Zaburi 32 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 32:1-11

Zaburi 32

Furaha Ya Msamaha

Zaburi ya Daudi. Funzo.

132:1 Za 85:2; 103:3; Rum 4:6Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake,

ambaye dhambi zake zimefunikwa.

232:2 Rum 4:7-8; 5:13; Yn 1:47; Ufu 14:5; 2Kor 1:12; Law 17:4Heri mtu yule ambaye Bwana

hamhesabii dhambi,

na ambaye rohoni mwake

hamna udanganyifu.

332:3 Ay 31:34; 31:10; 3:24; Za 6:6Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa

kwa kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.

432:4 1Sam 5:6; Ay 9:34; Za 38:2; 39:10; 22:15Usiku na mchana

mkono wako ulinilemea,

nguvu zangu zilinyonywa

kama vile katika joto la kiangazi.

532:5 Ay 31:33; Mit 28:13; Lk 15:18; Za 103:12; Law 26:40; Yn 1:9Kisha nilikujulisha dhambi yangu

wala sikuficha uovu wangu.

Nilisema, “Nitaungama

makosa yangu kwa Bwana.”

Ndipo uliponisamehe

hatia ya dhambi yangu.

632:6 Za 69:13; Yn 7:34; Isa 55:6; Za 69:1; 43:2; Kut 15:10; 1Tim 1:16Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe

wakati unapopatikana,

hakika maji makuu yatakapofurika

hayatamfikia yeye.

732:7 Za 9:9; Amu 9:35; 5:1; Mit 18:10; Isa 4:6; Mt 23:37; Kol 3:3Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha,

utaniepusha na taabu

na kunizunguka kwa nyimbo za wokovu.

832:8 Za 25:8; 34:11; 33:18; Isa 48:17Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea;

nitakushauri na kukuangalia.

932:9 Ay 30:11; 39:10; Yak 3:3Usiwe kama farasi au nyumbu

wasio na akili,

ambao ni lazima waongozwe kwa lijamu na hatamu

la sivyo hawatakukaribia.

1032:10 Rum 2:9; Za 4:5; Mit 16:20; Yer 17:7; Mit 13:21; 16:20Mtu mwovu ana taabu nyingi,

bali upendo usio na kikomo wa Bwana

unamzunguka mtu anayemtumaini.

1132:11 Za 64:10Shangilieni katika Bwana na mfurahi, enyi wenye haki!

Imbeni, nyote mlio wanyofu wa moyo!

New International Version

Psalms 32:1-11

Psalm 32

Of David. A maskil.Title: Probably a literary or musical term

1Blessed is the one

whose transgressions are forgiven,

whose sins are covered.

2Blessed is the one

whose sin the Lord does not count against them

and in whose spirit is no deceit.

3When I kept silent,

my bones wasted away

through my groaning all day long.

4For day and night

your hand was heavy on me;

my strength was sapped

as in the heat of summer.32:4 The Hebrew has Selah (a word of uncertain meaning) here and at the end of verses 5 and 7.

5Then I acknowledged my sin to you

and did not cover up my iniquity.

I said, “I will confess

my transgressions to the Lord.”

And you forgave

the guilt of my sin.

6Therefore let all the faithful pray to you

while you may be found;

surely the rising of the mighty waters

will not reach them.

7You are my hiding place;

you will protect me from trouble

and surround me with songs of deliverance.

8I will instruct you and teach you in the way you should go;

I will counsel you with my loving eye on you.

9Do not be like the horse or the mule,

which have no understanding

but must be controlled by bit and bridle

or they will not come to you.

10Many are the woes of the wicked,

but the Lord’s unfailing love

surrounds the one who trusts in him.

11Rejoice in the Lord and be glad, you righteous;

sing, all you who are upright in heart!