:5Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

utukufu wako na uenee duniani kote.

657:6 Es 6:13; Za 31:4; 9:15; 140:5; 7:15; 38:6; 10:9; 145:14; Mit 28:10; Mhu 10:8Waliitegea miguu yangu nyavu,

nikainamishwa chini na dhiki.

Wamechimba shimo katika njia yangu,

lakini wametumbukia humo wao wenyewe.

757:7 Za 112:7; 108:1Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

857:8 Za 33:2; 149:3; 150:3; Amu 5:12Amka, nafsi yangu!

Amka, kinubi na zeze!

Nitayaamsha mapambazuko.

9Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;

nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.

1057:10 Za 36:5; 108:4Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni,

uaminifu wako unazifikia anga.

1157:11 Za 8:1; 149:3; 150:3; Amu 5:12Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni,

utukufu wako na uwe duniani pote.

Nova Versão Internacional

Salmos 57:1-11

Salmo 57

Para o mestre de música. De acordo com a melodia Não Destruas. Poema epigráfico davídico. Quando Davi fugiu de Saul para a caverna.

1Misericórdia, ó Deus; misericórdia,

pois em ti a minha alma se refugia.

Eu me refugiarei à sombra das tuas asas,

até que passe o perigo.

2Clamo ao Deus Altíssimo,

a Deus, que para comigo cumpre o seu propósito.

3Dos céus ele me envia a salvação,

põe em fuga os que me perseguem de perto; Pausa

Deus envia o seu amor e a sua fidelidade.

4Estou em meio a leões,

ávidos para devorar;

seus dentes são lanças e flechas,

sua língua é espada afiada.

5Sê exaltado, ó Deus, acima dos céus!

Sobre toda a terra esteja a tua glória!

6Preparam armadilhas para os meus pés;

fiquei muito abatido.

Abriram uma cova no meu caminho,

mas foram eles que nela caíram. Pausa

7Meu coração está firme, ó Deus,

meu coração está firme;

cantarei ao som de instrumentos!

8Acorde, minha alma!

Acordem, harpa e lira!

Vou despertar a alvorada!

9Eu te louvarei, ó Senhor, entre as nações;

cantarei teus louvores entre os povos.

10Pois o teu amor é tão grande que alcança os céus;

a tua fidelidade vai até as nuvens.

11Sê exaltado, ó Deus, acima dos céus!

Sobre toda a terra esteja a tua glória!