Zaburi 124 – NEN & KJV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 124:1-8

Zaburi 124

Shukrani Kwa Ukombozi Wa Israeli

Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

1124:1 Za 129:1; Mwa 15:1; Hes 14:9; Yos 1:5Kama Bwana asingalikuwa upande wetu;

Israeli na aseme sasa:

2kama Bwana asingalikuwa upande wetu,

wakati watu walipotushambulia,

3124:3 Za 35:25; Mit 1:12; Yer 51:34wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu,

wangalitumeza tungali hai,

4124:4 Za 88:17; 18:4mafuriko yangalitugharikisha,

maji mengi yangalitufunika,

5maji yaendayo kasi

yangalituchukua.

6Bwana asifiwe,

yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.

7124:7 Za 91:3; 25:15Tumeponyoka kama ndege

kutoka mtego wa mwindaji;

mtego umevunjika,

nasi tukaokoka.

8124:8 1Sam 17:45; Mwa 1:1; Za 115:15; 121:2; 134:3; Kut 18:4; Mit 18:10; Isa 50:10Msaada wetu ni katika jina la Bwana,

Muumba wa mbingu na dunia.

King James Version

Psalms 124:1-8

A Song of degrees of David.

1If it had not been the LORD who was on our side, now may Israel say;

2If it had not been the LORD who was on our side, when men rose up against us:

3Then they had swallowed us up quick, when their wrath was kindled against us:

4Then the waters had overwhelmed us, the stream had gone over our soul:

5Then the proud waters had gone over our soul.

6Blessed be the LORD, who hath not given us as a prey to their teeth.

7Our soul is escaped as a bird out of the snare of the fowlers: the snare is broken, and we are escaped.

8Our help is in the name of the LORD, who made heaven and earth.