Zaburi 131
Kumtegemea Mungu Kwa Unyenyekevu
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
1131:1 Isa 2:12; Yer 45:5; Rum 12:16; 2Sam 22:28; Ay 41:34; 5:9; Za 101:5; 139:6Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana,
macho yangu hayajivuni;
sijishughulishi na mambo makuu kunizidi
wala mambo ya ajabu mno kwangu.
2131:2 Za 116:7; Mit 18:3; Mt 18:3; 1Kor 13:11; 14:20Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu;
kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake,
kama mtoto aliyeachishwa kunyonya
ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
3131:3 Za 25:5; 130:7; 113:2; 119:43Ee Israeli, mtumaini Bwana
tangu sasa na hata milele.
Dwom 131
Ɔsoroforo dwom. Dawid de.
1Awurade, ahomaso nni me koma mu,
na mʼani ntraa me ntɔn ɛ;
memma nsɛm akɛse nhaw me
anaa nsɛm a ɛyɛ nwonwa dodo ma me.
2Na mmom, mama me kra anya abotɔyam
te sɛ akokoaa a ɔda ne na so renum no,
te sɛ akokoaa a otua nufu ano no,
saa ara na me kra ayɛ wɔ me mu.
3Israel, ma wʼani nna Awurade so,
mprempren ne daa nyinaa.