Zaburi 129 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 129:1-8

Zaburi 129

Maombi Dhidi Ya Adui Za Israeli

Wimbo wa kwenda juu.

1129:1 Kut 1:13; Eze 23:3; Za 88:15; 124:1; Hos 2:15Wamenionea mno tangu ujana wangu;

Israeli na aseme sasa:

2129:2 Yer 1:19; 15:20; 20:11wamenionea mno tangu ujana wangu,

lakini bado hawajanishinda.

3129:3 Ebr 11:26Wakulima wamelima mgongo wangu,

na kufanya mifereji yao mirefu.

4129:4 Kut 9:27; 2The 1:6; Za 37:9; 140:5Lakini Bwana ni mwenye haki;

amenifungua toka kamba za waovu.

5129:5 Mik 4:11; Za 70:2Wale wote waichukiao Sayuni

na warudishwe nyuma kwa aibu.

6129:6 Isa 37:27; 2Fal 19:26; Za 102:11; 37:2; Yer 17:5-6Wawe kama majani juu ya paa,

ambayo hunyauka kabla hayajakua;

7129:7 Kum 28:38; Za 79:12kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake,

wala akusanyaye kujaza mikono yake.

8129:8 Za 118:26; Rut 2:4Wale wapitao karibu na wasiseme,

“Baraka ya Bwana iwe juu yako;

tunakubariki katika jina la Bwana.”

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Salmo 129:1-8

Salmo 129

Cántico de los peregrinos.

1Mucho me han angustiado desde mi juventud

—que lo repita ahora Israel—,

2mucho me han angustiado desde mi juventud,

pero no han logrado vencerme.

3Sobre la espalda me pasaron el arado,

abriéndome en ella profundos129:3 profundos. Lit. largos. surcos.

4Pero el Señor, que es justo,

me libró de las ataduras de los impíos.

5Que retrocedan avergonzados

todos los que odian a Sión.

6Que sean como la hierba en el techo,

que antes de crecer se marchita;

7que no llena las manos del segador

ni el regazo del que cosecha.

8Que al pasar nadie les diga:

«La bendición del Señor sea con vosotros;

os bendecimos en el nombre del Señor».