Zaburi 29 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 29:1-11

Zaburi 29

Sauti Ya Bwana Wakati Wa Dhoruba

Zaburi ya Daudi.

129:1 1Nya 16:28; 2Sam 1:19; Isa 10:13; Za 103:20; 8:1Mpeni Bwana, enyi mashujaa,

mpeni Bwana utukufu na nguvu.

229:2 1Nya 16:29; Za 96:7-9Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;

mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.

329:3 Ay 37:5; Za 24:7; 18:13; 46:6; 68:33; 77:17; Mdo 7:2; 1Sam 2:10; Yer 10:13; 25:30; Yoe 2:11; Amo 1:2; Kut 15:10Sauti ya Bwana iko juu ya maji;

Mungu wa utukufu hupiga radi,

Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.

429:4 Za 68:33Sauti ya Bwana ina nguvu;

sauti ya Bwana ni tukufu.

529:5 Amu 9:15Sauti ya Bwana huvunja mierezi;

Bwana huvunja vipande vipande

mierezi ya Lebanoni.

629:6 Za 92:10; 114:4; Kum 3:9; Ay 39:9; Hes 23:22Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,

Sirioni29:6 Yaani Mlima Hermoni. urukaruke kama mwana nyati.

729:7 Eze 1:14; Ufu 8:5Sauti ya Bwana hupiga kwa miali

ya umeme wa radi.

829:8 Hes 13:26; 20:1Sauti ya Bwana hutikisa jangwa;

Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.

929:9 Isa 2:13; Eze 27:6; Amo 2:9; Za 26:8Sauti ya Bwana huzalisha ayala,

na huuacha msitu wazi.

Hekaluni mwake wote wasema,

“Utukufu!”

1029:10 Mwa 6:17; Kut 15:18Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;

Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.

1129:11 Za 18:1; 28:8; 68:35; Law 26:6; Hes 6:26; Isa 40:29Bwana huwapa watu wake nguvu;

Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.

Korean Living Bible

시편 29:1-11

여호와를 찬양하라

(다윗의 시)

129:1 또는 ‘권능있는 자들아’하늘의 존재들아,

너희는 여호와의

능력과 영광을 찬양하라.

2여호와의 이름에 합당한 영광을

그에게 돌리고

거룩한 옷을 입고

그에게 경배하라.

3여호와의 소리가

바다 위에서 들린다.

영광의 하나님이

천둥을 치시니

그 음성이 망망한 바다 위에

메아리치는구나.

4여호와의 소리가 힘이 있고

여호와의 소리가 위엄이 있다.

5그 소리가 백향목을 꺾고

레바논의 큰 나무들까지

꺾어 부수는구나.

6여호와께서

레바논의 산들을 흔들어

송아지처럼 뛰게 하시며

29:6 히 ‘시룐’헬몬산을

들송아지같이 뛰게 하신다.

7여호와의 소리가

번갯불과 함께 울려 퍼진다.

8그 소리가

사막을 진동시키고

가데스 광야를 뒤흔드는구나.

9여호와의 소리가

29:9 또는 ‘암사슴으로 낙태케 하시고’상수리나무를 비틀고

숲을 벌거숭이로 만드시니

성전에 있는 모든 사람들이

“여호와께 영광” 이라 하는구나.

10여호와께서 홍수를 다스리시며

왕으로서 영원히 통치하시리라.

11여호와께서 자기 백성에게

힘을 주시고,

그들에게 평안의 복을 주시리라.