Zaburi 116
Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti
1116:1 Za 18:1; 31:22; 40:1; 6:9; 28:2Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu;
amesikia kilio changu ili anihurumie.
2116:2 Za 5:1Kwa sababu amenitegea sikio lake,
nitamwita siku zote za maisha yangu.
3116:3 2Sam 22:6; Za 18:4-5Kamba za mauti zilinizunguka,
maumivu makuu ya kuzimu yalinipata,
nikalemewa na taabu na huzuni.
4116:4 Za 80:2, 18; 118:5Ndipo nikaliitia jina la Bwana:
“Ee Bwana, niokoe!”
5116:5 Kut 22:27; 9:27; Ezr 9:15; Za 11:7; 86:15; 2Nya 12:6; Neh 9:8; Yer 12:1; Mao 1:18; Ufu 16:5Bwana ni mwenye neema na haki,
Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
6116:6 Za 79:8; 18:3; 22:5; 107:13Bwana huwalinda wanyenyekevu,
nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
7116:7 Za 13:6; 106:1; 142:7; 46:10; 62:1; 131:2; Mt 11:29; Yer 6:16Ee nafsi yangu, tulia tena,
kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
8116:8 Za 86:13Kwa kuwa wewe, Ee Bwana,
umeniokoa nafsi yangu na mauti,
macho yangu kutokana na machozi,
miguu yangu kutokana na kujikwaa,
9116:9 Mwa 5:22; Za 56:13; 89:15; 27:13; Ay 28:13; Isa 38:11; Yer 11:9ili niweze kutembea mbele za Bwana,
katika nchi ya walio hai.
10116:10 Za 9:18; 72:2; 107:17; 119:67, 71, 75; 2Kor 4:13Niliamini, kwa hiyo nilisema,
“Mimi nimeteseka sana.”
11116:11 Yer 9:3-5Katika taabu yangu nilisema,
“Wanadamu wote ni waongo.”
12116:12 Za 103:2; 106:1Nimrudishie Bwana nini
kwa wema wake wote alionitendea?
13116:13 Za 105:1Nitakiinua kikombe cha wokovu
na kulitangaza jina la Bwana.
14116:14 Hes 30:2; Za 66:13Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana
mbele za watu wake wote.
15116:15 Za 72:14; Hes 23:10; Ay 5:26; Lk 16:22; Ufu 14:13Kifo cha watakatifu kina thamani
machoni pa Bwana.
16116:16 Za 119:125; 143:12; 86:16; Ay 12:18Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako,
mimi ni mtumishi wako,
mwana wa mjakazi wako;116:16 Au: mwanao mwaminifu.
umeniweka huru
toka katika minyororo yangu.
17116:17 Law 7:12; Ezr 1:4Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru
na kuliita jina la Bwana.
18116:18 Za 116:14; Law 22:18Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana
mbele za watu wake wote,
19116:19 Za 102:21; 92:13; 135:2; 96:8; 100:4katika nyua za nyumba ya Bwana,
katikati yako, ee Yerusalemu.
Msifuni Bwana.
116
1私は主を愛しています。
主が私の祈りを聞いてくださるからです。
2身を乗り出して聞いてくださる主に、
私は生きている限り祈り続けます。
3私は死に直面し、恐怖にかられ、
悲しみのどん底に突き落とされました。
4私が「主よ、どうかお救いください」と叫ぶと、
5主は実にあわれみ深く、
恵みを注いでくださいました。
6主は子どものように素直な者を、
お見捨てにはなりません。
私も、死の一歩手前で救われました。
7今、私は安らいでいます。
主がすばらしい奇跡を行ってくださったからです。
8死の手から私を救い出して、
つまずくことも、泣くこともないように
してくださいました。
9私は生きることができるのです。
主の前で、この地上で生きていくのです。
10-11私は失意に沈んでいたころ、
「人々は私に良くなると言ってくれるが、
それはうそだ」と思い悩んでいました。
12しかし今では、これほどよくしてくださった主に、
どのようにお返しをすればよいのか迷っています。
13感謝のしるしに、ぶどう酒を供え、
主の御名をほめたたえましょう。
14また、かねてからの約束どおり、
人々の目の前でいけにえをささげます。
15主に愛されている人は、主にとって大切な存在です。
主はそのように人々を
簡単に死なせたりなさいません。
16ああ主よ。
自由の身としていただいた私は、
いつまでもあなたにお仕えします。
17あなたを拝み、感謝のしるしのいけにえをささげます。
18-19ここエルサレムの神殿の庭で、
すべての人々の前で、
誓いどおりのことをみないたします。
主をほめたたえましょう。