Zaburi 117 – NEN & NAV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 117:1-2

Zaburi 117

Sifa Za Bwana

1117:1 Za 22:23; 103:2; Rum 15:11Msifuni Bwana, enyi mataifa yote;

mtukuzeni yeye, enyi watu wote.

2117:2 Za 17:7; 103:11; 119:90; 146:6Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu,

uaminifu wa Bwana unadumu milele.

Msifuni Bwana.

Ketab El Hayat

مزمور 117:1-2

الْمَزْمُورُ الْمِئَةُ وَالسَّابِعَ عَشَرَ

1سَبِّحُوا الرَّبَّ يَا جَمِيعَ الأُمَمِ، وَمَجِّدُوهُ يَا كُلَّ الشُّعُوبِ. 2لأَنَّ رَحْمَتَهُ غَلَبَتْ عَلَيْنَا، وَأَمَانَةُ الرَّبِّ إِلَى الأَبَدِ تَدُومُ. هَلِّلُويَا!