Zaburi 116 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 116:1-19

Zaburi 116

Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti

1116:1 Za 18:1; 31:22; 40:1; 6:9; 28:2Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu;

amesikia kilio changu ili anihurumie.

2116:2 Za 5:1Kwa sababu amenitegea sikio lake,

nitamwita siku zote za maisha yangu.

3116:3 2Sam 22:6; Za 18:4-5Kamba za mauti zilinizunguka,

maumivu makuu ya kuzimu yalinipata,

nikalemewa na taabu na huzuni.

4116:4 Za 80:2, 18; 118:5Ndipo nikaliitia jina la Bwana:

“Ee Bwana, niokoe!”

5116:5 Kut 22:27; 9:27; Ezr 9:15; Za 11:7; 86:15; 2Nya 12:6; Neh 9:8; Yer 12:1; Mao 1:18; Ufu 16:5Bwana ni mwenye neema na haki,

Mungu wetu ni mwingi wa huruma.

6116:6 Za 79:8; 18:3; 22:5; 107:13Bwana huwalinda wanyenyekevu,

nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.

7116:7 Za 13:6; 106:1; 142:7; 46:10; 62:1; 131:2; Mt 11:29; Yer 6:16Ee nafsi yangu, tulia tena,

kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.

8116:8 Za 86:13Kwa kuwa wewe, Ee Bwana,

umeniokoa nafsi yangu na mauti,

macho yangu kutokana na machozi,

miguu yangu kutokana na kujikwaa,

9116:9 Mwa 5:22; Za 56:13; 89:15; 27:13; Ay 28:13; Isa 38:11; Yer 11:9ili niweze kutembea mbele za Bwana,

katika nchi ya walio hai.

10116:10 Za 9:18; 72:2; 107:17; 119:67, 71, 75; 2Kor 4:13Niliamini, kwa hiyo nilisema,

“Mimi nimeteseka sana.”

11116:11 Yer 9:3-5Katika taabu yangu nilisema,

“Wanadamu wote ni waongo.”

12116:12 Za 103:2; 106:1Nimrudishie Bwana nini

kwa wema wake wote alionitendea?

13116:13 Za 105:1Nitakiinua kikombe cha wokovu

na kulitangaza jina la Bwana.

14116:14 Hes 30:2; Za 66:13Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana

mbele za watu wake wote.

15116:15 Za 72:14; Hes 23:10; Ay 5:26; Lk 16:22; Ufu 14:13Kifo cha watakatifu kina thamani

machoni pa Bwana.

16116:16 Za 119:125; 143:12; 86:16; Ay 12:18Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako,

mimi ni mtumishi wako,

mwana wa mjakazi wako;116:16 Au: mwanao mwaminifu.

umeniweka huru

toka katika minyororo yangu.

17116:17 Law 7:12; Ezr 1:4Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru

na kuliita jina la Bwana.

18116:18 Za 116:14; Law 22:18Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana

mbele za watu wake wote,

19116:19 Za 102:21; 92:13; 135:2; 96:8; 100:4katika nyua za nyumba ya Bwana,

katikati yako, ee Yerusalemu.

Msifuni Bwana.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 116:1-19

116

1私は主を愛しています。

主が私の祈りを聞いてくださるからです。

2身を乗り出して聞いてくださる主に、

私は生きている限り祈り続けます。

3私は死に直面し、恐怖にかられ、

悲しみのどん底に突き落とされました。

4私が「主よ、どうかお救いください」と叫ぶと、

5主は実にあわれみ深く、

恵みを注いでくださいました。

6主は子どものように素直な者を、

お見捨てにはなりません。

私も、死の一歩手前で救われました。

7今、私は安らいでいます。

主がすばらしい奇跡を行ってくださったからです。

8死の手から私を救い出して、

つまずくことも、泣くこともないように

してくださいました。

9私は生きることができるのです。

主の前で、この地上で生きていくのです。

10-11私は失意に沈んでいたころ、

「人々は私に良くなると言ってくれるが、

それはうそだ」と思い悩んでいました。

12しかし今では、これほどよくしてくださった主に、

どのようにお返しをすればよいのか迷っています。

13感謝のしるしに、ぶどう酒を供え、

主の御名をほめたたえましょう。

14また、かねてからの約束どおり、

人々の目の前でいけにえをささげます。

15主に愛されている人は、主にとって大切な存在です。

主はそのように人々を

簡単に死なせたりなさいません。

16ああ主よ。

自由の身としていただいた私は、

いつまでもあなたにお仕えします。

17あなたを拝み、感謝のしるしのいけにえをささげます。

18-19ここエルサレムの神殿の庭で、

すべての人々の前で、

誓いどおりのことをみないたします。

主をほめたたえましょう。