Zaburi 124 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 124:1-8

Zaburi 124

Shukrani Kwa Ukombozi Wa Israeli

Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

1124:1 Za 129:1; Mwa 15:1; Hes 14:9; Yos 1:5Kama Bwana asingalikuwa upande wetu;

Israeli na aseme sasa:

2kama Bwana asingalikuwa upande wetu,

wakati watu walipotushambulia,

3124:3 Za 35:25; Mit 1:12; Yer 51:34wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu,

wangalitumeza tungali hai,

4124:4 Za 88:17; 18:4mafuriko yangalitugharikisha,

maji mengi yangalitufunika,

5maji yaendayo kasi

yangalituchukua.

6Bwana asifiwe,

yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.

7124:7 Za 91:3; 25:15Tumeponyoka kama ndege

kutoka mtego wa mwindaji;

mtego umevunjika,

nasi tukaokoka.

8124:8 1Sam 17:45; Mwa 1:1; Za 115:15; 121:2; 134:3; Kut 18:4; Mit 18:10; Isa 50:10Msaada wetu ni katika jina la Bwana,

Muumba wa mbingu na dunia.

New International Version

Psalms 124:1-8

Psalm 124

A song of ascents. Of David.

1If the Lord had not been on our side—

let Israel say—

2if the Lord had not been on our side

when people attacked us,

3they would have swallowed us alive

when their anger flared against us;

4the flood would have engulfed us,

the torrent would have swept over us,

5the raging waters

would have swept us away.

6Praise be to the Lord,

who has not let us be torn by their teeth.

7We have escaped like a bird

from the fowler’s snare;

the snare has been broken,

and we have escaped.

8Our help is in the name of the Lord,

the Maker of heaven and earth.