Zaburi 131 – NEN & AKCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 131:1-3

Zaburi 131

Kumtegemea Mungu Kwa Unyenyekevu

Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

1131:1 Isa 2:12; Yer 45:5; Rum 12:16; 2Sam 22:28; Ay 41:34; 5:9; Za 101:5; 139:6Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana,

macho yangu hayajivuni;

sijishughulishi na mambo makuu kunizidi

wala mambo ya ajabu mno kwangu.

2131:2 Za 116:7; Mit 18:3; Mt 18:3; 1Kor 13:11; 14:20Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu;

kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake,

kama mtoto aliyeachishwa kunyonya

ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.

3131:3 Za 25:5; 130:7; 113:2; 119:43Ee Israeli, mtumaini Bwana

tangu sasa na hata milele.

Akuapem Twi Contemporary Bible

Nnwom 131:1-3

Dwom 131

Ɔsoroforo dwom. Dawid de.

1Awurade, ahomaso nni me koma mu,

na mʼani ntraa me ntɔn ɛ;

memma nsɛm akɛse nhaw me

anaa nsɛm a ɛyɛ nwonwa dodo ma me.

2Na mmom, mama me kra anya abotɔyam

te sɛ akokoaa a ɔda ne na so renum no,

te sɛ akokoaa a otua nufu ano no,

saa ara na me kra ayɛ wɔ me mu.

3Israel, ma wʼani nna Awurade so,

mprempren ne daa nyinaa.