Zaburi 135
Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu
1135:1 Neh 7:73Msifuni Bwana.
Lisifuni jina la Bwana,
msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2135:2 1Nya 15:2; Lk 2:37; Za 116:19ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana,
katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3135:3 1Nya 16:34; Za 119:68; 68:4; 92:1; 147:1Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema,
liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4135:4 Kut 19:5; Kum 7:6, 7; 10:15; Mal 3:17; Tit 2:14Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,
Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5135:5 Za 48:1; 145:3; Kut 12:12; 1Nya 16:25; Ay 21:22Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu,
kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6135:6 Za 115:3; Dan 4:35; Mt 6:10Bwana hufanya lolote apendalo,
mbinguni na duniani,
katika bahari na vilindi vyake vyote.
7135:7 Ay 5:10; Za 68:6; Isa 30:23; Amo 4:13; Yer 10:13; 51:16; Yoe 2:23; Zek 10:1; Kum 28:12; Mwa 2:6; Ay 28:25; 38:22Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;
hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua
na huleta upepo kutoka ghala zake.
8135:8 Kut 4:23; 12:12Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,
mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9135:9 Kut 7:9; Za 136:10-15Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,
dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10135:10 Hes 21:21-25; Yos 24:8-11; Za 44:2; 78:55; 136:17-21Aliyapiga mataifa mengi,
na akaua wafalme wenye nguvu:
11135:11 Hes 21:21, 26, 33; Yos 12:7-24Mfalme Sihoni na Waamori,
Ogu mfalme wa Bashani
na wafalme wote wa Kanaani:
12135:12 Kum 29:8akatoa nchi yao kuwa urithi,
urithi kwa watu wake Israeli.
13135:13 Kut 3:15; Za 102:12Ee Bwana, jina lako ladumu milele,
kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14135:14 1Sam 24:15; Ebr 10:30; Kum 32:36Maana Bwana atawathibitisha watu wake,
na kuwahurumia watumishi wake.
15135:15 Ufu 9:20; Isa 2:8; 31:7; 37:19; 40:19; Yer 1:16; 10:5; Za 96:5Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,
zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16135:16 1Fal 18:26Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,
zina macho, lakini haziwezi kuona;
17135:17 Yer 10:14; Hab 2:19zina masikio, lakini haziwezi kusikia,
wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19135:19 Za 22:23Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana;
ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana;
ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21135:21 Za 128:5; 134:3; 1Fal 8:13; 2Nya 6:2Msifuni Bwana kutoka Sayuni,
msifuni yeye aishiye Yerusalemu.
Msifuni Bwana.
第 135 篇
讚美之歌
(平行經文:詩篇115·4-11)
1-2你們要讚美耶和華!
讚美祂的名!
耶和華的僕人啊,
在耶和華的殿中,
在我們上帝的院宇中事奉的人啊,
你們要讚美祂!
3你們要讚美耶和華,
因為祂是美善的;
你們要歌頌祂的名,
因為祂的名美好無比。
4祂揀選雅各做祂的子民,
揀選以色列作祂的產業。
5我知道耶和華偉大,
我們的主超越一切神明。
6耶和華在天上、地下、海洋、
深淵按自己的旨意行事。
7祂使雲霧從地極上升,
發出電光,帶來雨水,
從祂的倉庫帶出風來。
8祂擊殺了埃及人的長子和頭胎的牲畜。
9祂在埃及行神蹟奇事,
懲罰法老和他的一切臣僕。
10祂毀滅列國,
殺戮強大的君王:
11亞摩利王西宏、巴珊王噩和迦南所有的君王。
12祂把這些國家的土地賜給祂的以色列子民,
作為他們的產業。
13耶和華啊,
你的名永遠長存,
你的威名傳到萬代。
14因為耶和華必為祂的子民伸冤,
憐憫祂的僕人。
15外族人的神像是人用金銀造的。
16它們有口不能說,有眼不能看,
17有耳不能聽,口中毫無氣息。
18那些製造它們、信靠它們的人也會和它們一樣。
19以色列人啊,
你們要稱頌耶和華!
亞倫的子孫啊,
你們要稱頌耶和華!
20利未的子孫啊,
你們要稱頌耶和華!
你們敬畏耶和華的人都要稱頌祂!135·15-20 平行經文:詩篇115·4-11。
21要讚美錫安的耶和華,
讚美住在耶路撒冷的耶和華。
你們要讚美耶和華!