Zaburi 22 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 22:1-31

Zaburi 22

Kilio Cha Uchungu Na Wimbo Wa Sifa

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi.

122:1 Za 9:10; 10:1; Mt 27:46; Ay 3:24; 6:15; Mk 15:34; Ebr 5:7Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?

Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa?

Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?

222:2 Ay 19:7; Za 42:3; 88:1Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu,

hata usiku, sinyamazi.

322:3 2Fal 19:22; Za 71:22; 148:14; Mk 1:24; Ufu 4:8; Kut 15:2; Isa 6:3Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu;

wewe ni sifa ya Israeli.22:3 Tafsiri zingine zinasema: uketiye juu ya sifa za Israeli.

422:4 Za 78:53; 107:6Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao,

walikutumaini nawe ukawaokoa.

522:5 1Nya 5:20; Rum 9:33; Za 25:3; 31:17; 71:1; 2Nya 13:18; Isa 8:17; 25:9; 26:3; 30:18; 49:23Walikulilia wewe na ukawaokoa,

walikutegemea wewe nao hawakuaibika.

622:6 Ay 4:19; Mt 16:21; Mal 2:9; Isa 60:14; 49:7; 53:3; Za 119:141; 64:8; 109:25; 69:19; 2Sam 12:14Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu,

wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.

722:7 Mt 9:24; 27:41; Mk 15:20, 29, 31, 32; Lk 16:14; 23:36, 39; Mt 27:39, 44; Ay 17:2; Za 35:16; 69:12; 74:18Wote wanionao hunidhihaki,

hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:

822:8 Za 91:14; 3:2; 2Sam 22:20; Mt 3:17; 27:43Husema, “Anamtegemea Bwana,

basi Bwana na amwokoe.

Amkomboe basi, kwa maana

anapendezwa naye.”

922:9 Ay 10:18; Hes 1:7; Za 71:6; 78:7Hata hivyo ulinitoa tumboni,

ukanifanya nikutegemee,

hata nilipokuwa ninanyonya

matiti ya mama yangu.

1022:10 Za 71:6; Isa 46:3; 49:1Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa,

toka tumboni mwa mama yangu

umekuwa Mungu wangu.

1122:11 Za 10:1, 14; 2Fal 14:26; Isa 41:28Usiwe mbali nami,

kwa maana shida iko karibu

na hakuna wa kunisaidia.

1222:12 Za 69:30; 17:9; 27:6; 49:5; 109:3; 140:9; Kum 32:14; Isa 2:3; Eze 27:6; 39:18; Amo 4:1Mafahali wengi wamenizunguka,

mafahali wa Bashani wenye nguvu

wamenizingira.

1322:13 Eze 22:25; Sef 3:3; Mwa 49:9; 1Pet 5:8; Mao 3:6; Za 35:21Simba wangurumao wanaorarua mawindo

yao hupanua vinywa vyao dhidi yangu.

1422:14 Za 6:2Nimemiminwa kama maji,

mifupa yangu yote imetoka katika viungo vyake.

Moyo wangu umegeuka kuwa nta,

umeyeyuka ndani yangu.

1522:15 Isa 45:9; Yn 19:28; Za 137:6; 104:29; Mao 4:4; Ay 7:21; Eze 3:26Nguvu zangu zimekauka kama kigae,

ulimi wangu umegandamana

na kaakaa la kinywa changu,

kwa sababu umenilaza

katika mavumbi ya kifo.

1622:16 Flp 3:2; Isa 51:9; 53:5; Mit 17:22; Zek 12:10; Yn 20:25Mbwa wamenizunguka,

kundi la watu waovu limenizingira,

wametoboa mikono yangu na miguu yangu.

1722:17 Lk 23:35; Mik 7:8; Za 25:2; 30:1; 35:19; 38:16; Mao 2:17Naweza kuhesabu mifupa yangu yote,

watu wananikodolea macho na kunisimanga.

1822:18 Law 16:8; Yn 19:24; Mt 27:35; Mk 9:12; 15:24; Lk 23:34Wanagawana nguo zangu wao kwa wao,

na vazi langu wanalipigia kura.

