Zaburi 120 – NEN & OL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 120:1-7

Zaburi 120

Kuomba Msaada

Wimbo wa kwenda juu.

1120:1 2Sam 22:7; Za 18:1; 118:5Katika dhiki yangu namwita Bwana,

naye hunijibu.

2120:2 Za 31:18; 52:4Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo

na ndimi za udanganyifu.

3Atakufanyia nini,

au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?

4120:4 Kum 32:23Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa,

kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.

5120:5 Mwa 25:13; 2:10; Yer 2:10; 49:28; 1Sam 25:1Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki,

kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!

6Nimeishi muda mrefu mno

miongoni mwa wale wanaochukia amani.

7Mimi ni mtu wa amani;

lakini ninaposema, wao wanataka vita.

O Livro

Salmos 120:1-7

Quinto Livro

(Salmos 120–150)

Cânticos dos peregrinos a Jerusalém

(Salmos 120–134)

Salmo 120

Cântico de peregrinação120.0 Também chamado Cântico de Subida ou Cântico de Romaria..

1No meio da minha angústia clamei ao Senhor,

e ele ouviu-me:

2Senhor, livra-me da ação dos mentirosos,

dos que só sabem abrir a boca para enganar!”

3Na verdade, qual é o fruto da língua mentirosa?

4Ela ataca e fere como punhais;

destrói como um fogo intenso.

5Sinto-me muito infeliz habitando em Meseque,

e vivendo entre as tendas de Quedar.

6Estou realmente cansado de viver com pessoas

que, no fundo, detestam a paz.

7Eu quero a paz e, por mais que fale a favor dela,

eles sempre procuram a guerra!