Zaburi 2
Mfalme Aliyechaguliwa Na Mungu
12:1 Za 21:11; 83:5; Mit 24:2Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya,
na kabila za watu kula njama bure?
22:2 Za 45:7; 48:4; 1Sam 9:16; Yn 1:41; Mdo 4:25-262:2 Mao 3:55; Za 22:2; 55:17; 142:5; 42:7Wafalme wa dunia wanajipanga
na watawala wanajikusanya pamoja
dhidi ya Bwana
na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
32:3 Ay 36:8; Lk 19:14; 2Sam 3:34Wanasema, “Tuvunje minyororo yao
na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
42:4 Za 11:4; Isa 37:16; 40:22; 66:1; Za 37:13; Mit 1:26Yeye atawalaye mbinguni hucheka,
Bwana huwadharau.
52:5 Za 6:1; 27:9; 38:1; 21:9; 79:6; 90:7; 110:5Kisha huwakemea katika hasira yake
na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
62:6 Za 10:16; 24:10; 9:11; 48:2, 11; 78:6; 110:2; 133:3; 2Fal 19:31; Kut 15:17“Nimemtawaza Mfalme wangu
juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
Ushindi Wa Mfalme
72:7 Mt 3:17; 8:29; 2Sam 7:14; Ebr 1:5; 5:5; Mdo 13:33Nitatangaza amri ya Bwana:
Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu,
leo mimi nimekuzaa.
82:8 Ay 22:26; Za 22:27; 67:7; Dan 7:13, 14; Mt 21:38Niombe, nami nitayafanya mataifa
kuwa urithi wako,
miisho ya dunia kuwa milki yako.
92:9 Mwa 49:10; Ufu 2:27; 12:5; 19:15; Mt 21:44; Kut 15:6; Isa 30:14; Yer 19:10Utawatawala kwa fimbo ya chuma
na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
102:10 Za 141:6; Amu 2:3; Mit 8:15; 27:11Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima;
mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
112:11 1Nya 16:30; Za 9:2; 35:9; Isa 61:10Mtumikieni Bwana kwa hofu
na mshangilie kwa kutetemeka.
122:12 Kum 9:8; Za 5:11; 34:8; 64:10; Yer 17:7; Ufu 6:16; Yn 5:22, 23Mbusu Mwana, asije akakasirika
nawe ukaangamizwa katika njia yako,
kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula.
Heri wote wanaomkimbilia.
第 2 篇
上帝膏立的君王
1列国为何咆哮?
万民为何枉费心机?
2世上的君王一同行动,
官长聚集商议,
要抵挡耶和华和祂所膏立的王。
3他们说:
“让我们挣断他们的锁链,
脱去他们的捆索!”
4坐在天上宝座上的主必笑他们,
祂必嘲笑他们。
5那时,祂必怒斥他们,
使他们充满恐惧。
6祂说:
“在我的锡安圣山上,
我已立了我的君王。”
7那位君王说:
“我要宣告耶和华的旨意,
祂对我说,‘你是我的儿子,
我今日成为你父亲。
8你向我祈求,我必把列国赐给你作产业,
让天下都归你所有。
9你要用铁杖统治他们,
把他们像陶器一般打碎。’”
10君王啊,要慎思明辨!
世上的统治者啊,要接受劝诫!
11要以敬畏的心事奉耶和华,
要喜乐也要战战兢兢。
12要降服在祂儿子面前,
免得祂发怒,
你们便在罪恶中灭亡,
因为祂的怒气将临。
投靠祂的人有福了!