Zaburi 49 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 49:1-20

Zaburi 49

Upumbavu Wa Kutegemea Mali

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

149:1 Isa 1:2; Za 33:8; 78:1Sikieni haya, enyi mataifa yote,

sikilizeni, ninyi wote mkaao dunia hii.

249:2 Za 62:9Wakubwa kwa wadogo,

matajiri na maskini pamoja:

349:3 Za 37:30; 119:130Kinywa changu kitasema maneno ya hekima,

usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.

449:4 Za 33:2; 78:2; 1Sam 16:16; Mit 1:6; Eze 12:22; 16:44; 18:2, 3; Hes 12:8; Lk 4:23Nitatega sikio langu nisikilize mithali,

nitafafanua kitendawili kwa zeze:

549:5 Za 23:4; 27:1Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja,

wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,

649:6 Yer 48:7; Za 10:3; 73:12; Ay 22:25; 36:19wale wanaotegemea mali zao

na kujivunia utajiri wao mwingi?

749:7 Mt 16:26Hakuna mwanadamu awaye yote

awezaye kuukomboa uhai wa mwingine,

au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.

849:8 Hes 35:31; Mt 16:26; Ay 36:18Fidia ya uhai ni gharama kubwa,

hakuna malipo yoyote yanayotosha,

949:9 Za 22:29; 89:48; 16:10; Ebr 9:27ili kwamba aishi milele

na asione uharibifu.

1049:10 Mhu 2:16, 18, 21; Za 92:6; 94:8; Ay 27:17; Lk 12:20Wote wanaona kwamba watu wenye hekima hufa;

wajinga na wapumbavu vivyo hivyo huangamia

na kuwaachia wengine mali zao.

1149:11 Mk 5:3; Lk 8:27; Za 106:31; Kum 3:14Makaburi yao yatabaki kuwa nyumba zao za milele,

makao yao vizazi vyote;

ingawa walikuwa na mashamba

na kuyaita kwa majina yao.

1249:12 Ay 14:2Lakini mwanadamu, licha ya utajiri wake, hadumu;

anafanana na mnyama aangamiaye.

1349:13 Lk 12:20Hii ndiyo hatima ya wale wanaojitumainia wenyewe,

pia ya wafuasi wao, waliothibitisha misemo yao.

1449:14 Yer 43:11; Isa 14:2; Hes 16:30; Eze 31:14; Mal 4:3; Ay 21:13; Ufu 2:26; 1Kor 6:2; Za 9:17; 55:15; Dan 7:18, 22; Lk 22:30; 2Tim 2:12Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini,49:14 Kaburini hapa ina maana ya Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu.

nacho kifo kitawala.

Wanyofu watawatawala asubuhi,

maumbile yao yataozea kaburini,

mbali na majumba yao makubwa ya fahari.

1549:15 Za 56:13; Hos 13:14; Mwa 5:24Lakini Mungu atakomboa uhai49:15 Au: nafsi. wangu na kaburi,

hakika atanichukua kwake.

16Usitishwe mtu anapotajirika,

fahari ya nyumba yake inapoongezeka,

1749:17 1Tim 6:7; Za 17:14kwa maana hatachukua chochote atakapokufa,

fahari yake haitashuka pamoja naye.

1849:18 Za 10:6; Lk 12:19Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri,

na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,

1949:19 Mwa 15:15; Ay 33:30atajiunga na kizazi cha baba zake,

ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.

2049:20 Mit 16:16; Mhu 3:19-21Mwanadamu mwenye utajiri bila ufahamu

ni kama wanyama waangamiao.

Hoffnung für Alle

Psalm 49:1-21

Das Leben ist nicht käuflich!

1Ein Lied der Nachkommen von Korach.

2Hört zu, all ihr Völker!

Horcht auf, ihr Bewohner der Erde!

3Ob ihr einfache oder vornehme Leute seid,

ob arm oder reich –

4ich habe euch Wichtiges zu sagen!

Meine Worte sind die Worte eines Weisen,

und tiefe Einsicht spricht aus ihnen.

5Denn ich höre genau zu, wenn Gott mir Sprüche der Weisheit vermittelt,49,5 Wörtlich: ich neige mein Ohr zu einem Spruch.

beim Spiel auf der Laute will ich euch nun ihre Bedeutung erklären.

6Warum sollte ich mich fürchten, wenn ein Unglück naht,

wenn ich umgeben bin von boshaften und hinterhältigen Menschen?

7Sie verlassen sich auf ihren Reichtum,

mit Geld und Luxus protzen sie.

8Doch niemand kann für das Leben seines Freundes bezahlen,

niemand kann ihn bei Gott vom Tod freikaufen.

9Denn ein Menschenleben kann man nicht mit Gold aufwiegen –

aller Reichtum dieser Welt wäre noch zu wenig!

10Keiner lebt hier ewig,

niemand kann dem Grab entrinnen.

11Jeder kann es sehen: Auch die klügsten Menschen werden vom Tod ereilt,

genauso wie Tagträumer und Dummköpfe.

Ihren Besitz müssen sie zurücklassen – für andere!

12Sie bilden sich ein, dass ihre Häuser für die Ewigkeit gebaut sind

und alle Generationen überdauern.

Aber es hilft ihnen nichts,

selbst wenn sie ganze Länder besessen haben.49,12 Oder nach der griechischen Übersetzung: (Vers 12) Gräber sind auf ewig ihre Behausung, ihre Wohnung für alle Generationen, auch wenn sie ganze Länder besessen haben.

13Reichtum und Ansehen erhalten keinen Menschen am Leben;

er verendet wie das Vieh.

14Dieses Schicksal trifft alle, die auf sich selbst vertrauen

und sich in ihrem überheblichen Gerede gefallen:

15Ahnungslos wie Schafe trotten sie in die Totenwelt;

ihr Hirte dort ist niemand anderes als der Tod.

Ihr Körper verwest im Grab, und ihre vornehmen Häuser zerfallen.

Dann bricht ein neuer Morgen an –

der Tag, an dem die aufrichtigen Menschen über sie triumphieren.49,15 Der hebräische Text ist nur schwer zu deuten.

16Ich bin gewiss: Gott wird mich erlösen,

er wird mich den Klauen des Todes entreißen.

17Lass dich nicht einschüchtern, wenn einer steinreich wird

und sein Haus immer prachtvoller ausstattet!

18Nichts kann er davon mitnehmen, wenn er stirbt;

was er angehäuft hat, folgt ihm nicht ins Grab.

19Er preist sich selbst: »Ich bin meines Glückes Schmied!«,

und man schmeichelt ihm, weil er so erfolgreich ist.

20Und doch kommt auch er dorthin, wo seine Vorfahren sind,

die nie mehr das Licht sehen.

21Ein Mensch mag zu Reichtum und Ansehen kommen;

aber wenn er keine Einsicht erlangt, verendet er wie das Vieh.