1922:19 Za 18:1; 38:22; 70:5; 14:1; 40:13Lakini wewe, Ee Bwana,

usiwe mbali.

Ee Nguvu yangu,

uje haraka unisaidie.

2022:20 Ay 5:20; Za 141:1; 40:13Okoa maisha yangu na upanga,

uhai wangu wa thamani kutoka nguvu za mbwa.

2122:21 Ay 4:10, 12; Ebr 2:12; Hes 23:22; Za 22:13; 68:26; 40:9, 10; 35:18; 2Tim 4:17Niokoe kutoka kinywani mwa simba,

niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.

2222:22 Za 26:12; 35:18; 40:9, 10; 68:26; Ebr 2:12; Yn 20:17Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu,

katika kusanyiko nitakusifu wewe.

2322:23 Yer 3:17; Za 66:8; 33:2, 8; 103:1; 86:12; 106:1; 50:15; 113:1; 117:1; 135:19; Isa 24:15; 25:3; 49:23; 60:9; Kum 14:23Ninyi ambao mnamcha Bwana, msifuni!

Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye!

Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli!

2422:24 Ebr 5:7; Za 9:12; 102:17; 13:1; 27:9; 69:17; 102:2; 143:7; Ay 24:12; 36:5Kwa maana hakupuuza wala kudharau

mateso ya aliyeonewa;

hakumficha uso wake

bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.

2522:25 Za 26:12; 35:18; 40:9; 82:1; Hes 30:2Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa,

nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wakuchao wewe.

2622:26 Za 107:9; 40:16Maskini watakula na kushiba,

wale wamtafutao Bwana watamsifu:

mioyo yenu na iishi milele!

2722:27 Za 2:8; 86:9; 102:22; Dan 7:27; Mik 4:1Miisho yote ya dunia itakumbuka

na kumgeukia Bwana,

nazo jamaa zote za mataifa

watasujudu mbele zake,

2822:28 Za 47:7; Zek 14:9; Mt 6:13kwa maana ufalme ni wa Bwana

naye hutawala juu ya mataifa.

2922:29 Za 45:12; 89:48; 95:6; 96:9; 99:5; Isa 26:19; 27:13; 49:7; 66:23; Zek 14:16Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu.

Wote waendao mavumbini

watapiga magoti mbele yake,

wote ambao hawawezi

kudumisha uhai wao.

3022:30 Isa 53:10; 54:3; 61:9; 66:22; Za 102:18Wazao wa baadaye watamtumikia yeye;

vizazi vijavyo vitajulishwa habari za Bwana.

3122:31 Za 5:8; 71:18; 78:6; 40:9; 102:18; Lk 18:31; 24:44Watatangaza haki yake kwa watu

ambao hawajazaliwa bado,

kwa maana yeye ametenda hili.

Hoffnung für Alle

Psalm 22:1-32

Mein Gott, warum hast du mich verlassen?

1Ein Lied von David, nach der Melodie: »Eine Hirschkuh früh am Morgen«.

2Mein Gott, mein Gott, warum hast du mich verlassen?

Ich schreie verzweifelt, doch du bist so weit weg,

nirgendwo scheint mir Rettung in Sicht zu sein.

3Mein Gott, Tag und Nacht rufe ich zu dir um Hilfe,

aber du antwortest nicht und schenkst mir keine Ruhe.

4Du bist doch der heilige Gott!

Du bist es, dem das Volk Israel seine Loblieder singt.

5Unsere Vorfahren haben sich auf dich verlassen,

und du hast ihnen immer wieder geholfen.

6Zu dir schrien sie und wurden gerettet.

Sie vertrauten dir, und du hast sie nicht enttäuscht.

7Und was ist mit mir? Ein Wurm bin ich, kein Mensch mehr –

nur noch Hohn und Spott hat man für mich übrig.

8Alle Leute machen sich über mich lustig.

Wer mich sieht, verzieht sein Gesicht

und schüttelt verächtlich den Kopf.

9»Überlass Gott deine Not!«, lästern sie,

»der soll dir helfen und dich retten!

