Zaburi 116 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 116:1-19

Zaburi 116

Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti

1116:1 Za 18:1; 31:22; 40:1; 6:9; 28:2Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu;

amesikia kilio changu ili anihurumie.

2116:2 Za 5:1Kwa sababu amenitegea sikio lake,

nitamwita siku zote za maisha yangu.

3116:3 2Sam 22:6; Za 18:4-5Kamba za mauti zilinizunguka,

maumivu makuu ya kuzimu yalinipata,

nikalemewa na taabu na huzuni.

4116:4 Za 80:2, 18; 118:5Ndipo nikaliitia jina la Bwana:

“Ee Bwana, niokoe!”

5116:5 Kut 22:27; 9:27; Ezr 9:15; Za 11:7; 86:15; 2Nya 12:6; Neh 9:8; Yer 12:1; Mao 1:18; Ufu 16:5Bwana ni mwenye neema na haki,

Mungu wetu ni mwingi wa huruma.

6116:6 Za 79:8; 18:3; 22:5; 107:13Bwana huwalinda wanyenyekevu,

nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.

7116:7 Za 13:6; 106:1; 142:7; 46:10; 62:1; 131:2; Mt 11:29; Yer 6:16Ee nafsi yangu, tulia tena,

kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.

8116:8 Za 86:13Kwa kuwa wewe, Ee Bwana,

umeniokoa nafsi yangu na mauti,

macho yangu kutokana na machozi,

miguu yangu kutokana na kujikwaa,

9116:9 Mwa 5:22; Za 56:13; 89:15; 27:13; Ay 28:13; Isa 38:11; Yer 11:9ili niweze kutembea mbele za Bwana,

katika nchi ya walio hai.

10116:10 Za 9:18; 72:2; 107:17; 119:67, 71, 75; 2Kor 4:13Niliamini, kwa hiyo nilisema,

“Mimi nimeteseka sana.”

11116:11 Yer 9:3-5Katika taabu yangu nilisema,

“Wanadamu wote ni waongo.”

12116:12 Za 103:2; 106:1Nimrudishie Bwana nini

kwa wema wake wote alionitendea?

13116:13 Za 105:1Nitakiinua kikombe cha wokovu

na kulitangaza jina la Bwana.

14116:14 Hes 30:2; Za 66:13Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana

mbele za watu wake wote.

15116:15 Za 72:14; Hes 23:10; Ay 5:26; Lk 16:22; Ufu 14:13Kifo cha watakatifu kina thamani

machoni pa Bwana.

16116:16 Za 119:125; 143:12; 86:16; Ay 12:18Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako,

mimi ni mtumishi wako,

mwana wa mjakazi wako;116:16 Au: mwanao mwaminifu.

umeniweka huru

toka katika minyororo yangu.

17116:17 Law 7:12; Ezr 1:4Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru

na kuliita jina la Bwana.

18116:18 Za 116:14; Law 22:18Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana

mbele za watu wake wote,

19116:19 Za 102:21; 92:13; 135:2; 96:8; 100:4katika nyua za nyumba ya Bwana,

katikati yako, ee Yerusalemu.

Msifuni Bwana.

Het Boek

Psalmen 116:1-19

1Ik houd zoveel van de Here,

altijd hoort Hij mij als ik mij smekend tot Hem richt.

2Hij wil ook graag naar mij luisteren,

daarom zal ik nooit nalaten Hem aan te roepen.

3Toen de dood mij omknelde

en de angst voor de dood mij aangreep,

was ik wanhopig en vreselijk benauwd.

4Toch heb ik toen de naam van de Here geroepen.

Ik zei: ‘Och Here, red mij toch!’

5De Here is rechtvaardig en geeft genade voor recht.

God buigt Zich met liefde en medelijden over tot de mens.

6De Here zorgt voor eenvoudige mensen.

Hoe zwak ik ook was, toch heeft Hij mij bevrijd.

7Mijn hart kan weer helemaal tot rust komen,

omdat de Here voor mij heeft gezorgd.

8U hebt mij voor de kaken van de dood weggerukt,

mijn tranen gedroogd

en elke steen waarover ik kon struikelen

voor mij weggenomen.

9Ik leef dicht bij de Here

en ik mag leven!

10Ik bleef op Hem vertrouwen,

zelfs toen ik in grote moeilijkheden verkeerde,

11zelfs toen ik zo bang was

dat ik geen mens meer vertrouwde.

12Hoe kan ik iets voor de Here terugdoen?

Hij heeft zoveel goeds voor mij gedaan!

13Ik zal overal vertellen dat Híj mij heeft bevrijd.

Ik zal met eerbied spreken over de naam van de Here.

14Wat ik de Here heb beloofd,

zal ik ook doen in aanwezigheid van het hele volk.

15Als een van zijn volgelingen sterft,

raakt dat de Here heel diep.

16Werkelijk, Here, ik ben uw dienaar,

de zoon van uw dienares.

U hebt mij vrij gemaakt.

17Ik zal U lofoffers brengen

en uw naam aanroepen.

18Alles wat ik de Here heb beloofd,

zal ik nakomen.

Zijn hele volk zal het zien.

19Ik zal dat doen in de voorhof van het huis van de Here,

in het midden van Jeruzalem.

Prijs de Here!