Zaburi 52 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 52:1-9

Zaburi 52

Hukumu Ya Mungu

Kwa mwimbishaji. Utenzi wa Daudi. Baada ya Doegi, Mwedomu kumwendea Sauli na kumjulisha kuwa: “Daudi amekwenda nyumbani kwa Ahimeleki.”

152:1 Za 10:3; 44:8; 94:4; 1Sam 21:7Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?

Kwa nini unajivuna mchana kutwa,

wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?

252:2 Za 5:9; 59:7; Hes 6:5; Mit 12:18Ulimi wako hupanga mashauri mabaya ya maangamizi.

Ni kama wembe mkali, ninyi mfanyao hila.

352:3 Kut 10:10; Za 58:3; 1Sam 12:25; Amo 5:14, 15; Yn 3:20; Ufu 21:8; Yer 9:4, 5Unapenda mabaya kuliko mema,

uongo kuliko kusema kweli.

452:4 Za 5:9; 10:7; 109:2; 120:2, 3; Mit 10:31; 12:19Unapenda kila neno lenye kudhuru,

ewe ulimi wenye hila!

552:5 Kum 28:63; 29:28; Ay 28:13; 40:12; Isa 22:19; Mit 2:22; Eze 17:24Hakika Mungu atakushusha chini

kwa maangamizi ya milele:

atakunyakua na kukuondoa kwa nguvu

kutoka hema yako,

atakungʼoa kutoka nchi ya walio hai.

652:6 Ay 22:19; Za 58:10Wenye haki wataona na kuogopa,

watamcheka, wakisema,

752:7 2Sam 22:3; Za 49:6; Mk 10:23; Mit 11:28; Ay 31:24, 25“Huyu ni yule mtu ambaye

hakumfanya Mungu kuwa ngome yake,

bali alitumainia wingi wa utajiri wake,

na akawa hodari kwa kuwaangamiza wengine!”

Neema Ya Mungu

852:8 Ufu 11:4; Za 1:3; 6:4; 13:5; 54:6Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni

unaostawi katika nyumba ya Mungu,

nautegemea upendo wa Mungu usiokoma

milele na milele.

952:9 Ay 7:6; Za 16:3; 30:12; 25:3; 54:6; Kum 7:6Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda,

nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni jema.

Nitakusifu mbele ya watakatifu wako.

Korean Living Bible

시편 52:1-9

악인의 운명

(다윗의 교훈시. 에돔 사람 도엑이 사울에게 가서 다윗이 아히멜렉의 집에 왔다는 말을 했을 때 지은 것. 성가대 지휘자를 따라 부른 노래)

1폭군 같은 자여,

네가 어째서

악을 자랑하느냐?

하나님의 사랑은 영원하다.

2남을 속이며

악한 음모를 꾸미는 네 혀가

날카로운 면도칼 같구나.

3너는 선보다 악을 더 사랑하고

진실보다 거짓을 더 사랑한다.

4간사한 자여,

네가 남을 해치는 말을

좋아하는구나.

5그래서 하나님이 너를 치고

네 집에서 너를 뽑아내며

이 세상에서 너를

영원히

제거하실 것이다.

6의로운 자들이 이것을 보고

두려워하며 비웃고

7“이 사람은 하나님을

자기 피난처로 삼지 않고

그의 많은 재산을 의지하며

남을 해침으로써

강해진 자이다” 할 것이다.

8그러나 나는

하나님의 집에서

싱싱하게 자라나는

감람나무 같으니

내가 하나님의 한결같은 사랑을

영원히 의지하리라.

9하나님이시여,

주께서 행하신 일에 대하여

내가 항상 주께 감사하고

주의 선하심에 대하여

주의 백성 앞에서

주를 찬양하겠습니다.