Zaburi 133 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 133:1-3

Zaburi 133

Sifa Za Pendo La Undugu

Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

1133:1 Mwa 13:8; Yn 17:11; 1Kor 1:10; Rum 12:10Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza

wakati ndugu wanapoishi pamoja katika umoja!

2133:2 Kut 29:7; 30:25Ni kama mafuta ya thamani yaliyomiminwa kichwani,

yakitiririka kwenye ndevu,

yakitiririka kwenye ndevu za Aroni,

mpaka kwenye upindo wa mavazi yake.

3133:3 Ay 29:19; Mit 19:12; Isa 18:4; 26:19; 45:8; Hos 14:5; Mik 5:7; Kum 3:8; Kut 15:17; Law 25:21; Za 2:6; 74:2; 21:4; Dan 12:2-3; Yn 4:14; Ebr 7:25; 1Yn 5:20Ni kama vile umande wa Hermoni

unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni.

Kwa maana huko ndiko Bwana alikoamuru baraka yake,

naam, hata uzima milele.

Nova Versão Internacional

Salmos 133:1-3

Salmo 133

Cântico de Peregrinação. Davídico.

1Como é bom e agradável

quando os irmãos convivem em união!

2É como óleo precioso

derramado sobre a cabeça,

que desce pela barba, a barba de Arão,

até a gola das suas vestes.

3É como o orvalho do Hermom

quando desce sobre os montes de Sião.

Ali o Senhor concede a bênção

da vida para sempre.