Zaburi 47
Mtawala Mwenye Enzi Yote
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
147:1 2Fal 11:12; Za 33:3Pigeni makofi, enyi mataifa yote,
mpigieni Mungu kelele za shangwe!
247:2 Kum 7:21; Mal 1:14; Mwa 14:18; Neh 1:5; Za 2; 6; 48:2; 95:3; Mt 5:35Jinsi gani alivyo wa kutisha, Bwana Aliye Juu Sana,
Mfalme mkuu juu ya dunia yote!
347:3 Za 18:39, 47; Isa 14:6Ametiisha mataifa chini yetu
watu wengi chini ya miguu yetu.
447:4 Za 2:8; 16:6; 78:55; 1Pet 1:4; Amo 6:8; 8:7Alituchagulia urithi wetu,
fahari ya Yakobo, aliyempenda.
547:5 Za 68:18; Efe 4:8Mungu amepaa kwa kelele za shangwe,
Bwana kwa sauti za tarumbeta.
647:6 2Sam 22:50Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa,
mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
747:7 Zek 14:9, 19; 1Nya 16:7; Kol 3:16; 1Kor 14:15Kwa kuwa Mungu ni mfalme wa dunia yote,
mwimbieni zaburi za sifa.
847:8 1Nya 16:31; 1Fal 22:19; Za 9:4; Ufu 4:9Mungu anatawala juu ya mataifa,
Mungu ameketi juu ya kiti chake cha enzi kitakatifu.
947:9 Ay 25:2; Za 46:10; 97:9Wakuu wa mataifa wanakusanyika
kama watu wa Mungu wa Abrahamu,
kwa kuwa wafalme wa dunia ni mali ya Mungu;
yeye ametukuka sana.
47
1さあ、皆さん、喜んで手をたたきましょう。
大声を上げて主をほめたたえましょう。
2このあらゆる神々にまさる主は、
ことばには尽くせないほど畏れかしこむべき方であり、
全地を治める偉大な王です。
3神は、私たちの下に国々を置いて治め、
4ご自分の愛する者たちに、
ご自身で最高の祝福を選んで与えてくださいます。
5鳴りわたるラッパの音と勇ましい雄叫びの中を、
神は昇って行かれました。
6-7私たちの主である神に向かって、
賛美の歌を高らかに歌いなさい。
全世界の王である神をほめ歌いなさい。
心からほめ歌いなさい。
8神は国々を治め、聖なる御座につかれます。
9全世界の支配者たちも、声を合わせて、
アブラハムの神をほめたたえました。
10諸国の勇者が手に取る盾は、
神の勝利のしるしです。
神は世界のどこででも
大きな栄誉をお受けになります。