Zaburi 18
Wimbo Wa Daudi Wa Ushindi
(2 Samweli 22:1-51)
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana aliyomwimbia Bwana wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi:
118:1 Kut 15:2; Yer 16:19; Kum 32:4; 33:29; Za 91:2; 22:19; 59:9; 81:1; 1Sam 2:2; Isa 2:10; 12:2; 49:5Nakupenda wewe, Ee Bwana,
nguvu yangu.
218:2 Kut 33:22; Isa 2:1; 17:10; Yer 16:19; Za 40:17; 114:2; 2:12; 9:9; 94:20; 28:7, 8; 31:2, 3; 84:9; 119:114; Ebr 2:13; Mwa 15:1; Lk 1:69Bwana ni mwamba wangu,
ngome yangu na mwokozi wangu,
Mungu wangu ni mwamba,
ambaye kwake ninakimbilia.
Yeye ni ngao yangu na pembe ya wokovu wangu,
ngome yangu.
318:3 1Nya 16:25; Za 9:13; 76:4Ninamwita Bwana anayestahili kusifiwa,
nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.
418:4 Za 116:4; 93:4; 124:6; Eze 43:2; Isa 5:30; 17:12; Yer 6:23; 51:42, 55Kamba za mauti zilinizunguka,
mafuriko ya maangamizi yalinilemea.
518:5 Mit 14:13Kamba za kuzimu zilinizunguka,
mitego ya mauti ilinikabili.
618:6 Kum 4:30; Za 30:2; 99:6; 102; 120:1; 66:19; 116:1; Ay 16:18Katika shida yangu nalimwita Bwana,
nilimlilia Mungu wangu anisaidie.
Kutoka hekaluni mwake alisikia sauti yangu,
kilio changu kikafika mbele zake,
masikioni mwake.
718:7 Za 97:4; Isa 5:25; 64:3; Amu 5:4, 5; Ay 9:5; Yer 10:10; Mdo 4:31Dunia ilitetemeka na kutikisika,
misingi ya milima ikatikisika,
vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.
818:8 Ay 41:20, 21; Kut 15:17; 19:18; Mit 25:22; Za 50:3; 97:3; Dan 7:10; Rum 12:20Moshi ukapanda kutoka puani mwake,
moto uteketezao ukatoka kinywani mwake,
makaa ya moto yawakayo
yakatoka ndani mwake.
918:9 Mwa 11:5; Isa 64:1; Za 57:3; 104:3; Kut 20:21; Kum 33:26Akazipasua mbingu akashuka chini,
mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.
1018:10 Mwa 3:24; Eze 10:18; Kum 33:26; Za 104:3; 99:1Alipanda juu ya kerubi akaruka,
akapaa juu kwa mbawa za upepo.
1118:11 Za 97:2; Kut 19:9; Ay 22:14; Isa 4:5; Kum 4:11; Yer 43:10Alifanya giza kuwa kitu chake cha kujifunika,
hema lake kumzunguka,
mawingu meusi ya mvua ya angani.
1218:12 Za 104:2; Yos 10:10; Ay 36:30Kutokana na mwanga wa uwepo wake
mawingu yalisogea,
ikanyesha mvua ya mawe
na umeme wa radi.
1318:13 Kut 9:23; Za 29:3; 2Sam 2:10Bwana alinguruma kutoka mbinguni,
sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.
1418:14 Kum 32:23; Ay 6:4; 36:30; Ufu 4:5; Za 21:12; Amu 4:15; Hes 24:8Aliipiga mishale yake na kutawanya adui,
naam, umeme mwingi wa radi na kuwafukuza.
1518:15 Za 11:3; 76:6; 104:7; 106:9; Isa 50:2; Kut 15:8Mabonde ya bahari yalifunuliwa,
na misingi ya dunia ikawa wazi
kwa kukaripia kwako, Ee Bwana,
kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwako.
1618:16 Kut 15:5; Mit 18:4; 20:5; Za 69:2; 144:7Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika;
alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.
1718:17 Za 38:19; 59:1; 143:9; Amu 18:26Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi,
kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.
1818:18 Mit 1:27; 16:4; Yer 17:17; 40:2; Oba 1:13; Za 20:2; Isa 3:1Walinikabili siku ya msiba wangu,
lakini Bwana alikuwa msaada wangu.
1918:19 Za 31:8; 118:5; Hes 14:8Alinileta nje mahali penye nafasi tele,
akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
2018:20 1Sam 22:21; 26:23; Ay 22:30; Za 24:4; Rum 2:12; 2Nya 15:7; 1Kor 3:8; Mit 6:4Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;
sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.
2118:21 2Nya 34:33; Za 37:34; 119:2; 102; Mit 8:32; 23:26Kwa maana nimezishika njia za Bwana;
sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.
2218:22 Za 119:30Sheria zake zote zi mbele yangu,
wala sijayaacha maagizo yake.
