Zaburi 130
Kuomba Msaada
Wimbo wa kwenda juu.
1130:1 Ay 30:19Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
2130:2 Za 27:7; 28:2, 6; 31:22; 86:6; 140:6; 2Nya 6:40Ee Bwana, sikia sauti yangu.
Masikio yako na yawe masikivu
kwa kilio changu unihurumie.
3130:3 1Sam 6:20; Ezr 9:15; Hes 1:6; Za 143:2; Ufu 6:17; Yn 8:7, 9; Rum 3:20Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi,
Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
4130:4 Kut 34:7; Efe 1:7; 2Sam 24:14; Yer 17:5-6; 31:34; 1Fal 8:40; 2The 1:6; Za 37:2; Ebr 12:28Lakini kwako kuna msamaha,
kwa hiyo wewe unaogopwa.
5130:5 Isa 8:17; 26:8; 30:18; 49:23; Za 5:3; 119:74; 27:14Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea,
katika neno lake naweka tumaini langu.
6130:6 Za 63:6; 2Sam 23:4Nafsi yangu inamngojea Bwana
kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi,
naam, kuliko walinzi
waingojeavyo asubuhi.
7130:7 1Nya 21:13; Za 25:5; 71:14; 111:9; Rum 3:24; Isa 55:7Ee Israeli, mtumaini Bwana,
maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma,
na kwake kuna ukombozi kamili.
8130:8 Lk 1:68; Kut 34:7; Mt 1:21Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli
kutoka dhambi zao zote.
도움의 손길을 기다리는 기도
(성전에 올라가는 노래)
1여호와여, 내가
절망의 늪에서
주께 부르짖습니다.
2여호와여, 내 소리를 듣고
나의 간절한 기도에
귀를 기울이소서.
3여호와여, 만일 주께서
우리 죄를 일일이 기록하신다면 누가 감히 주 앞에
설 수 있겠습니까?
4그러나 주께서 우리를
용서하시므로
우리가 두려운 마음으로
주를 섬깁니다.
5내가 여호와의 도움을 기다리며
그의 말씀을 신뢰하노라.
6파수병이
아침을 기다리는 것보다도
내가 여호와를
사모하는 마음이 더하구나.
7이스라엘아, 너의 희망을
여호와께 두어라.
그는 한결같은 사랑을 베푸시며
언제나 구원하기를
원하시는 분이시다.
8그가 이스라엘을
모든 죄 가운데서 구원하시리라.