Zaburi 128
Thawabu Ya Kumtii Bwana
Wimbo wa kwenda juu.
1128:1 Za 103:11; 119:1-3Heri ni wale wote wamchao Bwana,
waendao katika njia zake.
2128:2 Za 58:11; 109:11; Isa 3:10; Mwa 39:3; Mit 10:22Utakula matunda ya kazi yako;
baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
3128:3 Mwa 49:22; Ay 29:5; Mit 5:15; Eze 19:10; Za 52:8; 144:12Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao
ndani ya nyumba yako;
wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni
kuizunguka meza yako.
4128:4 Za 1:1; 112:1Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa
mtu amchaye Bwana.
5128:5 Za 122:9; 134:3Bwana na akubariki kutoka Sayuni
siku zote za maisha yako,
na uone mafanikio ya Yerusalemu,
6128:6 Mwa 50:23; 48:11; Za 125:5nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako.
Amani iwe juu ya Israeli.
زەبووری 128
گۆرانی گەشتیاران.
1خۆزگە دەخوازرێ بەو کەسەی لە یەزدان بترسێت،
ڕێگای ئەو بگرێتەبەر.
2بەری ڕەنجی دەستی خۆت دەخۆیت،
خۆزگەت پێ دەخوازرێت و چاکیشە بۆت.
3ژنەکەت وەک دار مێوێکی بەردار دەبێت لەناو ماڵەکەت،
کوڕەکانت وەک شەتڵە زەیتوون دەبن لە دەوری خوانەکەت.
4ئەو کەسەی لە یەزدان بترسێت
ئاوا بەرەکەتدار دەبێت.
5یەزدان لە سییۆن بەرەکەتدارت بکات،
چاکەی ئۆرشەلیم ببینیت
هەموو ڕۆژانی ژیانت و
6منداڵی منداڵەکانت ببینیت!
ئاشتی بۆ ئیسرائیل!