Zaburi 28
Kuomba Msaada
Zaburi ya Daudi.
128:1 Kum 1:45; Es 4:14; Ay 33:18Ninakuita wewe, Ee Bwana, Mwamba wangu;
usiwe kwangu kama kiziwi.
Kwa sababu ukinyamaza
nitafanana na walioshuka shimoni.
228:2 Za 17:1; 61:1; 5:7; 11:4; 116:1; 63:4; 130:2; 142:1; 143:1; 141:2; Mao 2:19; Ezr 9:5; 1Tim 2:8Sikia kilio changu unihurumie
ninapokuita kwa ajili ya msaada,
niinuapo mikono yangu kuelekea
Patakatifu pa Patakatifu pako.
328:3 Za 12:2; 26:4; 55:21; Yer 9:8Usiniburute pamoja na waovu,
pamoja na hao watendao mabaya,
ambao huzungumza na jirani zao maneno mazuri,
lakini mioyoni mwao wameficha chuki.
428:4 Za 62:12; 2Tim 4:14; Mao 3:64; Ufu 18:6; 22:12Walipe sawasawa na matendo yao,
sawasawa na matendo yao maovu;
walipe sawasawa na kazi za mikono yao,
uwalipe wanavyostahili.
528:5 Isa 5:12Kwa kuwa hawaheshimu kazi za Bwana,
na yale ambayo mikono yake imetenda,
atawabomoa na kamwe
hatawajenga tena.
628:6 Mwa 24:27; Efe 1:3; 2Kor 1:3; 1Pet 1:3Bwana asifiwe,
kwa maana amesikia kilio changu
nikimwomba anihurumie.
728:7 Za 144:9; 13:5; 16:9; 33:3; 40:3; 69:30; 149:1; 18:1; 112:7; Isa 26:3; Kum 16:15Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu,
moyo wangu umemtumaini yeye,
nami nimesaidiwa.
Moyo wangu unarukaruka kwa furaha
nami nitamshukuru kwa wimbo.
828:8 Za 18:1; 27:1; 20:6; Kut 15:2; Hab 3:13Bwana ni nguvu ya watu wake,
ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake.
928:9 Za 78:52, 71; 80:1; 106:47; 118:25; 23:1; 1Nya 6:35; 11:2; Kut 34:9; Isa 40:11; 46:3; 63:9; Eze 34:12; Yer 31:10; Mik 7:14; Kum 1:31; 32:11Waokoe watu wako na uubariki urithi wako;
uwe mchungaji wao na uwabebe milele.
第 28 篇
祈求上帝帮助
大卫的诗。
1耶和华啊,我呼求你;
我的磐石啊,别不理我。
你若默然不语,
我必绝望而死。
2我向你呼求,
向你的至圣所举手祷告时,
求你垂听。
3求你不要把我与奸恶人一同责罚,
他们对邻居口蜜腹剑。
4求你使他们罪有应得,
按他们的恶行,
按他们手上的罪恶报应他们。
5他们既然毫不在意耶和华的作为和祂的创造,
祂必永远毁灭他们。
6耶和华当受称颂!
因为祂听了我的恳求。
7祂是我的力量,我的盾牌,
我信靠祂,就得帮助。
我的心欢喜雀跃,
我要歌唱赞美祂。
8耶和华是祂子民的力量,
是祂膏立者得救的堡垒。
9耶和华啊,
求你拯救你的子民,
赐福给你拣选的人,
如牧人般照顾他们,
永远扶持他们。