Zaburi 53 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 53:1-6

Zaburi 53

Uovu Wa Wanadamu

(Zaburi 14)

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.

153:1 Za 107:17; 74:22; 10:4; Mit 10:23; Rum 3:10Mpumbavu anasema moyoni mwake,

“Hakuna Mungu.”

Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa,

hakuna hata mmoja atendaye mema.

253:2 Za 33:13; 82:5; Yer 4:22; 8:8; 2Nya 15:2Mungu anawachungulia wanadamu chini

kutoka mbinguni

aone kama wako wenye akili,

wowote wanaomtafuta Mungu.

353:3 Rum 3:10-12; Mhu 7:29Kila mmoja amegeukia mbali,

wameharibika wote pamoja,

hakuna atendaye mema.

Naam, hakuna hata mmoja!

453:4 Yer 4:22Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

wale ambao huwala watu wangu

kama watu walavyo mkate,

hao ambao hawamwiti Mungu?

553:5 Law 26:17; Eze 6:5; 2Fal 17:20; 23:14; Za 141:7; Mao 5:22; Yer 6:30; 14:19; 8:1; Ay 8:22Hapo waliingiwa na hofu kuu,

ambapo hapakuwa cha kutetemesha.

Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia;

uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.

6Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni!

Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake,

Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!

Священное Писание

Забур 53:1-9

Песнь 53

1Дирижёру хора. На струнных инструментах. Наставление Давуда, 2когда зифиты пришли и сказали Шаулу: «У нас скрывается Давуд»53:2 См. 1 Цар. 23:19-28; 26:1-2..

3Всевышний, спаси меня Своим именем;

оправдай меня Своей силой!

4Всевышний, услышь молитву мою;

внемли моим словам!

5Чужие восстали против меня,

беспощадные желают моей смерти –

те, кто не думает о Всевышнем. Пауза

6Но Всевышний – помощник мне;

Владыка меня укрепляет.

7Он воздаст врагам моим за зло,

погубит их ради Своей верности.

8Я добровольно принесу Тебе жертву.

Вечный, я буду славить имя Твоё,

потому что оно прекрасно.

9Ведь Ты уберёг меня от всех бед,

и я видел поражение моих врагов.