Zaburi 139 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 139:1-24

Zaburi 139

Mungu Asiyeweza Kukwepwa

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

1139:1 Za 17:3; 44:21; Rum 8:27Ee Bwana, umenichunguza

na kunijua.

2139:2 2Fal 19:27; Za 94:11; Mit 24:12; Yer 12:3Unajua ninapoketi na ninapoinuka;

unatambua mawazo yangu tokea mbali.

3139:3 2Fal 19:27; Ay 31:4Unafahamu kutoka kwangu na kulala kwangu;

unaelewa njia zangu zote.

4139:4 Ebr 4:13Kabla neno halijafika katika ulimi wangu,

wewe walijua kikamilifu, Ee Bwana.

5139:5 1Sam 25:16; Za 32:10; 34:7; 125:2Umenizunguka nyuma na mbele;

umeweka mkono wako juu yangu.

6139:6 Za 131:1; Rum 11:33Maarifa haya ni ya ajabu mno kwangu,

ni ya juu sana kwangu kuyafikia.

7139:7 Yer 23:24Niende wapi nijiepushe na Roho yako?

Niende wapi niukimbie uso wako?

8139:8 Kum 30:12-15; Amo 9:2-3; Ay 17:13Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko;

nikifanya vilindi139:8 Vilindi ina maana ya Kuzimu, ambayo ni Sheol kwa Kiebrania. kuwa kitanda changu,

wewe uko huko.

9Kama nikipanda juu ya mbawa za mapambazuko,

kama nikikaa pande za mbali za bahari,

10139:10 Za 23:3; 108:6; Isa 41:10hata huko mkono wako utaniongoza,

mkono wako wa kuume utanishika kwa uthabiti.

11Kama nikisema, “Hakika giza litanificha

na nuru inayonizunguka iwe usiku,”

12139:12 Ay 34:22; Dan 2:22hata giza halitakuwa giza kwako,

usiku utangʼaa kama mchana,

kwa kuwa giza ni kama nuru kwako.

13139:13 Za 119:73; Ay 10:11; Isa 44:2, 24; 46:3; 49:5; Yer 1:5Kwa maana wewe ndiwe uliyeumba utu wangu wa ndani;

uliniunga pamoja tumboni mwa mama yangu.

14Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa

kwa namna ya ajabu na ya kutisha;

kazi zako ni za ajabu,

ninajua hayo kikamilifu.

15139:15 Mhu 11:5; Ay 10:11; Za 63:9Umbile langu halikufichika kwako,

nilipoumbwa mahali pa siri.

Nilipoungwa pamoja kwa ustadi katika vilindi vya nchi,

16139:16 Ay 33:29; Za 90:12macho yako yaliniona kabla mwili wangu haujakamilika.

Siku zangu zote ulizonipangia

ziliandikwa katika kitabu chako

kabla haijakuwepo hata moja.

17139:17 Za 92:5; Ay 5:9Tazama jinsi yalivyo ya thamani mawazo yako kwangu, Ee Mungu!

Jinsi jumla yake ilivyo kubwa!

18139:18 Za 40:5; 3:5; Ay 29:18Kama ningezihesabu,

zingekuwa nyingi kuliko mchanga.

Niamkapo,

bado niko pamoja nawe.

19139:19 Za 5:6; 6:8; 59:2; Isa 11:4Laiti ungewachinja waovu, Ee Mungu!

Ondokeni kwangu, ninyi wamwaga damu!

20139:20 Za 65:7; Kum 5:11; Ay 21:14-15; Yud 15Wanazungumza juu yako wakiwa na kusudi baya,

adui zako wanatumia vibaya jina lako.

21139:21 2Nya 19:2; Za 31:6; 26:5; 119:113Ee Bwana, je, nisiwachukie wanaokuchukia?

Nisiwachukie sana wanaoinuka dhidi yako?

