Zaburi 132 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 132:1-18

Zaburi 132

Maskani Ya Mungu Ya Milele Katika Sayuni

Wimbo wa kwenda juu.

1Ee Bwana, mkumbuke Daudi

na taabu zote alizozistahimili.

2132:2 Mwa 49:24; Isa 49:26; 60:16Aliapa kiapo kwa Bwana

na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:

3132:3 2Sam 7:2, 27“Sitaingia nyumbani mwangu

au kwenda kitandani mwangu:

4132:4 Rut 3:18sitaruhusu usingizi katika macho yangu,

wala kope zangu kusinzia,

5132:5 1Fal 8:17; Mdo 7:46mpaka nitakapompatia Bwana mahali,

makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”

6132:6 1Sam 7:2; 17:12; Yos 9:17; 18:1; 1Nya 13:5Tulisikia habari hii huko Efrathi,

tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:132:6 Yaani Kiriath-Yearimu.

7132:7 2Sam 15:25; Za 5:7; 122:1; 1Nya 28:2“Twendeni kwenye makao yake,

na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;

8132:8 Hes 10:35inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia,

wewe na Sanduku la nguvu zako.

9132:9 Ay 27:6; Zek 3:4; Isa 61:3, 10; Mal 3:3; Ay 29:14Makuhani wako na wavikwe haki,

watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”

10Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako,

usimkatae mpakwa mafuta wako.

11132:11 Za 89:3-4, 35; 1Nya 17:11-14; Mt 1:1; Lk 3:31Bwana alimwapia Daudi kiapo,

kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua:

“Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe

katika kiti chako cha enzi,

12132:12 2Nya 6:16; Za 25:10; Lk 1:32; Mdo 2:30kama wanao watashika Agano langu

na sheria ninazowafundisha,

ndipo wana wao watarithi

kiti chako cha enzi milele na milele.”

13132:13 Kut 15:17; Za 48:1, 2; 68:16; 1Fal 18:13Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni,

amepaonea shauku pawe maskani yake:

14132:14 Za 80:1; 68:16; 2Sam 6:2“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele;

hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:

15132:15 Za 107:9; 147:14Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele:

nitashibisha maskini wake kwa chakula.

16132:16 2Nya 6:41; Ay 8:21; Za 149:5Nitawavika makuhani wake wokovu,

nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.

17132:17 1Sam 2:10; Za 18:28; 84:9; 92:10; Eze 29:21; Lk 1:69; 1Fal 11:36; 2Fal 8:19; 2Nya 21:7“Hapa nitamchipushia Daudi pembe,132:17 Pembe inawakilisha nguvu.

na kuweka taa kwa ajili ya masiya132:17 Masiya yaani mpakwa mafuta. wangu.

18132:18 Ay 8:22; 2Sam 12:30Adui zake nitawavika aibu,

bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Salmo 132:1-18

Salmo 132

132:8-102Cr 6:41-42

Cántico de los peregrinos.

1Señor, acuérdate de David

y de todas sus penurias.

2Acuérdate de sus juramentos al Señor,

de sus votos al Poderoso de Jacob:

3«No gozaré del calor del hogar,

ni me daré un momento de descanso;132:3 No gozaré … de descanso. Lit. Si entrara yo en la tienda de mi casa, / si subiera yo al lecho de mi cama.

4no me permitiré cerrar los ojos,

y ni siquiera el menor pestañeo,

5antes de hallar un lugar para el Señor,

una morada para el Poderoso de Jacob».

6En Efrata oímos hablar del arca;132:6 del arca. Lit. de ella; véase 1S 7:1.

dimos con ella en los campos de Yagar:132:6 Yagar. Es decir, Quiriat Yearín.

7«Vayamos hasta su morada;

postrémonos ante el estrado de sus pies».

8Levántate, Señor; ven a tu lugar de reposo,

tú y tu arca poderosa.

9¡Que se revistan de justicia tus sacerdotes!

¡Que tus fieles canten jubilosos!

10Por amor a David, tu siervo,

no le des la espalda a132:10 no le des la espalda a. Lit. no vuelvas el rostro de. tu ungido.

11El Señor le ha hecho a David

un firme juramento que no revocará:

«A uno de tus propios descendientes

lo pondré en tu trono.

12Si tus hijos cumplen con mi pacto

y con los estatutos que les enseñaré,

también sus descendientes

te sucederán en el trono para siempre».

13El Señor ha escogido a Sión;

su deseo es hacer de este monte su morada:

14«Este será para siempre mi lugar de reposo;

aquí pondré mi trono, porque así lo deseo.

15Bendeciré con creces sus provisiones,

y saciaré de pan a sus pobres.

16Revestiré de salvación a sus sacerdotes,

y jubilosos cantarán sus fieles.

17»Aquí haré renacer el poder132:17 poder. Lit. cuerno. de David,

y encenderé la lámpara de mi ungido.

18A sus enemigos los cubriré de vergüenza,

pero él lucirá su corona esplendorosa».