Zaburi 42 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 42:1-11

KITABU CHA PILI

(Zaburi 42–72)

Zaburi 42

Maombi Ya Mtu Aliye Uhamishoni

Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.

142:1 Ay 19:27; Yoe 1:20; Za 18:33; 119:131; Kum 10:7Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji,

ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu.

242:2 Za 43:4; 143:6; 84:7; 63:1; Yos 3:10; 1The 1:9; Yn 7:37; Rum 9:26; 1Sam 14:19; Mt 16:16; 9:26Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.

Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?

342:3 Ay 3:24; Mik 7:10; Za 79:10; 115:2; Yoe 2:17Machozi yangu yamekuwa chakula changu

usiku na mchana,

huku watu wakiniambia mchana kutwa,

“Yuko wapi Mungu wako?”

442:4 1Sam 1:15; Isa 2:2; 30:29; Yon 2:9; Ezr 3:13; Yos 6:5; Za 35:18; 109:30; 55:14; 122:1; 95:2; 100:4; 147:7Mambo haya nayakumbuka

ninapoimimina nafsi yangu:

Jinsi nilivyokuwa nikienda na umati wa watu,

nikiongoza maandamano kuelekea kwenye nyumba ya Mungu,

kwa kelele za shangwe na za shukrani

katikati ya umati uliosherehekea.

542:5 Mao 3:20; Mt 26:38; Za 9:1; 38:6; 77:3; 25:5; 71:14; 56:3, 11; 18:46; Ay 20:2; Isa 50:10Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

Weka tumaini lako kwa Mungu,

kwa sababu bado nitamsifu,

Mwokozi wangu na 642:6 Za 43:5; 63:6; 7:11; Mwa 13:10; Hes 13:29; Kum 3:8; 4:48Mungu wangu.

Nafsi yangu inasononeka ndani yangu;

kwa hiyo nitakukumbuka

kutoka nchi ya Yordani,

katika vilele vya Hermoni,

kutoka Mlima Mizari.

742:7 Eze 7:26; Mwa 1:2; 7:11; Za 69:2; Yon 2:3Kilindi huita kilindi,

katika ngurumo za maporomoko ya maji yako;

mawimbi yako yote pamoja na viwimbi

vimepita juu yangu.

842:8 Za 57:3; 16:7; 133:3; Mhu 5:18; 8:15; Kum 28:8Mchana Bwana huelekeza upendo wake,

usiku wimbo wake uko nami:

maombi kwa Mungu wa uzima wangu.

942:9 Za 18:31; 10:11; 35:14; 106:42; 9:13; 43:2; Ay 20:19Ninamwambia Mungu Mwamba wangu,

“Kwa nini umenisahau?

Kwa nini niendelee kuomboleza,

nikiwa nimeonewa na adui?”

1042:10 Za 89:51; 119:42; 44:16; 6:2; 102:8; Kum 32:27Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali

adui zangu wanaponidhihaki,

wakiniambia mchana kutwa,

“Yuko wapi Mungu wako?”

1142:11 Za 43:5Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

Weka tumaini lako kwa Mungu,

kwa sababu bado nitamsifu,

Mwokozi wangu na Mungu wangu.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 42:1-11

42

1ああ神よ。鹿が水をあえぎ求めるように、

私はあなたを慕い求めます。

2焼けつくような渇きを覚えながら、

私は、生きておられる神を求めています。

どこへ行けば、お目にかかれるのでしょうか。

3昼も夜も涙にむせびながら、

神の助けを祈っています。

かたわらでは敵が、

「おまえの神はどこへ行った」とあざけるのです。

4-5さあ、私のたましいよ、元気を出せ。

あの日のことを思い出すのだ。

まさか忘れてはいないだろう。

あの祭りの日、多くの人の先頭に立って神の宮に上り、

喜びに満たされて賛美の歌を歌ったことを。

どうしてそのように沈み込む必要があるのか。

どうして悲しげにふさぎ込んでいるのか。

神に望みを託すがよい。

そうだ、助けを信じて、

もう一度神をほめたたえよう。

6それでもなお、私は気落ちし、ふさぎ込んでいます。

しかし、やがて私は、ヨルダン川が流れ、

ヘルモン山やミツァル山のそびえる美しいこの地に

注がれている、神の恵みを思い巡らします。

7神のさかまく大波が私の頭上を越え、

悲しみの洪水が、とどろく大滝のように

降りかかってきます。

8しかし主は

日ごとに変わらない愛を注いでくださいます。

私は夜通し賛美の歌を歌い、

このいのちを授けてくださった神に祈りをささげます。

9「ああ、岩なる神よ」と、私は叫びます。

「なぜ、私をお見捨てになったのですか。

なぜ、私は敵の攻撃にさらされて、

こんなにも苦しまなければならないのですか。」

10人のあざけりがこの身を突き刺し、

深い傷を負わせます。

彼らは、「おまえの神はいったいどこへ行った」と

あざ笑います。

11しかし、私のたましいよ、

気落ちするな。動転するな。

神に期待せよ。

神がすばらしいことをしてくださり、

私はきっと賛嘆の声を上げるのだから。

このお方こそ、私の命綱、私の神。