22139:22 Mt 5:43Sina kitu zaidi ya chuki dhidi yao,

ninawahesabu ni adui zangu.

23139:23 Ay 31:6; 1Sam 16:7; 1Nya 29:17; Za 7:9; Mit 17:3; Yer 11:20; Ufu 2:23Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu,

nijaribu na ujue mawazo yangu.

24139:24 Yer 25:5; 36:3; Za 5:8; 23:2; 143:10Uone kama kuna njia iletayo machukizo ndani yangu,

uniongoze katika njia ya milele.

La Bible du Semeur

Psaumes 139:1-24

Seigneur, tu sais tout de moi

1Au chef de chœur. Psaume de David.

Eternel, ╵tu me sondes ╵et tu me connais.

2Toi, tu sais quand je m’assieds ╵et quand je me lève.

De loin, tu discernes ╵tout ce que je pense.

3Tu sais quand je marche ╵et quand je me couche,

et tous mes chemins ╵te sont familiers.

4Bien avant qu’un mot ╵vienne sur mes lèvres,

Eternel, ╵tu sais déjà tout ╵ce que je vais dire.

5Tu m’entoures ╵par-derrière et par-devant,

et tu mets ta main sur moi.

6Merveilleux savoir ╵hors de ma portée,

savoir trop sublime ╵pour que je l’atteigne.

7Où pourrais-je aller ╵loin de ton Esprit ?

Où pourrais-je fuir ╵hors de ta présence ?

8Si je monte au ciel ╵tu es là,

et si je descends ╵au séjour des morts, ╵t’y voilà !

9Si j’emprunte ╵les ailes de l’aube

et que j’aille demeurer ╵aux confins des mers,

10là aussi ta main ╵me dirigera,

ton bras droit ╵me tiendra.

11Et si je me dis : ╵« Du moins les ténèbres ╵m’envelopperont »,

alors la nuit même ╵se change en lumière ╵tout autour de moi.

12Pour toi, même les ténèbres ╵ne sont pas obscures

et la nuit est claire ╵comme le plein jour :

lumière ou ténèbres ╵pour toi sont pareilles.

13Tu m’as fait ce que je suis,

et tu m’as tissé ╵dans le ventre de ma mère.

14Je te loue ╵d’avoir fait de moi ╵une créature ╵aussi merveilleuse :

tu fais des merveilles,

et je le reconnais bien.

15Mon corps n’était pas caché ╵à tes yeux

quand, dans le secret, ╵je fus façonné

et tissé ╵comme dans les profondeurs ╵de la terre.

16Je n’étais encore ╵qu’une masse informe, ╵mais tu me voyais

et, dans ton registre, ╵se trouvaient déjà inscrits

tous les jours ╵que tu m’avais destinés

alors qu’aucun d’eux ╵n’existait encore.

17Combien tes desseins, ô Dieu, ╵sont, pour moi, impénétrables,

et comme ils sont innombrables !

18Si je les comptais,

ils seraient bien plus nombreux ╵que les grains de sable ╵sur les bords des mers.

Voici, je m’éveille, ╵je suis encore avec toi.

19Puisses-tu, ô Dieu, ╵faire mourir le méchant !

Que les hommes sanguinaires ╵partent loin de moi !

20Ils se servent de ton nom ╵pour leurs desseins criminels,

eux, tes adversaires, ╵l’utilisent pour tromper.

21Eternel, ╵comment donc ne pas haïr ╵ceux qui te haïssent,

et ne pas prendre en dégoût ╵ceux qui te combattent ?

22Eh bien, je leur voue ╵une haine extrême,

et les considère ╵comme mes ennemis mêmes.

23Sonde-moi, ô Dieu, ╵pénètre mon cœur,

examine-moi, ╵et pénètre les pensées ╵qui me bouleversent !

24Considère si je suis ╵le chemin du mal

et dirige-moi ╵sur la voie ╵prescrite depuis toujours !