Zaburi 128 – NEN & KSS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 128:1-6

Zaburi 128

Thawabu Ya Kumtii Bwana

Wimbo wa kwenda juu.

1128:1 Za 103:11; 119:1-3Heri ni wale wote wamchao Bwana,

waendao katika njia zake.

2128:2 Za 58:11; 109:11; Isa 3:10; Mwa 39:3; Mit 10:22Utakula matunda ya kazi yako;

baraka na mafanikio vitakuwa vyako.

3128:3 Mwa 49:22; Ay 29:5; Mit 5:15; Eze 19:10; Za 52:8; 144:12Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao

ndani ya nyumba yako;

wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni

kuizunguka meza yako.

4128:4 Za 1:1; 112:1Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa

mtu amchaye Bwana.

5128:5 Za 122:9; 134:3Bwana na akubariki kutoka Sayuni

siku zote za maisha yako,

na uone mafanikio ya Yerusalemu,

6128:6 Mwa 50:23; 48:11; Za 125:5nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako.

Amani iwe juu ya Israeli.

Kurdi Sorani Standard

زەبوورەکان 128:1-6

زەبووری 128

گۆرانی گەشتیاران.

1خۆزگە دەخوازرێ بەو کەسەی لە یەزدان بترسێت،

ڕێگای ئەو بگرێتەبەر.

2بەری ڕەنجی دەستی خۆت دەخۆیت،

خۆزگەت پێ دەخوازرێت و چاکیشە بۆت.

3ژنەکەت وەک دار مێوێکی بەردار دەبێت لەناو ماڵەکەت،

کوڕەکانت وەک شەتڵە زەیتوون دەبن لە دەوری خوانەکەت.

4ئەو کەسەی لە یەزدان بترسێت

ئاوا بەرەکەتدار دەبێت.

5یەزدان لە سییۆن بەرەکەتدارت بکات،

چاکەی ئۆرشەلیم ببینیت

هەموو ڕۆژانی ژیانت و

6منداڵی منداڵەکانت ببینیت!

ئاشتی بۆ ئیسرائیل!