Zaburi 29
Sauti Ya Bwana Wakati Wa Dhoruba
Zaburi ya Daudi.
129:1 1Nya 16:28; 2Sam 1:19; Isa 10:13; Za 103:20; 8:1Mpeni Bwana, enyi mashujaa,
mpeni Bwana utukufu na nguvu.
229:2 1Nya 16:29; Za 96:7-9Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;
mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
329:3 Ay 37:5; Za 24:7; 18:13; 46:6; 68:33; 77:17; Mdo 7:2; 1Sam 2:10; Yer 10:13; 25:30; Yoe 2:11; Amo 1:2; Kut 15:10Sauti ya Bwana iko juu ya maji;
Mungu wa utukufu hupiga radi,
Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.
429:4 Za 68:33Sauti ya Bwana ina nguvu;
sauti ya Bwana ni tukufu.
529:5 Amu 9:15Sauti ya Bwana huvunja mierezi;
Bwana huvunja vipande vipande
mierezi ya Lebanoni.
629:6 Za 92:10; 114:4; Kum 3:9; Ay 39:9; Hes 23:22Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,
Sirioni29:6 Yaani Mlima Hermoni. urukaruke kama mwana nyati.
729:7 Eze 1:14; Ufu 8:5Sauti ya Bwana hupiga kwa miali
ya umeme wa radi.
829:8 Hes 13:26; 20:1Sauti ya Bwana hutikisa jangwa;
Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.
929:9 Isa 2:13; Eze 27:6; Amo 2:9; Za 26:8Sauti ya Bwana huzalisha ayala,
na huuacha msitu wazi.
Hekaluni mwake wote wasema,
“Utukufu!”
1029:10 Mwa 6:17; Kut 15:18Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;
Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.
1129:11 Za 18:1; 28:8; 68:35; Law 26:6; Hes 6:26; Isa 40:29Bwana huwapa watu wake nguvu;
Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.
여호와를 찬양하라
(다윗의 시)
129:1 또는 ‘권능있는 자들아’하늘의 존재들아,
너희는 여호와의
능력과 영광을 찬양하라.
2여호와의 이름에 합당한 영광을
그에게 돌리고
거룩한 옷을 입고
그에게 경배하라.
3여호와의 소리가
바다 위에서 들린다.
영광의 하나님이
천둥을 치시니
그 음성이 망망한 바다 위에
메아리치는구나.
4여호와의 소리가 힘이 있고
여호와의 소리가 위엄이 있다.
5그 소리가 백향목을 꺾고
레바논의 큰 나무들까지
꺾어 부수는구나.
6여호와께서
레바논의 산들을 흔들어
송아지처럼 뛰게 하시며
29:6 히 ‘시룐’헬몬산을
들송아지같이 뛰게 하신다.
7여호와의 소리가
번갯불과 함께 울려 퍼진다.
8그 소리가
사막을 진동시키고
가데스 광야를 뒤흔드는구나.
9여호와의 소리가
29:9 또는 ‘암사슴으로 낙태케 하시고’상수리나무를 비틀고
숲을 벌거숭이로 만드시니
성전에 있는 모든 사람들이
“여호와께 영광” 이라 하는구나.
10여호와께서 홍수를 다스리시며
왕으로서 영원히 통치하시리라.
11여호와께서 자기 백성에게
힘을 주시고,
그들에게 평안의 복을 주시리라.