Zaburi 130 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 130:1-8

Zaburi 130

Kuomba Msaada

Wimbo wa kwenda juu.

1130:1 Ay 30:19Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.

2130:2 Za 27:7; 28:2, 6; 31:22; 86:6; 140:6; 2Nya 6:40Ee Bwana, sikia sauti yangu.

Masikio yako na yawe masikivu

kwa kilio changu unihurumie.

3130:3 1Sam 6:20; Ezr 9:15; Hes 1:6; Za 143:2; Ufu 6:17; Yn 8:7, 9; Rum 3:20Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi,

Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?

4130:4 Kut 34:7; Efe 1:7; 2Sam 24:14; Yer 17:5-6; 31:34; 1Fal 8:40; 2The 1:6; Za 37:2; Ebr 12:28Lakini kwako kuna msamaha,

kwa hiyo wewe unaogopwa.

5130:5 Isa 8:17; 26:8; 30:18; 49:23; Za 5:3; 119:74; 27:14Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea,

katika neno lake naweka tumaini langu.

6130:6 Za 63:6; 2Sam 23:4Nafsi yangu inamngojea Bwana

kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi,

naam, kuliko walinzi

waingojeavyo asubuhi.

7130:7 1Nya 21:13; Za 25:5; 71:14; 111:9; Rum 3:24; Isa 55:7Ee Israeli, mtumaini Bwana,

maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma,

na kwake kuna ukombozi kamili.

8130:8 Lk 1:68; Kut 34:7; Mt 1:21Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli

kutoka dhambi zao zote.

Het Boek

Psalmen 130:1-8

1Een bedevaartslied.

Ik zit zo diep in de put, Here,

en ik roep naar U.

2Luister naar mij, Here.

Laten uw oren naar mij luisteren.

3Here, als U al onze zonden blijft onthouden,

kunnen wij immers niet blijven leven?

4Maar ik weet dat U vergeeft,

zodat iedereen ontzag voor U zal hebben.

5Ik verwacht alles van de Here.

Ik ken zijn woord en heb er alle vertrouwen in.

6Ik zie uit naar de Here.

Ik zie naar Hem uit met nog meer verlangen

dan de nachtwachter uitkijkt naar de nieuwe morgen.

7Laten de Israëlieten al hun vertrouwen op de Here stellen,

want de Here is rijk aan goedheid en liefde.

Hij zorgt voor de bevrijding.

8Hij zal het volk Israël bevrijden

van al zijn zonden.