Zaburi 135
Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu
1135:1 Neh 7:73Msifuni Bwana.
Lisifuni jina la Bwana,
msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2135:2 1Nya 15:2; Lk 2:37; Za 116:19ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana,
katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3135:3 1Nya 16:34; Za 119:68; 68:4; 92:1; 147:1Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema,
liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4135:4 Kut 19:5; Kum 7:6, 7; 10:15; Mal 3:17; Tit 2:14Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,
Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5135:5 Za 48:1; 145:3; Kut 12:12; 1Nya 16:25; Ay 21:22Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu,
kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6135:6 Za 115:3; Dan 4:35; Mt 6:10Bwana hufanya lolote apendalo,
mbinguni na duniani,
katika bahari na vilindi vyake vyote.
7135:7 Ay 5:10; Za 68:6; Isa 30:23; Amo 4:13; Yer 10:13; 51:16; Yoe 2:23; Zek 10:1; Kum 28:12; Mwa 2:6; Ay 28:25; 38:22Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;
hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua
na huleta upepo kutoka ghala zake.
8135:8 Kut 4:23; 12:12Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,
mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9135:9 Kut 7:9; Za 136:10-15Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,
dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10135:10 Hes 21:21-25; Yos 24:8-11; Za 44:2; 78:55; 136:17-21Aliyapiga mataifa mengi,
na akaua wafalme wenye nguvu:
11135:11 Hes 21:21, 26, 33; Yos 12:7-24Mfalme Sihoni na Waamori,
Ogu mfalme wa Bashani
na wafalme wote wa Kanaani:
12135:12 Kum 29:8akatoa nchi yao kuwa urithi,
urithi kwa watu wake Israeli.
13135:13 Kut 3:15; Za 102:12Ee Bwana, jina lako ladumu milele,
kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14135:14 1Sam 24:15; Ebr 10:30; Kum 32:36Maana Bwana atawathibitisha watu wake,
na kuwahurumia watumishi wake.
15135:15 Ufu 9:20; Isa 2:8; 31:7; 37:19; 40:19; Yer 1:16; 10:5; Za 96:5Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,
zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16135:16 1Fal 18:26Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,
zina macho, lakini haziwezi kuona;
17135:17 Yer 10:14; Hab 2:19zina masikio, lakini haziwezi kusikia,
wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19135:19 Za 22:23Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana;
ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana;
ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21135:21 Za 128:5; 134:3; 1Fal 8:13; 2Nya 6:2Msifuni Bwana kutoka Sayuni,
msifuni yeye aishiye Yerusalemu.
Msifuni Bwana.
Psalm 135
En lovsång som prisar Herrens under
1Halleluja!
Prisa Herrens namn,
prisa honom, ni Herrens tjänare,
2ni som står i Herrens hus,
på förgårdarna till vår Guds hus.
3Prisa Herren, för han är god!
Lovsjung hans namn,
för det är underbart.
4Herren har utvalt Jakob åt sig
och Israel till sin egendom.
5Jag vet att Herren är stor,
vår Herre är större än alla gudar.
6Herren gör allt vad han vill
både i himlen och på jorden, i haven och i djupen.
7Han låter molnen stiga upp vid horisonten,
han sänder blixt och regn
och han sänder ut vindarna från sina förråd.
8I Egypten dödade han de förstfödda
bland både människor och djur.
9Han sände tecken och under till Egypten,
till farao och dennes tjänstefolk.
10Han besegrade många folk
och dödade mäktiga kungar,
11Sichon, amoréernas kung,
Og, Bashans kung
och alla Kanaans kungar.
12Han gav deras länder
som en arvslott till sitt folk Israel.
13Herre, ditt namn består i evighet.
I alla tider kommer man att minnas dig, Herre.
14Herren skaffar rätt åt sitt folk
och förbarmar sig över sina tjänare.
15Folkens gudar är silver och guld,
verk av människohänder.
16De har munnar som inte kan tala
och ögon som inte kan se.
17De har öron som inte kan höra,
och i deras munnar finns ingen andedräkt.
18De som har gjort dem ska bli som de,
liksom alla som sätter sin lit till dem.
19Israels släkt, prisa Herren!
Arons släkt, prisa Herren!
20Levis släkt, prisa Herren!
Prisa Herren, ni som fruktar honom!
21Prisad vare Herren från Sion,
han som bor i Jerusalem.
Halleluja!