Zaburi 46 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 46:1-11

Zaburi 46

Mungu Yuko Pamoja Nasi

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi.

146:1 Za 9:9; 18:1, 6; 25:17; 34:18; 61:3; 37:39; 73:26; 91:2, 9; 142:5; Isa 33:16; Lk 1:54; Yer 16:19; 17:17; Yoe 3:16; Nah 1:7; Mao 3:57; Kum 4:30Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,

msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.

246:2 Mwa 4:7; Za 3:6; 18:7; 97:5; 82:5; Dan 11:19; Hab 3:6; Yer 4:23; Amo 9:5; 8:14; Isa 24:1, 19, 20; 13:13; 54:10; Ufu 6:14; Kut 15:8; Mik 1:4; Nah 1:5Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa

nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.

346:3 Za 93:3; Ufu 19:6; Isa 17:13; Amu 5:5; Yer 5:22; Eze 1:24; Ay 9:26Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka,

milima nayo ikitetemeka kwa mawimbi yake.

446:4 Ufu 22:1; Isa 60:14; 8:7; 2Sam 15:25; Ebr 12:22; Za 48:1; 2Nya 6:6; Mwa 14:18Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu,

mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.

546:5 Kum 23:14, 15; Isa 12:6; Eze 43:7; Zek 2:5; Za 26:8; 125:1; 1Nya 5:20Mungu yuko katikati yake, hautaanguka,

Mungu atausaidia asubuhi na mapema.

646:6 Ay 12:23; Mt 4:8; Za 68:32; 74:23; 102:22; 29:3; Isa 17:12; 23:11; 13:4, 13; 5:30; 33:3; Eze 26:18Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka,

Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.

746:7 1Sam 1:11; Mwa 21:22; Za 20:1; 18:2Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi,

Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.

846:8 Za 66:5; Isa 17:9; 64:10; Dan 9:26; Lk 21:20Njooni mkaone kazi za Bwana

jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.

946:9 Isa 2:4; Za 37:15; Isa 22:6; 9:5; Eze 39:9; Hos 2:18Anakomesha vita hata miisho ya dunia,

anakata upinde na kuvunjavunja mkuki,

anateketeza ngao kwa moto.

1046:10 Kum 4:35; Isa 2:11; 37:16, 20; 43:11; 45:21; Eze 36:23; 1Fal 18:36, 39; Za 18:46; 100:3“Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu;

nitatukuzwa katikati ya mataifa,

nitatukuzwa katika dunia.”

11Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi;

Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.

Священное Писание

Забур 46:1-10

Песнь 46

1Дирижёру хора. Песнь потомков Кораха.

2Рукоплещите, все народы,

вознесите Всевышнему крик радости.

3Как грозен Вечный, Высочайший,

великий Царь над всей землёй!

4Он покорил нам народы,

ногами мы попираем племена.

5Он избрал нам наследие –

гордость Якуба, которого Он возлюбил. Пауза

6Всевышний вознёсся под крики радости;

Вечный вознёсся под звуки рогов.

7Пойте Всевышнему хвалу, пойте!

Пойте хвалу нашему Царю, пойте!

8Всевышний – Царь над всей землёй;

пойте Ему искусную песнь.

9Всевышний царит над народами;

Всевышний восседает на святом престоле Своём.

10Собираются вожди народов

вместе с народом Бога Ибрахима,

ведь земные правители46:10 Букв.: «щиты». принадлежат Всевышнему;

Он высоко превознесён над ними.