2318:23 Mwa 6:9Nimekuwa sina hatia mbele zake,
nami nimejilinda nisitende dhambi.
2418:24 1Sam 26:23; Rut 2:12; Mt 10:41-42Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu;
sawasawa na usafi wa mikono yangu machoni pake.
2518:25 Za 31:23; 37:23; 50:5; 25:10; 40:11; 89:24; 146:6; Mit 2:8; Mt 18:32-35Kwa yeye aliye mwaminifu, unajionyesha kuwa mwaminifu,
kwa asiye na hatia, unajionyesha kutokuwa na hatia.
2618:26 Mit 15:26; Mt 5:8; Flp 1:10; 1Tim 5:22; Tit 1:15; 1Yn 3:3; Mit 3:34; Mt 10:16; Lk 16:8; Law 26:23Kwa aliye mtakatifu, unajionyesha kuwa mtakatifu,
lakini kwa aliyepotoka, unajionyesha kuwa mkaidi.
2718:27 2Nya 33:23; Mt 23:12; Ay 41:34; Za 10:5; Mit 3:33-35; 6:17Wewe huwaokoa wanyenyekevu,
lakini huwashusha wenye kiburi.
2818:28 1Fal 11:36; Za 132:17; Ay 29:3; Za 97:11; 112:4; Yn 1:5; Mdo 26:18; 2Kor 4:6; 2Pet 1:19; Ay 18:6Wewe, Ee Bwana, unaifanya taa yangu iendelee kuwaka;
Mungu wangu hulifanya giza langu kuwa mwanga.
2918:29 Isa 45:5; Ebr 11:34Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi,
nikiwa pamoja na Mungu wangu
nitaweza kuruka ukuta.
3018:30 Kum 32:4; Za 12:6; 3:3; 2:12; Mit 30:5; Ufu 15:3; Rum 12:3Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu,
neno la Bwana halina dosari.
Yeye ni ngao kwa wote
wanaokimbilia kwake.
3118:31 Kum 4:5; 32:39; Za 35:10; 86:8; 89:6; Isa 46:9; 44:6, 8; 45:5, 6, 14, 18, 21; Mwa 49:24Kwa maana ni nani aliye Mungu
zaidi ya Bwana?
Ni nani aliye Mwamba
isipokuwa Mungu wetu?
3218:32 1Pet 5:10; Yak 3:2; Za 15:2; 19:13; Ebr 10:14Mungu ndiye anivikaye nguvu
na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
3318:33 Za 42:1; Mit 5:19; Isa 35:6; Hab 3:19; Kum 32:13Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu,
huniwezesha kusimama mahali palipo juu.
3418:34 Za 144:1Huifundisha mikono yangu kupigana vita;
mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.
3518:35 Za 3:5; 37:5, 17; 41:3; 51:2; 54:4; 55:22; 119:116; Isa 41:4, 10, 13; 43:2; 46:4Hunipa ngao yako ya ushindi,
nao mkono wako wa kuume hunitegemeza,
unajishusha chini ili kuniinua.
3618:36 Ay 18:7; Za 31:8; 66:9Huyapanua mapito yangu,
ili miguu yangu isiteleze.
3718:37 Law 26:7Niliwafuatia adui zangu na nikawapata,
sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.
3818:38 Za 68:21; 110:6; 36:12; 47:3; 140:10; Isa 26:14Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena;
walianguka chini ya miguu yangu.
3918:39 Za 18:32, 47; Isa 45:5, 24; Za 47:3; 144:2Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita;
uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.
4018:40 Yos 7:12; Za 18:37Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,
nami nikawaangamiza adui zangu.
4118:41 2Fal 14:26; Za 50:22; 1Sam 8:18; 14:37; Yer 11:11; Mit 1:28Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;
walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.
4218:42 Kum 9:21; Isa 2:22Niliwaponda kama mavumbi yanayopeperushwa na upepo;
niliwamwaga nje kama tope barabarani.
4318:43 2Sam 8:1-14; Isa 55:5Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu;
umenifanya kuwa kiongozi wa mataifa,
watu ambao sikuwajua wananitumikia.
4418:44 Za 144:7, 11; 54:3; Isa 25:5Mara wanisikiapo hunitii,
wageni hunyenyekea mbele yangu.
4518:45 2Kor 4:1; Ebr 12:3; 1Sam 17:32; Isa 66:2; Hos 3:5; 11:10; Za 9:9; Mik 7:17Wote wanalegea,
wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.
4618:46 Yos 3:10; 2Kor 13:4; 1Sam 14:39; Kut 33:22; Za 21:13; 35:27; 40:16; 108:5; 1Nya 16:35; Lk 1:47; Yer 10:10Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!
Atukuzwe Mungu Mwokozi wangu!
4718:47 Mwa 4:24; Za 18:29; Amu 4:23Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi,
awatiishaye mataifa chini yangu,
4818:48 Dan 3:17; Za 7:10; 37:40; 140:2; 18:49aniokoaye na adui zangu.
