Zaburi 36 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 36:1-12

Zaburi 36

Uovu Wa Mwanadamu

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana.

136:1 Ay 21:16; 23:15; Yer 2:19; 36:16, 24; Rum 3:18; Mit 8:13; Mwa 20:11; Mhu 12:3Kuna neno moyoni mwangu

kuhusu hali ya dhambi ya mwovu.

Hakuna hofu ya Mungu

mbele ya macho yake.

236:2 Kum 29:19Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno

hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.

336:3 Yer 4:22; 13:23; Za 10:7; 5:6, 9; 43:1; 144:8, 11; 94:8; Ay 5:13; Isa 44:20; Amo 3:10Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu,

ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.

436:4 Mik 2:1; Rum 12:9; Isa 65:2; Za 52:3Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya,

hujitia katika njia ya dhambi

na hakatai lililo baya.

536:5 Za 89:1; 119:90; 108:4; 57:10; 89:2; 71:19; 103:11Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni,

uaminifu wako hadi kwenye anga.

636:6 Za 5:8; 68:15; Mwa 1:2; Za 104:14; 7:11; 145:9; Neh 9:6; Rum 11:33; Ay 7:20; 11:8Haki yako ni kama milima mikubwa,

hukumu zako ni kama kilindi kikuu.

Ee Bwana, wewe huwahifadhi

mwanadamu na mnyama.

736:7 Za 6:4; 17:8; 57:1; 91:4; Rut 2:12Upendo wako usiokoma

ni wa thamani mno!

Watu wakuu na wadogo

hujificha uvulini wa mbawa zako.

836:8 Za 65:4; 23:2; 63:5; Yer 31:12, 14; Ufu 22:1; Isa 25:6; Ay 20:17Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako,

nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.

936:9 Isa 12:3; 2:5; 9:2; 60:1, 19; Yer 2:13; Zek 13:1; Yn 1:4; 4:10, 14; Ufu 21:6; Mdo 26:18; Efe 5:8; Kol 1:13; 1Pet 2:9; Mit 10:11; 16:22; Za 87:7; 4:6; 27:1; 76:4; 104:2Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima,

katika nuru yako twaona nuru.

1036:10 Yer 31:3; 9:24; 22:16; Za 7:10; 11:2; 94:15; 125:4Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe,

haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.

1136:11 Za 71:4; 140:4Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu,

wala mkono wa mwovu usinifukuze.

1236:12 Za 18:38Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka:

wametupwa chini, hawawezi kuinuka!

La Bible du Semeur

Psaumes 36:1-13

La bonté du Seigneur

1Au chef de chœur, de David, serviteur de l’Eternel.

2En moi-même, je médite ╵sur ce que déclare ╵le méchant36.2 En moi-même, je médite: d’après le texte hébreu traditionnel. Certains manuscrits hébreux et de l’ancienne version grecque, la version syriaque ont : au fond de son cœur. Il faut alors comprendre : Ce que déclare le méchant dans son péché est au fond de son cœur. dans son péché ;

lui, il n’a même pas peur de Dieu36.2 Cité en Rm 3.18..

3Il se considère ╵d’un œil trop flatteur

pour reconnaître sa faute, ╵et la détester.

4Les paroles de sa bouche ╵sont mensonge et tromperie ;

il ne veut pas réfléchir ╵en vue de faire le bien.

5La nuit, sur son lit, ╵il projette un mauvais coup.

Il persiste dans la voie ╵qui n’est pas la bonne :

il ne veut pas rejeter le mal.

6Jusqu’au ciel va ton amour, ╵Eternel,

et jusqu’aux nuages ╵monte ta fidélité.

7Ta justice est aussi haute ╵que les plus hautes montagnes.

Tes jugements sont profonds ╵comme l’immense océan !

Tu secours, ô Eternel, ╵et les hommes, et les bêtes.

8Que ton amour est précieux, ô Dieu !

Sous tes ailes, ╵les humains se réfugient.

9Ils se restaurent de mets ╵généreux de ta maison.

Au torrent de tes délices, ╵tu leur donnes à boire.

10Car chez toi ╵est la source de la vie.

C’est dans ta lumière ╵que nous voyons la lumière.

11Maintiens ton amour ╵à tous ceux qui te connaissent,

manifeste ta justice ╵à ceux qui sont droits de cœur !

12Que les orgueilleux ╵ne m’approchent pas,

et que les méchants ╵ne me chassent pas !

13Voici : déjà ils succombent, ╵ceux qui font le mal,

ils sont renversés, ╵sans pouvoir se relever.