Er liebt dich doch, oder etwa nicht?«

10Du, Herr, hast mich aus dem Leib meiner Mutter gezogen.

Schon an ihrer Brust hast du mich Vertrauen gelehrt.

11Du bist mein Gott, seitdem mein Leben begann.

Seit der Stunde meiner Geburt bin ich auf dich angewiesen.

12Bleib mir jetzt doch nicht fern! Groß ist meine Angst!

Weit und breit gibt es keinen, der mir hilft.

13Viele Feinde kesseln mich ein,

umringen mich wie wilde Stiere.

14Sie reißen ihr Maul auf wie brüllende Löwen,

die ihre Beute zerfleischen wollen.

15Meine Kraft schwindet wie Wasser, das versickert,

und alle meine Knochen sind wie ausgerenkt.

Mein Herz verkrampft sich vor Angst22,15 Wörtlich: zerschmilzt in meinem Inneren wie Wachs.,

16und meine ganze Kraft ist dahin,

verdorrt wie eine staubige Tonscherbe.

Die Zunge klebt mir am Gaumen.

Du lässt mich im Tode versinken.

17Eine Meute böswilliger Menschen umkreist mich,

gierig wie wildernde Hunde.

Hände und Füße haben sie mir durchbohrt.22,17 So nach der griechischen Übersetzung. Der hebräische Text lautet: Meine Hände und Füße wie ein Löwe.

18Ich kann alle meine Knochen zählen.

Sie aber starren mich schadenfroh an.

19Schon teilen sie meine Kleider unter sich auf

und losen um mein Gewand.

20Herr, wende dich nicht länger von mir ab!

Nur du kannst mir neue Kraft geben, komm mir schnell zu Hilfe!

21Rette mich vor dem tödlichen Schwert,

bewahre mich vor den Krallen der Hundemeute!

Ich habe doch nur dieses eine Leben!

22Reiß mich heraus aus dem Rachen der Löwen

und beschütze mich vor den Hörnern dieser wilden Stiere!

Und tatsächlich, Herr: Du hast mich erhört!

23Ich will meinen Brüdern deinen Namen bekannt machen,

vor der ganzen Gemeinde will ich dich loben.

24Alle, die ihr den Herrn achtet, preist ihn!

Ihr Nachkommen von Jakob, ehrt ihn!

Begegnet ihm in Ehrfurcht, ihr vom Volk Israel!

25Denn er hat den Hilflosen nicht verachtet,

über sein Elend ging er nicht hinweg.

Nein, Gott wandte sich nicht von ihm ab,

sondern hörte auf ihn, als er um Hilfe schrie.

26Herr, jetzt habe ich allen Grund,

dir vor der großen Gemeinde ein Loblied zu singen.

Was ich dir in meiner Not versprochen habe, löse ich nun ein;

alle, die Ehrfurcht vor dir haben, sind meine Zeugen.

27Die Armen sollen sich wieder satt essen.22,27 Hier ist wohl an eine fröhliche Opfermahlzeit gedacht, zu welcher der Psalmbeter aus Dankbarkeit auch die Armen einlädt. Vgl. »Opfer« in den Sacherklärungen.

Alle, die nach dem Herrn fragen, sollen ihn loben.

Euer Leben lang dürft ihr euch daran freuen!

28Auch in den fernsten Ländern werden Menschen

Gott erkennen und zu ihm umkehren,

ja, alle Völker werden sich vor ihm niederwerfen.

29Denn der Herr ist König,

er herrscht über alle Nationen.

30Auch die Großen dieser Erde müssen vor ihm niederfallen,

sie, die immer mehr als genug zu essen hatten.

Ja, vor ihm werden einmal alle Menschen ihre Knie beugen,

alle Sterblichen, denen das Leben zwischen den Fingern zerrinnt.

31Die kommenden Generationen werden ihm dienen,22,31 Oder: Er wird Nachkommen haben, die ihm dienen.

eine wird der nächsten von ihm erzählen.

32Selbst die Menschen, die noch nicht geboren sind,

werden von seinen gerechten Taten hören,

und man wird sagen: »Der Herr hat es vollbracht!«