Zaburi 25 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 25:1-22

Zaburi 2525 Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.

Kumwomba Mungu Uongozi Na Ulinzi

Zaburi ya Daudi.

125:1 Za 86:4; 143:8Kwako wewe, Ee Bwana,

nainua nafsi yangu,

225:2 Za 31:6; 143:8ni wewe ninayekutumainia,

Ee Mungu wangu.

Usiniache niaibike,

wala usiache adui zangu wakanishinda.

325:3 Za 22:5; 2Tim 3:4; Isa 29:22; 24:16; Hab 1:13; Sef 3:4Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea

atakayeaibishwa,

bali wataaibishwa

wafanyao hila bila sababu.

425:4 Ay 34:32Nionyeshe njia zako, Ee Bwana,

nifundishe mapito yako,

525:5 Za 31:3; 43:3; Yn 16:13niongoze katika kweli yako na kunifundisha,

kwa maana wewe ni Mungu Mwokozi wangu,

nalo tumaini langu liko kwako wakati wote.

625:6 Za 5:7; 98:3; Isa 63:7, 15; Yer 31:20; Hos 11:8Kumbuka, Ee Bwana, rehema zako kuu na upendo,

kwa maana zimekuwepo tangu zamani.

725:7 Ay 13:26; Isa 54:4; Yer 3:25; 31:19; 32:30; 2Tim 2:22; Eze 16:22, 60; 23:3; Za 34:8; 83:1; 107:17; 6:4; 51:1; 69:16; 109:26; 119:124; Kut 3:21; 1Nya 16:34Usizikumbuke dhambi za ujana wangu

wala njia zangu za uasi,

sawasawa na upendo wako unikumbuke,

kwa maana wewe ni mwema, Ee Bwana.

825:8 Za 32:8; 92:15; Isa 26:7; 28:26Bwana ni mwema na mwenye adili,

kwa hiyo huwafundisha wenye dhambi njia zake.

925:9 Za 23:3, 4; 18:25; 103:18; 132:12Huwaongoza wanyenyekevu katika haki,

naye huwafundisha njia yake.

1025:10 Za 18:25; 103:18; 132:12Njia zote za Bwana ni za upendo na uaminifu

kwa wale wanaoshika shuhuda za agano lake.

1125:11 Kut 9:16; Za 31:3; 79:9; 34:9; Kut 32:30; Za 78:38; Yer 14:7Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako,

unisamehe uovu wangu, ijapokuwa ni mwingi.

1225:12 Ay 1:8Ni nani basi, mtu yule anayemcha Bwana?

Atamfundisha katika njia

atakayoichagua kwa ajili yake.

1325:13 Kum 30:15; Mt 5:5; Ay 8:7; 1Fal 3:14; Hes 14:24Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake,

nao wazao wake watairithi nchi.

1425:14 Mit 3:32; Yn 7:17; Mwa 17:2Siri ya Bwana iko kwa wale wamchao,

yeye huwajulisha agano lake.

1525:15 2Nya 20:12; Za 119:110; 123:2; Ebr 12:2; Ay 34:30Macho yangu humwelekea Bwana daima,

kwa kuwa yeye peke yake ndiye ataitoa

miguu yangu kutoka mtego.

1625:16 Hes 6:25; Za 6:4; 68:6Nigeukie na unihurumie,

kwa maana mimi ni mpweke na mwenye kuteseka.

1725:17 1Fal 1:29; Za 6:3; 39:2; 34:6, 17; 40:12; 54:7; 116:3Shida za moyo wangu zimeongezeka,

niokoe katika dhiki yangu.

1825:18 Za 13:3; Rum 12:12; 2Sam 16:12Uangalie mateso na shida zangu

na uniondolee dhambi zangu zote.

1925:19 Za 3:1; 9:13; 69:4; 35:19Tazama adui zangu walivyo wengi,

pia uone jinsi wanavyonichukia vikali!

2025:20 Za 2:12; 86:2; 17:13; 22:21; 43:1; 71:2; 116:4; 140:1; 142:6; 144:11Uyalinde maisha yangu na uniokoe,

usiniache niaibike,

kwa maana nimekukimbilia wewe.

2125:21 Mwa 20:5; Mal 2:6; Mit 10:9; 1Fal 9:4; Za 88:10; 111:8; Isa 60:17Uadilifu na uaminifu vinilinde,

kwa sababu tumaini langu ni kwako.

2225:22 Za 103:8; Lk 24:21Ee Mungu, wakomboe Israeli,

katika shida zao zote!

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 25:1-22

第 25 篇

祈求引导和赦免

大卫的诗。

1耶和华啊,我的心仰望你。

2我的上帝啊,我信靠你,

求你不要叫我蒙羞,

不要让我的仇敌胜过我。

3信靠你的必不羞愧,

背信弃义者必蒙羞。

4耶和华啊,

求你指引我走你的路,

教导我行你的道。

5求你以你的真理引领我,

教导我,因为你是拯救我的上帝,

我日夜仰望你。

6耶和华啊,

求你顾念你亘古以来常施的怜悯和慈爱,

7求你饶恕我年轻时的罪恶和过犯,

以你的恩惠和慈爱待我。

8耶和华良善公正,

祂教导罪人走正路,

9指引谦卑人追求公义,

教导他们行祂的道。

10遵守祂的约和法度的人,

耶和华以慈爱和信实相待。

11耶和华啊,我罪恶深重,

求你为了自己的名而赦免我。

12凡敬畏耶和华的人,

耶和华必指示他当走的路。

13他必享福,

他的后代必承受土地。

14耶和华与敬畏祂的人为友,

使他们认识祂的约。

15我常常仰望耶和华,

因为唯有祂能救我脱离网罗。

16耶和华啊,我孤苦零丁,

求你眷顾我,恩待我。

17我心中充满愁烦,

求你救我脱离患难。

18求你体恤我的忧伤和痛苦,

赦免我的罪恶。

19看啊,我的仇敌众多,

他们都痛恨我。

20求你保护、搭救我的性命,

别让我蒙羞,因为我投靠你。

21求你以诚实和正义护卫我,

因为我仰望你。

22上帝啊,

求你救赎以色列脱离一切困境。