Zaburi 53 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 53:1-6

Zaburi 53

Uovu Wa Wanadamu

(Zaburi 14)

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.

153:1 Za 107:17; 74:22; 10:4; Mit 10:23; Rum 3:10Mpumbavu anasema moyoni mwake,

“Hakuna Mungu.”

Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa,

hakuna hata mmoja atendaye mema.

253:2 Za 33:13; 82:5; Yer 4:22; 8:8; 2Nya 15:2Mungu anawachungulia wanadamu chini

kutoka mbinguni

aone kama wako wenye akili,

wowote wanaomtafuta Mungu.

353:3 Rum 3:10-12; Mhu 7:29Kila mmoja amegeukia mbali,

wameharibika wote pamoja,

hakuna atendaye mema.

Naam, hakuna hata mmoja!

453:4 Yer 4:22Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

wale ambao huwala watu wangu

kama watu walavyo mkate,

hao ambao hawamwiti Mungu?

553:5 Law 26:17; Eze 6:5; 2Fal 17:20; 23:14; Za 141:7; Mao 5:22; Yer 6:30; 14:19; 8:1; Ay 8:22Hapo waliingiwa na hofu kuu,

ambapo hapakuwa cha kutetemesha.

Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia;

uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.

6Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni!

Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake,

Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!

Japanese Contemporary Bible

詩篇 53:1-6

53

1「神などいない」と言うのは愚か者です。

心がひねくれていて、

うしろ暗い生活を送っている証拠です。

その人のいのちは罪にむしばまれています。

2神は天から全人類を見下ろして、

だれか一人でも、正しいことを行い、

心から神を求める者がいないかと、

探しておられます。

3しかし、神に背いていない人間などいません。

人々は罪にまみれ、芯まで腐りきっています。

正しい者は一人もいません。

4どうしてこんなことになったのでしょう。

彼らはわからないのでしょうか。

彼らはパンのように、わたしの民を食いちぎり、

神に立ち返ろうとしないからです。

5しかし、そのうち、

かつてないほどの恐怖に取りつかれます。

神は、このような敵どもを見捨て、

その骨をばらまかれます。

6ああ、今、神がシオンからおいでになって、

イスラエルを救ってくださいますように。

主ご自身が人々を元どおりにされるとき、

人々は再び幸せになれるのです。