Zaburi 14 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 14:1-7

Zaburi 14

Uovu Wa Wanadamu

(Zaburi 53)

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

114:1 Za 10:4; Mwa 6:12; Rum 3:10; Mit 1:7, 22Mpumbavu anasema moyoni mwake,

“Hakuna Mungu.”

Wameharibika, matendo yao ni maovu kabisa;

hakuna hata mmoja atendaye mema.

214:2 Ay 41:34; Za 32:6; 85:11; 102:19; Ezr 6:21; Mao 3:50Bwana anawachungulia wanadamu chini

kutoka mbinguni

aone kama wako wenye akili,

wowote wanaomtafuta Mungu.

314:3 1Sam 8:3; 2Pet 2:7; 1Tim 5:15; 1Fal 8:46; Za 143:2; Mhu 7:20; Rum 3:10-12Wote wamepotoka,

wameharibika wote pamoja,

hakuna atendaye mema.

Naam, hakuna hata mmoja!

414:4 Za 17:2; 82:5; 79:6; Mik 3:3; Isa 64:7; 65:1; Yer 4:22; 10:25; Hos 7:7Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

wale ambao huwala watu wangu

kama watu walavyo mkate,

hao ambao hawamwiti Bwana?

5Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu,

maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.

614:6 2Sam 22:3Ninyi watenda mabaya mnakwamisha mipango ya maskini,

bali Bwana ndiye kimbilio lao.

714:7 Za 2:6; Yer 48:47; Kum 30:3Laiti wokovu wa Israeli

ungalikuja kutoka Sayuni!

Wakati Bwana arejeshapo

wafungwa wa watu wake,

Yakobo na ashangilie,

Israeli na afurahi!

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Salmo 14:1-7

Salmo 14

14:1-7Sal 53:1-6

Al director musical. Salmo de David.

1Dice el necio en su corazón:

«No hay Dios».

Están corrompidos, sus obras son detestables;

¡no hay uno solo que haga lo bueno!

2Desde el cielo, el Señor contempla a los mortales,

para ver si hay alguien

que sea sensato y busque a Dios.

3Pero todos se han descarriado,

a una se han corrompido.

No hay nadie que haga lo bueno;

¡no hay uno solo!

4¿Acaso no tienen entendimiento todos los que hacen lo malo,

los que devoran a mi pueblo como si fuera pan?

¡Jamás invocan al Señor!

5Allí los tenéis, sobrecogidos de miedo,

pero Dios está con los que son justos.

6Vosotros frustráis los planes de los pobres,

pero el Señor los protege.

7¡Quiera Dios que de Sión

venga la salvación de Israel!

Cuando el Señor restaure a su pueblo,14:7 restaure a su pueblo. Alt. haga que su pueblo vuelva del cautiverio.

¡Jacob se regocijará, Israel se alegrará!