Zaburi 53
Uovu Wa Wanadamu
(Zaburi 14)
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.
153:1 Za 107:17; 74:22; 10:4; Mit 10:23; Rum 3:10Mpumbavu anasema moyoni mwake,
“Hakuna Mungu.”
Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa,
hakuna hata mmoja atendaye mema.
253:2 Za 33:13; 82:5; Yer 4:22; 8:8; 2Nya 15:2Mungu anawachungulia wanadamu chini
kutoka mbinguni
aone kama wako wenye akili,
wowote wanaomtafuta Mungu.
353:3 Rum 3:10-12; Mhu 7:29Kila mmoja amegeukia mbali,
wameharibika wote pamoja,
hakuna atendaye mema.
Naam, hakuna hata mmoja!
453:4 Yer 4:22Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:
wale ambao huwala watu wangu
kama watu walavyo mkate,
hao ambao hawamwiti Mungu?
553:5 Law 26:17; Eze 6:5; 2Fal 17:20; 23:14; Za 141:7; Mao 5:22; Yer 6:30; 14:19; 8:1; Ay 8:22Hapo waliingiwa na hofu kuu,
ambapo hapakuwa cha kutetemesha.
Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia;
uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.
6Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni!
Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake,
Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!
Песнь 53
1Дирижёру хора. На струнных инструментах. Наставление Давуда, 2когда зифиты пришли и сказали Шаулу: «У нас скрывается Давуд»53:2 См. 1 Цар. 23:19-28; 26:1-2..
3Всевышний, спаси меня Своим именем;
оправдай меня Своей силой!
4Всевышний, услышь молитву мою;
внемли моим словам!
5Чужие восстали против меня,
беспощадные желают моей смерти –
те, кто не думает о Всевышнем. Пауза
6Но Всевышний – помощник мне;
Владыка меня укрепляет.
7Он воздаст врагам моим за зло,
погубит их ради Своей верности.
8Я добровольно принесу Тебе жертву.
Вечный, я буду славить имя Твоё,
потому что оно прекрасно.
9Ведь Ты уберёг меня от всех бед,
и я видел поражение моих врагов.