Zaburi 140
Kuomba Ulinzi Wa Mungu
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
1140:1 Za 17:13; 25:20; 59:2; 71:4; 142:6; 143:9; 86:14Ee Bwana, niokoe, kutoka kwa watu waovu;
nilinde na watu wenye jeuri,
2140:2 Mit 6:14; 16:27; Isa 59:4; Hos 7:15; Za 36:4; 52:2; 68:30ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao,
na kuchochea vita siku zote.
3140:3 Za 57:4; 58:4; Rum 3:13; Yak 3:8Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka,
sumu ya nyoka iko midomoni mwao.
4140:4 Za 141:9; 36:11Ee Bwana, niepushe na mikono ya waovu;
nilinde na watu wenye jeuri
wanaopanga kunikwaza miguu yangu.
5140:5 Ay 34:30; Za 31:4; 38:12; 119:110; Ay 18:8; 18:9Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa,
wametandaza kamba za wavu wao,
wametega mitego kwenye njia yangu.
6140:6 Za 16:2; 28:2, 6Ee Bwana, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.”
Ee Bwana, usikie kilio changu na kunihurumia.
7Ee Bwana Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu,
unikingaye kichwa changu siku ya vita:
8140:8 Za 10:2-3; 66:7; Ay 5:12-13Ee Bwana, usiwape waovu matakwa yao,
usiache mipango yao ikafanikiwa,
wasije wakajisifu.
9140:9 Mit 18:7Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe
na shida zinazosababishwa na midomo yao.
10140:10 Za 11:6; 21:9; Mt 3:10; Lk 12:40; Ufu 20:15Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie!
Na watupwe motoni,
katika mashimo ya matope,
wasiinuke tena kamwe.
11140:11 Za 34:21Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi;
maafa na yawawinde watu wenye jeuri.
12140:12 1Fal 8:45; Za 35:10; 82:3; 109:31Najua kwamba Bwana huwapatia maskini haki,
na kuitegemeza njia ya mhitaji.
13140:13 Za 138:2; 11:7; 16:11Hakika wenye haki watalisifu jina lako,
na waadilifu wataishi mbele zako.
第 140 篇
祈求上帝保护
大卫的诗,交给乐长。
1耶和华啊!
求你拯救我脱离恶人,
保护我脱离残暴之徒。
2他们心怀叵测,整天挑拨离间。
3他们的言语恶毒如蛇,
嘴唇有蛇的毒液。(细拉)
4耶和华啊,
求你使我免遭恶人的毒手,
保护我脱离残暴之徒。
他们图谋害我。
5傲慢人在我的路上暗设网罗,
布下圈套,挖了陷阱。(细拉)
6耶和华啊,
我说:“你是我的上帝。”
耶和华啊,求你垂听我的呼求。
7主耶和华,我大能的拯救者啊,
在战争的日子,你保护我。
8耶和华啊,
求你不要让恶人的愿望实现,
不要让他们的阴谋得逞,
免得他们狂妄自大。(细拉)
9愿那些围攻我的人自食恶果。
10愿火炭落在他们身上,
愿他们被丢进火里,
被抛进深坑,不得翻身。
11愿毁谤者在地上无法立足,
愿祸患毁灭残暴之徒。
12我知道耶和华必为贫穷人伸张正义,
为困苦者申冤。
13义人必赞美你的名,
正直人必活在你面前。