Zaburi 120
Kuomba Msaada
Wimbo wa kwenda juu.
1120:1 2Sam 22:7; Za 18:1; 118:5Katika dhiki yangu namwita Bwana,
naye hunijibu.
2120:2 Za 31:18; 52:4Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo
na ndimi za udanganyifu.
3Atakufanyia nini,
au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4120:4 Kum 32:23Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa,
kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
5120:5 Mwa 25:13; 2:10; Yer 2:10; 49:28; 1Sam 25:1Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki,
kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6Nimeishi muda mrefu mno
miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7Mimi ni mtu wa amani;
lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Quinto Livro
(Salmos 120–150)
Cânticos dos peregrinos a Jerusalém
(Salmos 120–134)
Salmo 120
Cântico de peregrinação120.0 Também chamado Cântico de Subida ou Cântico de Romaria..
1No meio da minha angústia clamei ao Senhor,
e ele ouviu-me:
2“Senhor, livra-me da ação dos mentirosos,
dos que só sabem abrir a boca para enganar!”
3Na verdade, qual é o fruto da língua mentirosa?
4Ela ataca e fere como punhais;
destrói como um fogo intenso.
5Sinto-me muito infeliz habitando em Meseque,
e vivendo entre as tendas de Quedar.
6Estou realmente cansado de viver com pessoas
que, no fundo, detestam a paz.
7Eu quero a paz e, por mais que fale a favor dela,
eles sempre procuram a guerra!