Zaburi 53 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 53:1-6

Zaburi 53

Uovu Wa Wanadamu

(Zaburi 14)

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.

153:1 Za 107:17; 74:22; 10:4; Mit 10:23; Rum 3:10Mpumbavu anasema moyoni mwake,

“Hakuna Mungu.”

Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa,

hakuna hata mmoja atendaye mema.

253:2 Za 33:13; 82:5; Yer 4:22; 8:8; 2Nya 15:2Mungu anawachungulia wanadamu chini

kutoka mbinguni

aone kama wako wenye akili,

wowote wanaomtafuta Mungu.

353:3 Rum 3:10-12; Mhu 7:29Kila mmoja amegeukia mbali,

wameharibika wote pamoja,

hakuna atendaye mema.

Naam, hakuna hata mmoja!

453:4 Yer 4:22Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

wale ambao huwala watu wangu

kama watu walavyo mkate,

hao ambao hawamwiti Mungu?

553:5 Law 26:17; Eze 6:5; 2Fal 17:20; 23:14; Za 141:7; Mao 5:22; Yer 6:30; 14:19; 8:1; Ay 8:22Hapo waliingiwa na hofu kuu,

ambapo hapakuwa cha kutetemesha.

Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia;

uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.

6Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni!

Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake,

Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!

Korean Living Bible

시편 53:1-6

어리석은 사람

(다윗의 교훈시. 성가대 지휘자를 따라 ‘마할랏’ 이란 슬픈 곡조에 맞춰 부른 노래)

1어리석은 사람은 그 마음에

“하나님이 없다” 고 말한다.

그들이 부패하고

더러운 일을 행하니

선을 행하는 사람이 없구나.

2하나님이 하늘에서

모든 인간을 굽어살피시며

지혜로운 사람과

하나님을 찾는 사람이

있는지 보려 하셨으나

3다 잘못된 길로 갔으며

하나같이 더러워졌고

선을 행하는 사람이 없으니

하나도 없구나.

4하나님이 물으신다.

“악을 행하는 자들이 다 무식한가?

그들은 떡 먹듯이

내 백성을 약탈해 먹고

나를 부르지 않는구나.”

5그들이 두려워할 것이 없는데도

크게 두려워하는 것은

하나님이 자기 백성을 친

원수들의 뼈를 흩으셨음이라.

하나님이

그들을 버리셨으므로

그들이 패배의 수치를

당하게 되었구나.

6이스라엘의 구원이

시온에서 나오기를 바라노라.

여호와께서 53:6 또는 ‘그 백성의 포로된 것을 돌이키실 때에’자기 백성을

다시 번영하게 하실 때

야곱이 즐거워하고

이스라엘이 기뻐하리라.