Zaburi 29 – NEN & AKCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 29:1-11

Zaburi 29

Sauti Ya Bwana Wakati Wa Dhoruba

Zaburi ya Daudi.

129:1 1Nya 16:28; 2Sam 1:19; Isa 10:13; Za 103:20; 8:1Mpeni Bwana, enyi mashujaa,

mpeni Bwana utukufu na nguvu.

229:2 1Nya 16:29; Za 96:7-9Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;

mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.

329:3 Ay 37:5; Za 24:7; 18:13; 46:6; 68:33; 77:17; Mdo 7:2; 1Sam 2:10; Yer 10:13; 25:30; Yoe 2:11; Amo 1:2; Kut 15:10Sauti ya Bwana iko juu ya maji;

Mungu wa utukufu hupiga radi,

Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.

429:4 Za 68:33Sauti ya Bwana ina nguvu;

sauti ya Bwana ni tukufu.

529:5 Amu 9:15Sauti ya Bwana huvunja mierezi;

Bwana huvunja vipande vipande

mierezi ya Lebanoni.

629:6 Za 92:10; 114:4; Kum 3:9; Ay 39:9; Hes 23:22Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,

Sirioni29:6 Yaani Mlima Hermoni. urukaruke kama mwana nyati.

729:7 Eze 1:14; Ufu 8:5Sauti ya Bwana hupiga kwa miali

ya umeme wa radi.

829:8 Hes 13:26; 20:1Sauti ya Bwana hutikisa jangwa;

Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.

929:9 Isa 2:13; Eze 27:6; Amo 2:9; Za 26:8Sauti ya Bwana huzalisha ayala,

na huuacha msitu wazi.

Hekaluni mwake wote wasema,

“Utukufu!”

1029:10 Mwa 6:17; Kut 15:18Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;

Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.

1129:11 Za 18:1; 28:8; 68:35; Law 26:6; Hes 6:26; Isa 40:29Bwana huwapa watu wake nguvu;

Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.

Akuapem Twi Contemporary Bible

Nnwom 29:1-11

Dwom 29

Dawid dwom.

1Momfa mma Awurade no, mo ɔsoro abɔde,

momfa anuonyam ne tumi mma Awurade.

2Momfa anuonyam a ɛfata Awurade din mma no;

monsɔre Awurade wɔ nʼanuonyam kronkron mu.

3Awurade nne wɔ nsu no so;

anuonyam Nyankopɔn bobɔ mu,

Awurade bobɔ mu wɔ nsu akɛse so.

4Awurade nne mu wɔ tumi;

Awurade nne mu wɔ anuonyam.

5Awurade nne bubu sida;

Awurade nne bubu Lebanon sida mu nketenkete

6Ɔma Lebanon huruhuruw te sɛ nantwi ba,

na Sirion nso sɛ ɛko ba.

7Awurade nne pa ma anyinam gya dɛw.

8Awurade nne wosow sare so;

Awurade wosow Kades sare.

9Awurade nne kyinkyim adum

na ɛma kwae yɛ kwaterekwa.

Nʼasɔredan mufo nyinaa teɛ mu ka se,

“Anuonyam nka Onyankopɔn!”

10Awurade di hene wɔ nsuyiri so;

wɔasi Awurade hene afebɔɔ.

11Awurade ma ne nkurɔfo ahoɔden,

na ɔde asomdwoe hyira wɔn.