Zaburi 49
Upumbavu Wa Kutegemea Mali
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
149:1 Isa 1:2; Za 33:8; 78:1Sikieni haya, enyi mataifa yote,
sikilizeni, ninyi wote mkaao dunia hii.
249:2 Za 62:9Wakubwa kwa wadogo,
matajiri na maskini pamoja:
349:3 Za 37:30; 119:130Kinywa changu kitasema maneno ya hekima,
usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.
449:4 Za 33:2; 78:2; 1Sam 16:16; Mit 1:6; Eze 12:22; 16:44; 18:2, 3; Hes 12:8; Lk 4:23Nitatega sikio langu nisikilize mithali,
nitafafanua kitendawili kwa zeze:
549:5 Za 23:4; 27:1Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja,
wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,
649:6 Yer 48:7; Za 10:3; 73:12; Ay 22:25; 36:19wale wanaotegemea mali zao
na kujivunia utajiri wao mwingi?
749:7 Mt 16:26Hakuna mwanadamu awaye yote
awezaye kuukomboa uhai wa mwingine,
au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.
849:8 Hes 35:31; Mt 16:26; Ay 36:18Fidia ya uhai ni gharama kubwa,
hakuna malipo yoyote yanayotosha,
949:9 Za 22:29; 89:48; 16:10; Ebr 9:27ili kwamba aishi milele
na asione uharibifu.
1049:10 Mhu 2:16, 18, 21; Za 92:6; 94:8; Ay 27:17; Lk 12:20Wote wanaona kwamba watu wenye hekima hufa;
wajinga na wapumbavu vivyo hivyo huangamia
na kuwaachia wengine mali zao.
1149:11 Mk 5:3; Lk 8:27; Za 106:31; Kum 3:14Makaburi yao yatabaki kuwa nyumba zao za milele,
makao yao vizazi vyote;
ingawa walikuwa na mashamba
na kuyaita kwa majina yao.
1249:12 Ay 14:2Lakini mwanadamu, licha ya utajiri wake, hadumu;
anafanana na mnyama aangamiaye.
1349:13 Lk 12:20Hii ndiyo hatima ya wale wanaojitumainia wenyewe,
pia ya wafuasi wao, waliothibitisha misemo yao.
1449:14 Yer 43:11; Isa 14:2; Hes 16:30; Eze 31:14; Mal 4:3; Ay 21:13; Ufu 2:26; 1Kor 6:2; Za 9:17; 55:15; Dan 7:18, 22; Lk 22:30; 2Tim 2:12Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini,49:14 Kaburini hapa ina maana ya Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu.
nacho kifo kitawala.
Wanyofu watawatawala asubuhi,
maumbile yao yataozea kaburini,
mbali na majumba yao makubwa ya fahari.
1549:15 Za 56:13; Hos 13:14; Mwa 5:24Lakini Mungu atakomboa uhai49:15 Au: nafsi. wangu na kaburi,
hakika atanichukua kwake.
16Usitishwe mtu anapotajirika,
fahari ya nyumba yake inapoongezeka,
1749:17 1Tim 6:7; Za 17:14kwa maana hatachukua chochote atakapokufa,
fahari yake haitashuka pamoja naye.
1849:18 Za 10:6; Lk 12:19Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri,
na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,
1949:19 Mwa 15:15; Ay 33:30atajiunga na kizazi cha baba zake,
ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.
2049:20 Mit 16:16; Mhu 3:19-21Mwanadamu mwenye utajiri bila ufahamu
ni kama wanyama waangamiao.
第 49 篇
财富的虚幻
可拉后裔的诗,交给乐长。
1万民啊,你们要听!
世人啊,
2不论贵贱贫富,都要留心听!
3因为我口出智慧,心思明智。
4我要侧耳听箴言,
弹琴解释人生之谜。
5危难来临,四面被奸诈之徒包围时,我何必惧怕?
6他们倚靠金钱、夸耀财富,
7却不能救赎自己的生命,
也无法向上帝付生命的赎价。
8因为生命的赎价高昂,
无人付得起,
9以致可以永远活着,不进坟墓。
10众所周知,即使智者也要死去,
愚人和庸者也要灭亡,
将他们的财富留给别人。
11尽管他们用自己的名字来为产业命名,
坟墓却是他们永远的归宿,
世代的住处。
12人不能长享富贵,
终必死去,与兽无异。
13这就是愚昧人及其追随者的下场!(细拉)
14他们注定要死,与羊无异,
死亡是他们的牧者;
到了早晨,
他们必被正直人管辖。
他们的躯体必朽烂在坟墓里,
远离自己的豪宅。
15但上帝必救赎我的生命脱离死亡的权势,
接我到祂身边。(细拉)
16因此,见他人财富增多,
日益奢华,
不要害怕。
17因为他们死后什么也带不走,
再不能拥有荣华富贵。
18他们活着时自以为有福,
人们都赞扬他们的成就,
19到头来他们还是要归到祖先那里,
再也看不见光明。
20人有财富,却无明智的心,
无异于必死的兽类。