Zaburi 55 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 55:1-23

Zaburi 55

Maombi Ya Mtu Aliyesalitiwa Na Rafiki

Kwa mwimbishaji. Na ala za uimbaji. Utenzi wa Daudi.

155:1 Za 27:9; Mao 3:56Ee Mungu, sikiliza maombi yangu,

wala usidharau hoja yangu.

255:2 1Sam 1:15-16; Za 4:1; 77:3; 86:6-7; 142:2Nisikie na unijibu.

Mawazo yangu yananisumbua na nimehangaishwa

355:3 2Sam 16:6-8; 17:9; Za 143:3; 44:16; 71:11kwa sauti ya adui,

kwa kukaziwa macho na waovu,

kwa sababu wananiletea mateso juu yangu

na kunitukana kwa hasira zao.

455:4 Ay 18:11; Za 6:3; 102:3-5; Yn 12:27; Mt 26:37, 38; 2Kor 1:8-10Moyo wangu umejaa uchungu,

hofu ya kifo imenishambulia.

555:5 Ay 4:14; Eze 7:18; 2Kor 7:15; Isa 21:4; Kum 28:67; Yer 46:5; 49:5Woga na kutetemeka vimenizunguka,

hofu kuu imenigharikisha.

6Nilisema, “Laiti ningekuwa na mbawa za njiwa!

Ningeruka niende mbali kupumzika.

755:7 1Sam 23:14Ningalitorokea mbali sana

na kukaa jangwani,

855:8 Za 31:20; 77:18; Isa 4:6; 25:4; 28:2; 29:6; 32:2ningaliharakisha kwenda mahali pa salama,

mbali na tufani kali na dhoruba.”

955:9 Mwa 4:17; 11:9; Mdo 2:4; Za 11:5; Isa 59:6; Yer 6:7; Eze 7:11; Hab 1:3Ee Bwana, uwatahayarishe waovu

na uwachanganyishie semi zao,

maana nimeona jeuri na ugomvi mjini.

1055:10 1Pet 5:8Usiku na mchana wanazunguka juu ya kuta zake,

uovu na dhuluma vimo ndani yake.

1155:11 Za 5:9; 10:7Nguvu za uharibifu zinatenda kazi mjini,

vitisho na uongo haviondoki mitaani mwake.

12Kama aliyenitukana ni adui yangu, ningevumilia,

kama mtu mwovu angejiinua dhidi yangu,

ningejificha asinione.

1355:13 2Sam 15:12Kumbe ni wewe, mwenzangu,

mshiriki na rafiki yangu wa karibu,

1455:14 Mdo 1:16-17; Za 42:4ambaye awali tulifurahia ushirika mzuri,

tulipokuwa tukienda na umati hekaluni mwa Mungu.

1555:15 Za 64:7; 49:14; Mit 6:5; Isa 29:5; 47:9, 11; 1The 5:3; Hes 16:30Kifo na kiwajie adui zangu ghafula,

na washuke kuzimu wangali hai,

kwa maana uovu upo ndani yao.

16Lakini ninamwita Mungu,

naye Bwana huniokoa.

1755:17 Za 141:2; 88:13; 92:2; 5:3; Mdo 3:1; 10:9; 10:3, 30; Lk 18:1; Dan 6:10Jioni, asubuhi na adhuhuri

ninalia kwa huzuni,

naye husikia sauti yangu.

1855:18 2Nya 32:7Huniokoa nikawa salama katika vita

vilivyopangwa dhidi yangu,

ingawa watu wengi hunipinga.

1955:19 Kum 33:27; Za 29:10; 78:59; 36:1; 64:4; Kut 15:18Mungu anayemiliki milele,

atawasikia na kuwaadhibu,

watu ambao hawabadilishi njia zao,

wala hawana hofu ya Mungu.

2055:20 Za 7:4; 41:9Mwenzangu hushambulia rafiki zake,

naye huvunja agano lake.

2155:21 Za 59:7; 57:4; 12:2; 64:3; Ufu 1:16; Mit 5:3; 6:24; 12:18Mazungumzo yake ni laini kama siagi,

hata hivyo vita vimo moyoni mwake.

Maneno yake ni mororo kuliko mafuta,

hata hivyo ni upanga mkali uliofutwa.

2255:22 1Pet 5:7; Za 15:5; 18:35; 112:6; 21:7; 37:24; Mt 6:25-34Mtwike Bwana fadhaa zako,

naye atakutegemeza,

hatamwacha kamwe mwenye haki wake aanguke.

2355:23 Za 5:6; 11:1; 9:15; 73:18; 94:13; 25:2; 30:3; 56:3; Isa 14:15; Eze 28:8; Lk 8:31; Ay 15:32Lakini wewe, Ee Mungu,

utawashusha waovu katika shimo la uharibifu.

Wenye kiu ya kumwaga damu na wenye hila,

hawataishi nusu ya siku zao.

Lakini mimi ninakutumaini wewe.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 55:1-23

第 55 篇

被朋友出卖者的祷告

大卫作的训诲诗,交给乐长,用弦乐器。

1上帝啊,

求你垂听我的祷告,

不要对我的呼求置之不理。

2求你垂听、应允我的呼求。

我思绪烦乱,坐立不安。

3仇敌向我咆哮,

恶人迫害我。

他们带给我苦难,

怒气冲冲地辱骂我。

4我内心悲痛,

被死亡的恐怖笼罩。

5我浑身颤栗,惊恐不已。

6啊,但愿我能像鸽子展翅飞去,

得享安息。

7我要飞到远方,住在旷野。(细拉)

8我要赶快躲进避难所,

避过暴雨狂风。

9主啊,

我在城中看见暴力和争斗,

求你使他们言语混乱。

10他们昼夜在城墙上出没,

城内充满了邪恶和压迫,

11毁坏的势力到处肆虐,

恐吓与欺诈遍布大街小巷。

12倘若是仇敌辱骂我,

我还能忍受;

倘若是恨我的人欺凌我,

我还可以躲开。

13可是,竟然是你——我志同道合的伙伴,我的挚友!

14从前我们情谊深厚,

与众人同去上帝的殿。

15愿死亡突然抓住我的仇敌,

愿他们活活地下阴间,

因为他们的内心和家中罪恶充斥。

16但我要呼求耶和华上帝,

祂必拯救我。

17晚上、早晨和中午,

我发出痛苦的呼求,

祂必垂听。

18虽然许多人攻击我,

祂必救我平安脱离险境。

19永掌王权的上帝必鉴察并惩罚他们,

因为他们顽梗悖逆、不敬畏上帝。

20我的同伴违背盟约,攻击朋友。

21他口蜜腹剑,笑里藏刀。

22把你的重担卸给耶和华,

祂必扶持你。

祂必不让义人跌倒。

23上帝啊,

你必把恶人送进灭亡的坑里。

嗜血成性的骗子必早早夭亡。

但我要信靠你。