Zaburi 147 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 147:1-20

Zaburi 147

Kumsifu Mungu Mwenye Nguvu Zote

1147:1 Za 135:3; 33:1Msifuni Bwana.

Tazama jinsi ilivyo vyema kumwimbia Mungu wetu sifa,

jinsi inavyopendeza na kustahili kumsifu yeye!

2147:2 Za 51:18; 106:47; Kum 30:3; Isa 27:13; Yer 32:37; Eze 36:24Bwana hujenga Yerusalemu,

huwakusanya Israeli walio uhamishoni.

3147:3 Za 34:18; Isa 1:6; 61:1; Eze 34:16; Ebr 12:13; Ay 5:18; Lk 4:18Anawaponya waliovunjika mioyo

na kuvifunga vidonda vyao.

4147:4 Mwa 15:5; Isa 40:26Huzihesabu nyota

na huipa kila moja jina lake.

5147:5 Kut 14:31; Nah 1:3; 1Nya 16:25; Za 48:1; 145:3; Isa 40:28Bwana wetu ni mkuu na mwenye uwezo mwingi,

ufahamu wake hauna kikomo.

6147:6 2Nya 33:23; Za 146:8, 9; 37:9, 10; 145:20Bwana huwahifadhi wanyenyekevu

lakini huwashusha waovu mpaka mavumbini.

7147:7 Za 30:4; 33:3; 42:4; 27:6; 98:5; Efe 2:20Mwimbieni Bwana kwa shukrani,

mpigieni Mungu wetu kinubi.

8147:8 Kum 32:2; 11:14; 2Sam 1:21; Ay 26:8; 38:26; 5:10; 28:26; Za 104:14Yeye huzifunika anga kwa mawingu,

huinyeshea ardhi mvua,

na kuzifanya nyasi kuota juu ya vilima.

9147:9 Ay 38:41; Mt 6:26; Mwa 8:7; 1:30; Lk 12:24; Za 104:27, 28Huwapa chakula mifugo

na pia makinda ya kunguru yanapolia.

10147:10 1Sam 16:7; Hos 1:7; Ay 39:11; Za 33:16-17Furaha yake haipo katika nguvu za farasi,

wala furaha yake kwenye miguu ya mwanadamu.

11147:11 Za 35:27; 33:18; 103:11; 119:43; 6:4Bwana hupendezwa na wale wamchao,

wale wanaoweka tumaini lao katika upendo wake usiokoma.

12147:12 Za 48:1Mtukuze Bwana, ee Yerusalemu,

msifu Mungu wako, ee Sayuni,

13147:13 Kum 33:25; Law 25:21; Za 128:5; 134:3kwa maana huimarisha makomeo ya malango yako

na huwabariki watu wako walio ndani yako.

14147:14 Law 26:6; 2Sam 7:10; Isa 48:18; Za 132:15; Kum 32:14Huwapa amani mipakani mwenu

na kukushibisha kwa ngano safi kabisa.

15147:15 Ay 37:12; Za 33:9; 148:5; Isa 55:11Hutuma amri yake duniani,

neno lake hukimbia kasi.

16147:16 Za 148:8; Ay 37:12; 38:29Anatandaza theluji kama sufu

na kutawanya umande kama majivu.

17147:17 Kut 9:22, 23; Ay 38:22; Za 78:47Huvurumisha mvua yake ya mawe kama changarawe.

Ni nani awezaye kustahimili ukali wa baridi yake?

18147:18 Za 33:9; 107:20; 50:3Hutuma neno lake na kuviyeyusha,

huvumisha upepo wake, nayo maji hutiririka.

19147:19 Kut 20:1; Mal 4:4; Za 78:5; Yos 1:8; Kum 33:4; 2Fal 22:8; Rum 3:2; 9:4Amemfunulia Yakobo neno lake,

sheria zake na maagizo yake kwa Israeli.

20147:20 Rum 3:1-2; Kum 4:7-8, 32-34; Za 79:6; 103:1; 33:2; Mdo 14:16Hajafanya hivyo kwa taifa lingine lolote,

hawazijui sheria zake.

Msifuni Bwana.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 147:1-20

147

1ハレルヤ。主をほめたたえましょう。

神を賛美するのは、なんと麗しく、

喜ばしいことなのでしょう。

2主はエルサレムの町を建て直し、

捕虜として連れ去られた人々を返してくださいます。

3心の傷ついた人々を優しくいたわり、

傷口を覆ってくださいます。

4主は星を数え、その一つ一つの名を呼ばれます。

5偉大な主の御力は限りなく、主の知恵は無限です。

6主は謙遜な人を支えますが、

悪者どもは地面に倒されます。

7主に感謝の歌を歌いなさい。

竪琴の伴奏で、賛美の歌を歌いなさい。

8神は雲で天を覆い隠し、夕立を送り、

牧草を青々と生えさせてくださいます。

9また野の獣を養われます。

からすの子は、神に食べ物をねだって鳴くのです。

10どんなに足の早い馬でも、

神から見れば、歩みの遅いかたつむりと同じです。

どんなに腕力を誇る人でも、神からすれば、

赤ん坊の手をねじ伏せるより簡単なのです。

11しかし、主を敬い、その愛と恵みを待ち望む人々を、

主はことのほかお喜びになります。

12エルサレムは主をほめたたえなさい。

シオンも賛美の声を上げなさい。

13主は敵に備えてあなたの城の守りを固め、

あなたの子どもたちを祝福されるからです。

14主は平和を与え、

最上の小麦で倉を満たしてくださいます。

15主のご命令は全世界に行き渡ります。

そのおことばは、飛ぶように駆け巡るのです。

16主は真っ白な雪を降らせ、地面に霜をまき、

17雹を地上に投げつけられます。

その凍りつくような寒さに、だれが耐えられましょう。

18しかし、主が春をお呼びになると、

暖かい風が吹いてきて、川面の氷を溶かすのです。

19主はイスラエルに、

ご自分のおきてと礼拝の仕方を教えてくださいました。

20こんなことは、ほかの国にはなかったことです。

他の国民は、神の戒めを聞かされていません。

ハレルヤ。主をほめたたえましょう。