Uliniinua juu ya adui zangu;
uliniokoa toka kwa watu wajeuri.
4918:49 Za 101:1; 7:17; 9:2; 108:1; 146:2; Rum 15:9Kwa hiyo nitakusifu katikati ya mataifa, Ee Bwana;
nitaliimbia sifa jina lako.
5018:50 2Sam 23:1; Za 144:10; 89:4Humpa mfalme wake ushindi mkuu,
huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake,
kwa Daudi na wazao wake milele.
第 18 篇
大衛的勝利之歌
耶和華的僕人大衛的詩,交給樂長。當時耶和華從眾仇敵和掃羅手中拯救了他,他向耶和華吟唱此詩。
1耶和華啊,你是我的力量,
我愛你。
2耶和華是我的磐石,我的堡壘,我的拯救者;
我的上帝是保護我的磐石,
我的盾牌,
是拯救我的力量,我的堡壘。
3我求告當受頌讚的耶和華,
祂救我脫離仇敵。
4死亡的鎖鏈曾纏住我,
罪惡的狂流曾淹沒我。
5陰間的繩索曾捆綁我,
死亡的陷阱曾威脅我。
6在苦難中我呼求耶和華,
向我的上帝求助。
祂從殿中垂聽我的呼求,
我的聲音達到祂耳中。
7祂一發怒,大地震動,
山的根基搖晃。
8祂的鼻孔冒煙,
口噴烈焰和火炭。
9祂撥開雲天,腳踩密雲,
親自降臨。
10祂乘著基路伯天使飛翔,
乘著風的翅膀疾馳。
11祂藏身於黑暗中,
四圍以密雲作幔幕。
12從祂面前的榮光中,
冰雹和火炭衝破雲層。
13耶和華在天上打雷,
至高者發出的聲音響徹在冰雹和火炭中。
14祂射出利箭驅散仇敵,
發出閃電擊潰他們。
15耶和華啊,你斥責一聲,
鼻孔一吹氣,海底就顯現,
大地也露出根基。
16祂從高天伸手抓住我,
從深淵中把我拉上來。
17祂救我脫離強敵,
脫離我無法戰勝的仇敵。
18他們在我危難之時攻擊我,
但耶和華扶持我。
19祂拯救我,領我到寬闊之地,
因為祂喜悅我。
20耶和華因我公義而善待我,
因我清白而賞賜我,
21因為我堅守祂的道,
沒有作惡背棄我的上帝。
22我遵守祂的一切法令,
沒有把祂的律例棄置一旁。
23我在祂面前純全無過,
沒有沾染罪惡。
24耶和華因我公義、
在祂面前清白而獎賞我。
25仁慈的人,你以仁慈待他;
純全的人,你以純全待他;
26純潔的人,你以純潔待他;
心術不正的人,你以計謀待他。
27你搭救謙卑的人,
貶抑眼目高傲的人。
28我的上帝耶和華啊,
你是我的明燈,
你使我的黑暗變為光明。
29我倚靠你的力量迎戰敵軍,
靠著我的上帝躍過牆垣。
30上帝的道完美,
耶和華的話純全,
祂是投靠祂之人的盾牌。
31除了耶和華以外,誰是上帝呢?
除了我們的上帝,誰是磐石呢?
32是上帝賜我力量,
使我行為純全。
33祂使我的腳如母鹿的蹄,
穩踏在高處。
34祂訓練我,
使我的手能爭戰、
我的臂膀能拉開銅弓。
35耶和華啊,你是拯救我的盾牌,
你的右手扶持我,
你的垂顧使我強大。
36你使我腳下的道路寬闊,
不致滑倒。
37我追趕仇敵直到追上,
不消滅他們決不回頭。
38我打垮他們,
使他們倒在我的腳下,
再也站不起來。
39你賜我征戰的能力,
使我的仇敵降服在我腳下。
40你使我的仇敵狼狽而逃,
我殲滅了恨我的人。
41他們高聲求救,卻無人搭救;
他們呼求耶和華,祂也不應允。
42我把他們打得粉碎,
如同風中的灰塵;
我把他們倒掉,
如同街上的泥土。
43你救我脫離我百姓的攻擊,
立我做列國的元首。
素不認識的民族也歸順我。
44他們望風而降,
外族人對我俯首稱臣。
45外族人聞風喪膽,
戰戰兢兢地走出他們的城池。
46耶和華永遠活著,
保護我的磐石當受頌讚,
拯救我的上帝當受尊崇。
47祂是為我伸冤的上帝,
祂使列邦臣服於我。
48祂救我脫離仇敵,
使我勝過強敵,
拯救我脫離殘暴之徒。
49因此,耶和華啊,
我要在列邦中讚美你,
歌頌你的名。
50你使你立的王大獲全勝,
向你膏立的大衛及其後代廣施慈愛,直到永遠。