Zaburi 29 – NEN & ASCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 29:1-11

Zaburi 29

Sauti Ya Bwana Wakati Wa Dhoruba

Zaburi ya Daudi.

129:1 1Nya 16:28; 2Sam 1:19; Isa 10:13; Za 103:20; 8:1Mpeni Bwana, enyi mashujaa,

mpeni Bwana utukufu na nguvu.

229:2 1Nya 16:29; Za 96:7-9Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;

mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.

329:3 Ay 37:5; Za 24:7; 18:13; 46:6; 68:33; 77:17; Mdo 7:2; 1Sam 2:10; Yer 10:13; 25:30; Yoe 2:11; Amo 1:2; Kut 15:10Sauti ya Bwana iko juu ya maji;

Mungu wa utukufu hupiga radi,

Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.

429:4 Za 68:33Sauti ya Bwana ina nguvu;

sauti ya Bwana ni tukufu.

529:5 Amu 9:15Sauti ya Bwana huvunja mierezi;

Bwana huvunja vipande vipande

mierezi ya Lebanoni.

629:6 Za 92:10; 114:4; Kum 3:9; Ay 39:9; Hes 23:22Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,

Sirioni29:6 Yaani Mlima Hermoni. urukaruke kama mwana nyati.

729:7 Eze 1:14; Ufu 8:5Sauti ya Bwana hupiga kwa miali

ya umeme wa radi.

829:8 Hes 13:26; 20:1Sauti ya Bwana hutikisa jangwa;

Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.

929:9 Isa 2:13; Eze 27:6; Amo 2:9; Za 26:8Sauti ya Bwana huzalisha ayala,

na huuacha msitu wazi.

Hekaluni mwake wote wasema,

“Utukufu!”

1029:10 Mwa 6:17; Kut 15:18Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;

Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.

1129:11 Za 18:1; 28:8; 68:35; Law 26:6; Hes 6:26; Isa 40:29Bwana huwapa watu wake nguvu;

Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.

Asante Twi Contemporary Bible

Nnwom 29:1-11

Dwom 29

Dawid dwom.

1Momfa mma Awurade no, Ao ɔsoro abɔdeɛ,

momfa animuonyam ne tumi mma Awurade.

2Momfa animuonyam a ɛfata Awurade din mma no;

monsɔre Awurade wɔ nʼanimuonyam kronkron mu.

3Awurade nne wɔ nsuo no so;

animuonyam Onyankopɔn bobom,

Awurade bobom wɔ nsuo akɛseɛ so.

4Awurade nne mu wɔ tumi;

Awurade nne mu wɔ animuonyam.

5Awurade nne bubu ntweneduro;

Awurade nne bubu Lebanon ntweneduro mu nketenkete.

6Ɔma Lebanon hurihuri te sɛ nantwie ba,

na Sirion nso sɛ ɛkoɔ ba.

7Awurade nne pa ma anyinam ogya dɛre

8Awurade nne woso ɛserɛ so;

Awurade woso Kades serɛ.

9Awurade nne kyinkyim adum

na ɛma kwaeɛ yɛ kwaterekwa.

Nʼasɔredan mufoɔ nyinaa team ka sɛ,

“Animuonyam nka Onyankopɔn!”

10Awurade di ɔhene wɔ nsuyire so;

wɔasi Awurade ɔhene afebɔɔ.

11Awurade ma ne nkurɔfoɔ ahoɔden,

na ɔde asomdwoeɛ hyira wɔn.