Zaburi 141
Maombi Ya Kuhifadhiwa Dhidi Ya Uovu
Zaburi ya Daudi.
1141:1 Za 22:19; 4:1; 5:1-2; 27:7; 143:1Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima.
Sikia sauti yangu ninapokuita.
2141:2 Lk 1:9; Ufu 5:8; 8:3; Za 28:2; 63:4; 1Tim 2:8; Kut 29:39, 41; 30:8; Efe 5:2Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba;
kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.
3141:3 Za 34:13; 12:2; Yak 1:26; 3:8Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu,
weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.
4141:4 Yos 24:23; Za 106:29; Mit 23:1-3Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya,
nisije nikashiriki katika matendo maovu
pamoja na watu watendao mabaya,
wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.
5141:5 Mit 9:8; 19:25; 25:12; Mhu 7:5; Kut 29:7; Za 23:5Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma;
na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu.
Kichwa changu hakitalikataa.
Hata hivyo, maombi yangu daima
ni kinyume cha watenda mabaya,
6141:6 2Nya 25:12watawala wao watatupwa chini
kutoka kwenye majabali,
waovu watajifunza kwamba maneno yangu
yalikuwa kweli.
7141:7 Za 129:3; Hes 16:32-33; 16:30; 2Kor 1:9Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi,
ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.”
8141:8 Za 123:2; 2:12; 11:1Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi,
ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.
9141:9 Za 140:4; 64:5; 38:12Niepushe na mitego waliyonitegea,
kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.
10141:10 Za 7:15; 35:8; 57:6; 124:7Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe,
wakati mimi ninapita salama.
Псалом 141
1Наставление Давида. Его молитва, когда он находился в пещере141:1 См. 1 Цар. 22:1-2..
Громко взываю я к Господу,
громко Господа умоляю.
2Перед Ним я излил свою жалобу
и открыл Ему свою скорбь.
3Когда изнемогал во мне дух,
Ты знал мой путь.
На дороге, по которой я шел,
тайно поставили для меня сеть.
4Я смотрю вокруг, ища своего защитника,
но вижу, что никому нет до меня дела.
Нет у меня убежища,
никто не заботится о моей жизни.
5Взываю я к Тебе, Господи,
и говорю: «Ты – мое убежище
и мой удел в земле живых».
6Прислушайся к моему молению,
потому что я сильно изнемог;
избавь меня от преследователей,
потому что они сильнее меня.
7Освободи меня из темницы,
чтобы я вознес хвалу имени Твоему.
Меня обступят праведники,
когда Ты воздашь мне добром.