Zaburi 28 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 28:1-9

Zaburi 28

Kuomba Msaada

Zaburi ya Daudi.

128:1 Kum 1:45; Es 4:14; Ay 33:18Ninakuita wewe, Ee Bwana, Mwamba wangu;

usiwe kwangu kama kiziwi.

Kwa sababu ukinyamaza

nitafanana na walioshuka shimoni.

228:2 Za 17:1; 61:1; 5:7; 11:4; 116:1; 63:4; 130:2; 142:1; 143:1; 141:2; Mao 2:19; Ezr 9:5; 1Tim 2:8Sikia kilio changu unihurumie

ninapokuita kwa ajili ya msaada,

niinuapo mikono yangu kuelekea

Patakatifu pa Patakatifu pako.

328:3 Za 12:2; 26:4; 55:21; Yer 9:8Usiniburute pamoja na waovu,

pamoja na hao watendao mabaya,

ambao huzungumza na jirani zao maneno mazuri,

lakini mioyoni mwao wameficha chuki.

428:4 Za 62:12; 2Tim 4:14; Mao 3:64; Ufu 18:6; 22:12Walipe sawasawa na matendo yao,

sawasawa na matendo yao maovu;

walipe sawasawa na kazi za mikono yao,

uwalipe wanavyostahili.

528:5 Isa 5:12Kwa kuwa hawaheshimu kazi za Bwana,

na yale ambayo mikono yake imetenda,

atawabomoa na kamwe

hatawajenga tena.

628:6 Mwa 24:27; Efe 1:3; 2Kor 1:3; 1Pet 1:3Bwana asifiwe,

kwa maana amesikia kilio changu

nikimwomba anihurumie.

728:7 Za 144:9; 13:5; 16:9; 33:3; 40:3; 69:30; 149:1; 18:1; 112:7; Isa 26:3; Kum 16:15Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu,

moyo wangu umemtumaini yeye,

nami nimesaidiwa.

Moyo wangu unarukaruka kwa furaha

nami nitamshukuru kwa wimbo.

828:8 Za 18:1; 27:1; 20:6; Kut 15:2; Hab 3:13Bwana ni nguvu ya watu wake,

ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake.

928:9 Za 78:52, 71; 80:1; 106:47; 118:25; 23:1; 1Nya 6:35; 11:2; Kut 34:9; Isa 40:11; 46:3; 63:9; Eze 34:12; Yer 31:10; Mik 7:14; Kum 1:31; 32:11Waokoe watu wako na uubariki urithi wako;

uwe mchungaji wao na uwabebe milele.

Het Boek

Psalmen 28:1-9

1Door David.

Ik roep naar U, Here, mijn rots.

Keer U niet zonder te spreken van mij af.

Want als U tegen mij blijft zwijgen,

zal ik sterven.

2Luister toch naar mijn luide smeekbeden.

Ik hef mijn handen naar U omhoog in uw heiligdom.

3Vernietig mij niet samen met de goddelozen

of met andere misdadigers.

Die spreken wel vriendelijk met anderen,

maar in hun hart haten zij hen.

4Geef hun wat zij verdienen, loon naar werken.

Vergeld hun naar hun handelwijze.

5De Here zal hen vernietigen

en niet meer herstellen,

omdat zij geen oog hebben voor wat Hij doet

en niets begrijpen van zijn werken.

6Ik loof de Here,

want Hij heeft mijn luide smeekbeden gehoord.

7De Here geeft mij zijn kracht,

Hij is het schild waarachter ik schuil.

Mijn hart heeft op Hem vertrouwd

en Hij heeft mij geholpen.

Mijn hart juicht en ik prijs Hem met mijn lied.

8De Here geeft zijn volk kracht.

Hij is een beschermende vesting

voor hem die Hij heeft gezalfd.

9Maak uw volk vrij en zegen wie van U zijn.

Zorg voor hen als een herder voor zijn schapen

en bescherm hen tot in eeuwigheid.