Zaburi 120
Kuomba Msaada
Wimbo wa kwenda juu.
1120:1 2Sam 22:7; Za 18:1; 118:5Katika dhiki yangu namwita Bwana,
naye hunijibu.
2120:2 Za 31:18; 52:4Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo
na ndimi za udanganyifu.
3Atakufanyia nini,
au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4120:4 Kum 32:23Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa,
kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
5120:5 Mwa 25:13; 2:10; Yer 2:10; 49:28; 1Sam 25:1Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki,
kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6Nimeishi muda mrefu mno
miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7Mimi ni mtu wa amani;
lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Salmo 120
Cántico de los peregrinos.
1En mi angustia invoqué al Señor,
y él me respondió.
2Señor, líbrame de los labios mentirosos
y de las lenguas embusteras.
3¡Ah, lengua embustera!
¿Qué se te habrá de dar?
¿Qué se te habrá de añadir?
4¡Puntiagudas flechas de guerrero,
con ardientes brasas de retama!
5¡Ay de mí, que soy extranjero en Mésec,
que he acampado entre las tiendas de Cedar!
6¡Ya es mucho el tiempo que he acampado
entre los que aborrecen la paz!
7Yo amo la paz,
pero, si hablo de paz,
ellos hablan de guerra.