Zaburi 114
Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri
1114:1 Kut 13:3; 29:46Wakati Israeli walipotoka Misri,
nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2114:2 Kut 15:17; Za 76:1; 78:68, 69Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,
Israeli akawa milki yake.
3114:3 Kut 14:21; Za 77:16; Kut 15:8; Yos 3; 16Bahari ilitazama ikakimbia,
Yordani ulirudi nyuma,
4114:4 Amu 5:5milima ilirukaruka kama kondoo dume,
vilima kama wana-kondoo.
5114:5 Kut 14:21Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,
nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
6enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,
enyi vilima, kama wana-kondoo?
7114:7 Kut 15:14; 1Nya 16:30Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,
mbele za Mungu wa Yakobo,
8114:8 Kut 17:6; Hes 20:11aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,
mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
1When Israel went out of Egypt, the house of Jacob from a people of strange language;
2Judah was his sanctuary, and Israel his dominion.
3The sea saw it, and fled: Jordan was driven back.
4The mountains skipped like rams, and the little hills like lambs.
5What ailed thee, O thou sea, that thou fleddest? thou Jordan, that thou wast driven back?
6Ye mountains, that ye skipped like rams; and ye little hills, like lambs?
7Tremble, thou earth, at the presence of the Lord, at the presence of the God of Jacob;
8Which turned the rock into a standing water, the flint into a fountain of waters.