Zaburi 120 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 120:1-7

Zaburi 120

Kuomba Msaada

Wimbo wa kwenda juu.

1120:1 2Sam 22:7; Za 18:1; 118:5Katika dhiki yangu namwita Bwana,

naye hunijibu.

2120:2 Za 31:18; 52:4Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo

na ndimi za udanganyifu.

3Atakufanyia nini,

au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?

4120:4 Kum 32:23Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa,

kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.

5120:5 Mwa 25:13; 2:10; Yer 2:10; 49:28; 1Sam 25:1Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki,

kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!

6Nimeishi muda mrefu mno

miongoni mwa wale wanaochukia amani.

7Mimi ni mtu wa amani;

lakini ninaposema, wao wanataka vita.

Bibelen på hverdagsdansk

Salmernes Bog 120:1-7

En landflygtigs bøn

1En valfartssang.

I min nød råbte jeg til Herren,

og han svarede mig.

2„Herre,” bad jeg, „red mig fra de løgnere,

som hele tiden snyder og bedrager!”

3Hvad skal Herren gøre ved bedragerne?

Hvordan skal han straffe dem?

4Jo, med krigerens spidse pile,

som blev skærpet ved de gloende trækul.

5Hvor længe skal jeg leve her i Meshek,

bo som fremmed blandt Kedars telte?

6Alt for længe har jeg været hos et folk, der hader fred.

7Jeg taler fredens sag, men de råber på krig.